Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Anakuja na bit la kukudolishia kwanza ye ni don ana hela, ana mbuzi bla bla bla baade anakwambia umkope kachelewa kwenda bank.... kuliko kudangiwa na vijeba heri uniite mie bana uninyweshe teh
Hahahaaaa!! Kamba za kizamaaani kweli kweli.
 
Nacheka sio kama mazuri mama ila vinachekesha sisi ndio tunatakiwa tuwe hivyo sio wanaume halaf hayo mambo wafanye viben10 utakuta mtu mzima tu anafanya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna siku espy aliandika kitu kuhusu rafiki yake aliombwa hela na mwanaume wake bada ya mda mke wa yule jamaa kapiga simu akamshkuru kuwasaidia kwa hela ya kula sijui espy anakwambia bada ya kumpa pole rafiki yake alicheka sana
Yaani hiyo siku nilicheka acha kabisa.
 
Mambo kama hayo wanafanya tuogope hata kuonana nao mtu mwenyewe na sura ya baba yangu hapa kesho na kesho kutwa unaambiwa mbaya
Hahahaaaaa!! Kwa sura gani nzuri walizonazo sasa!! Watakwambia "mwanaume hasifiwi sura" ila pesa pia nehiiii[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Masikini huyo mdada ila inauma sana unajitoa kwa upendo kuonana na mtu kiurafiki tu na wala sio kimapenzi ila wanakosea mnooo baadhi ya wanaume humu
Wanajikutaga kama waumbaji vile kumbe hata nzi hajawahi umba, nyodo kibaooo. Yaani unampa jibu moja takatifu akukumbuke milele.
 
Hahahaaaaa!! Kwa sura gani nzuri walizonazo sasa!! Watakwambia "mwanaume hasifiwi sura" ila pesa pia nehiiii[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mie wenzio wananisifiaga sura na rangi pia.

Wife anasifia utaalamu wangu kwake.
 
Kwakweli tukomege aisee usikute picha zinasambazwa pm huko huyu ndio shunie kibonge kifupi cheusi kama kipipa ila kinaringaa kama kizuri kumbe hata kuringa huringi masikini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio zao hizo, sasa wao wenyewe mweeeh!! Unamuachia Mungu tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
My ribs, wenye hela wanajitangaza uliona wapi!! Pesa zao ndio zinajitangaza, kujitia ujuaji mavi tu.

Dah
 
Ee unakua na kidume humu halaf kinakuambia siwapendi kina dina sijui kina eve kumbe kuna vitu unafichwa ama anataka mfanye sirii ,,shogaa vizia pm ama anzisha uzi kua Daby ni wa kwangu kabisa. Uone wasipojitokeza jua angalau kuna heshima
Na hapo ukute kwa id ya Daby mmepangwa sita, na id zake zile zingine mmepangwa foleni napo.
 
Back
Top Bottom