Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Hahahaaaaa!! Kwa sura gani nzuri walizonazo sasa!! Watakwambia "mwanaume hasifiwi sura" ila pesa pia nehiiii[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa za kudangia
 
Ila inahuzunisha na wanaume wa humu walivyo na midomo jamani halafu mkienda pm mnaenda kukopa hela. Kuna mmoja juzi kanifuata nimkopeshe elfu 10
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyambaaafu!!!

Wana gia yao kwanza anaanza kulike kila unachopost, then anaanza kukusifia sifia, ukijaa sifa tu ujue umekwisha.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyambaaafu!!!

Wana gia yao kwanza anaanza kulike kila unachopost, then anaanza kukusifia sifia, ukijaa sifa tu ujue umekwisha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wanasambaza na picha zetu kumbe. Wakiwa wanatusema wanasindikizia na picha
Na story zao za kutunga, fulani kanitongoza,fulani nimekula. Kumbe uongo mtupuu, sijui wanatafutaga sifa!! Wakianza kukusambazia uongo ndio utafurahi. Mie huishia kucheka tu.
 
Back
Top Bottom