juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,484
Hapo [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Ahahahhah me wa ndoa huwa namalizana nao mwenyewe huwa sitakagi ushauri
Hapo [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Ahahahhah me wa ndoa huwa namalizana nao mwenyewe huwa sitakagi ushauri
Hivi me lini umeshawahi nitongoza
Kumbe ndio maana ulinipiga kibuti....Aiseer sitaki kuamini sasa mlishindwana nini mbona rrondo mstaarabu au sabbu anaonekana mzee wa totoz
Mzee wewe una mahela au ndio wale wazee mnasubiri mafao ya ustaafuPole mrembo. Wazee hata kuchekesha tunaweza
Ndege ndio ninii tenaNi mstaarabu sana ila kumuambia nataka ndege alikimbia mazima
Hivi lini ulinitongoza mm mpaka nimekupiga kibutiKumbe ndio maana ulinipiga kibuti....
Wewe sio wa kunitenda vileNimekubali matokeo
BombadiaNdege ndio ninii tena
Ni wazee wenye kipato. Bado tuna ajira zetu na zaidi tuna miradi yetu.Mzee wewe una mahela au ndio wale wazee mnasubiri mafao ya ustaafu
Teh teh teeeeeeh!Dah ES, basi sikopi tena kwako
Tena wazuri tu, ila kujidai kutupigia kelele mfyuuu zao.Ahahaha wanaume nao wanadanga nimecheka sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Afu mkopaji mwenyewe anashinda anazunguka humu kujisifia ana hela ooh wanawake wa jf wanamuomba.....Kima tu, hata buku ten hana
Ahahahh bombadia mwewe sasa ulitaka akuletee ndio akukule auBombadia
Ukivikuta vinajikweza sasa!! Kumbe vikijikuna unga tu ndio unatoka nyambafu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au wanajua kula kwa jasho tuliumbiwa sisi wanawake
Sawa mzee mwenye mahelaNi wazee wenye kipato. Bado tuna ajira zetu na zaidi tuna miradi yetu.
Njoo inbobo kwa maelezo zaidi.
Auntie usiniambie na wewe umeshawahi kudangiwa humu jfTena wazuri tu, ila kujidai kutupigia kelele mfyuuu zao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa kwanini mnatukopa?
Kuna mtu (ME) hapa kaja kunikopa,sijui anadhani hapa kwangu niko mwezi Mei na sio Januari?
Ahahahhh unajua mwanaume ndio huyu kumbeeUkivikuta vinajikweza sasa!! Kumbe vikijikuna unga tu ndio unatoka nyambafu.
Sina mahela. Bali nina vijisenti vya kutokukopaSawa mzee mwenye mahela