Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Kuna mkaka humu ana mademu sita,,mlio na wapenzi humu na mnaficha ficha jua mmepangwaa mnapishana kwenye nyumba za watu hamjijuii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndio tukomegeee sasa,kiherehere kwenda kuonana nao au kuwatumia picha,,,nakuambia ukiwaona wao sura zao na walivyo unamuachia Mungu cc @evelynsalt
Kwakweli tukomege aisee usikute picha zinasambazwa pm huko huyu ndio shunie kibonge kifupi cheusi kama kipipa ila kinaringaa kama kizuri kumbe hata kuringa huringi masikini
 
Kuna haja ya kuwa na mtandao wa wanawake humu, vinginevyo .....
Ee unakua na kidume humu halaf kinakuambia siwapendi kina dina sijui kina eve kumbe kuna vitu unafichwa ama anataka mfanye sirii ,,shogaa vizia pm ama anzisha uzi kua Daby ni wa kwangu kabisa. Uone wasipojitokeza jua angalau kuna heshima
 
Kwakweli tukomege aisee usikute picha zinasambazwa pm huko huyu ndio shunie kibonge kifupi cheusi kama kipipa ila kinaringaa kama kizuri kumbe hata kuringa huringi masikini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wanasambaza na picha zetu kumbe. Wakiwa wanatusema wanasindikizia na picha
 
Ee unakua na kidume humu halaf kinakuambia siwapendi kina dina sijui kina eve kumbe kuna vitu unafichwa ama anataka mfanye sirii ,,shogaa vizia pm ama anzisha uzi kua Daby ni wa kwangu kabisa. Uone wasipojitokeza jua angalau kuna heshima
Nimekuja mbio nikajua unaniumbua na mkopo wangu asee doh asante Yesu!!
 
Back
Top Bottom