Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wakunyumba acha tu kuna mkaka huwa namuheshimu aisee nahisi asilimia 50 ya wanawake wa humu anawajua walivyo na atafanya juu chini lazima akujue au apate no yako na alivyo anavyokuja huwezi mdhania acha tu niishie hapa mwisho wa siku asimuonyeshe mtu picha yangu halaf huyo mtu najuana naye anamwambia hivi unamjua shunie ndio huyo masikini kumbe mtu wa watu ananijua ila nilimpa yake nilimwambia sio vizuri hivi kwa mfano angekuwa hanijui ingekuwaje na pics ikisambaa kwingine thread itakuhusu jf
Mpaka unajiuliza huyu yuko jf kufuatilia wanawake wa jf!! Ukishawajua alafu ikusaidie nini. Dume zima huna kazi kazi kufuatilia wanawake unatafuta kuolewa au!!!
 
Hahahah tatizo na nyie kipindi kile mlikua mnachuja watu mnooo yaani mkitaka first class tu!! Sasa nimestuka kutoka kukataa vitz na IST hadi kukopwaaa balaa hili [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Sasa hao wengine wanaojikuta first class wakopaji nao
 
Mpaka unajiuliza huyu yuko jf kufuatilia wanawake wa jf!! Ukishawajua alafu ikusaidie nini. Dume zima huna kazi kazi kufuatilia wanawake unatafuta kuolewa au!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti wanatafuta kuolewa.
 
Watakosaje cha kuongea kumbe nikibadili dp shunie mm nishajizoelea vinguo vifupi anamwambia hivi shunie huwa simuelewi na nguo zake ananielewa Mr wangu tu ndani inatosha sana jaman na hizo nguo mnunuaji ni yeye
Hivi dume zim unakaa unamjadili mke wa mwingine si upuuzi huo, kama hupendi si mwenzio anapenda ndio maana kamuoa!! Kutaka kupangiana maisha kama wanatulisha mafiii yao.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Sasa hao wengine wanaojikuta first class wakopaji nao
Hahahahahah maisha yanaenda kasi sana!! Humu tuliokua tukihonga Vitz na IST tulitemwa nyakati hizo sasa nimeshangaa hata wa kuhonga IST siku hizi hawapo tena wamebaki wadangaji!!!
 
Back
Top Bottom