Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Yaani nimeumia sana roho leo. Mwaka mzima nakutongoza hata namba umeninyima huku wengine unawatumia hadi picha! Ila umepata malipo stahiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwehu wewe sasa huyo kaka akee sakayo alikuwa kama kaka tu halaf pic akaja kumuonyesha sakayo sasa si emerudi kwa shunie tu
 
Hata nyie wanawake siku hizi mnakuja na gia za kukopa sn



Sasa hivi nmeacha habari ya kukopesha wanawake maana hamna hata mmoja aliyenirudishia halaf mnakuja na gia ya kukopa pesa ndogo ndogo
Mm wameshaniumiza sana ninakuwa na aibu kuwadai na wao wanasubiri niwadai.Very crazy situation.
 
Back
Top Bottom