Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

Wanawake walivyo wengi hivi tena una kipato bado unahangaika pole sana.

Uahauri PUNGUZA UBAHILI wanawake wengi cku hizi hawapendi ubahili na maneno mengi.

Ukikupa No. Muombe cku moja umtoe OUT hata kabla ya kumtongoza hata akija na friend yake poa.

wapeleke eneo kiwango wape pombe kama wanakunywa na msosi safi.

Baada ya hapo wape hata rafiki yake mpe 20 ya usafr unayemtarget mpe 30.

Baada ya hapo kesho yake waaulize tu mlifika salama.

Kaa siku 3 bila kuonesha shobo yoyote tena ukiweza kaa kimya.

Cku 4 mpigie mpe salam mwambie umemmis, Weekend inayofuatia mwenyewe atakupa kitumbua bila hata kutumia nguvu.


LAKINI KAMA UNAJIELEZA SANA SANA KWA SMS WANAKUONA MSHAMBA TU.
 
Habari za humu wadau,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+,
Mkuu ukiingia kweny mahusiano usiongee sana kua mpenzi mtazamaji sana pale unapotakiwa kuongea ongea na sio sana usizidishe. . Pia jitahid uwe unapendeza na unyunyu uwe wa kutosha hapo utakula hadi wasiolika...pia punguza ubahili aiseh
 
Mkuu ukiingia kweny mahusiano usiongee sana kua mpenzi mtazamaji sana pale unapotakiwa kuongea ongea na sio sana usizidishe. . Pia jitahid uwe unapendeza na unyunyu uwe wa kutosha hapo utakula hadi wasiolika...pia punguza ubahili aiseh

Kwenye kupendeza sio kweli napendeza
 
Labda pengine unaepushwa magonjwa ya sinaah ila hujui mm kuna wakt niliisi Naina gundu na mwanamke mmmoja ambaye yey anaipendi kbsa ila nasiki tu kaliwa na watu simpo snaa iliniumiza Sana hyo kitu nilionga ila hakutaka he'll zangu aisee kuja kushtuka naambiwa Ana HIV NA alikuwa ajijui maskini nilivyosikia hvyo nilimshukuru sna mungu kwa kuniepusha nae na kunikataa katu katu kumbe alikuwa Ana gonjwa lake hajafa lkn mkp leo anaona aibu tukikutana na ananiheshimu mbaya mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom