Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,363
- 1,503
Rose Mama
toa mzigo upate mzigo....Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Ni wabinafsi sana, yaani wanaona wao ndo wana haki ya kusaidiwa ila sisi wanaume hatuna haki, kuna demu nilikuwa nae kwa mwezi kumpa 300k ilikuwa ni kitu cha kawaida ila siku akiniomba 10k nikimwambia sa hv sina ananikasirikia, nikamuona mpuuzi tu, tena haamini kama sina ana uhakika mimi muda wote nakuwa na helaSijui hao wanaume mnawapata wapi wa aina hiyo? Mbona mimi nasaidiana sana wanawake wengi bila ya wazo la ngono.
Japo wanawake wengi wanazingua sana na hawana shukurani lakini binafsi akinijia mwanamke yoyote kwa kuniomba msaada wowote huwa nasaidia bila kutarajia chochote ilimradi tu kwa wakati huo hali inaruhusu kufanya hivyo, ila bahati mbaya ndio hawana shukurani aisee ukimwambia kwa leo sina ndio unazaliwa uadui. Pengine ndio maana wanaume wengine hufanya kama mleta mada alivyo sema lakini sio wote tupo hivyo
Sasa hivi nimejifunza, nina rafiki zangu 2 wa kiume ndio tunakopeshana tukiwa na shida. Wengine waende vikoba huko, warudishe kwa riba.Wee bwana nyie wananwake kuwakopesha ni majanga...ata simu hampokeagi. Dawa ni kuwaomba mbususu tuu
Na maisha yetu yanakuwa magumu sana kutokana na kukosa uaminifu.Sasa hivi nimejifunza, nina rafiki zangu 2 wa kiume ndio tunakopeshana tukiwa na shida. Wengine waende vikoba huko, warudishe kwa riba.
We kijana shida adabu yako, umekosa kabisa majina yote ya kuyatolea mfano, ukaona jina la John ndio linafaaa hapo.Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi
Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Watu wanaishi kwa ujanja ujanja, mwishowe wanaishi kwa kutaabikaNa maisha yetu yanakuwa magumu sana kutokana na kukosa uaminifu.
Unampa 300k kwa kazi gani hasa? Ni mkeo au. Hujui huo ni mshahara wa mtu wa mweziNi wabinafsi sana, yaani wanaona wao ndo wana haki ya kusaidiwa ila sisi wanaume hatuna haki, kuna demu nilikuwa nae kwa mwezi kumpa 300k ilikuwa ni kitu cha kawaida ila siku akiniomba 10k nikimwambia sa hv sina ananikasirikia, nikamuona mpuuzi tu, tena haamini kama sina ana uhakika mimi muda wote nakuwa na hela
Kuomba wala sio tatizo ila tatizo liko hapa kama ulikuwa ni muombaji alafu ukamuomba mwanaume ukiwa unatatizo serious mwanaume lazima akushushe thamani na wala usihesabie huo ni upendo ataona nitabia yako ya upigaji vizinga lakini kama ulikuwa sio muombaji ikatokea ukawa una shida serious hiyo hamna shida hata mwanaume anaweza akakupa bure hata bila masharti na atachulia tatizo lako kiuzito sasa mtoa mada yupo kwenye kundi lipi nilizongumziaHata Ivo ni biashara mwaya,mioyo ya upendo kushney sikuhiz
Mfano mimi nikiwa nina shida ya nyege nikaomba unisaidie unipe mbususu je unaweza ukanipa bure bila masharti yoyote?Mnavyokuwa wakali, kwa nini mwanaume anakubali kumpa hela mwanzo, akifika mpaka msex...kama hamjaelewa topic ya mtoa mada...
Yani wewe unaona "unastahili" pesa toka koka kwa mwanaume sio kaka wala ndugu yako, NA UNAONA NI HAKI YAKO KUPEWA PESA BUREE, qmmae we ni bwege sana. Wewe ulishawahi kuwapa wanaume wangapi pesa wenye shida ?! Stupid prostitute.Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi
Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Eeh ngoja tuona atajibu vipi mrembo. Umempata patamuMfano mimi nikiwa nina shida ya nyege nikaomba unisaidie unipe mbususu je unaweza ukanipa bure bila masharti yoyote?
mzabzab
ROBERT HERIEL
Ukitaka kula na wewe sharti uliwe mama. Hakuna hela za bure siku hizi.Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi
Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Wanawake ni wajinga sana mkuu, yani wanaona wanastahili kupewa tu, utadhani wao hua wanawasaidia wanaume masikini huko mitaani kwao.Yaani nyie mnadhani ndo mna haki ya kuomba tu huwa mnazitunzia kwetu sio!
Na sisi tuna shida zetu tena kubwa tu.
Kwa nini uniombe mimi hauna ndugu zako uwaombe?
Basi omba wanawake wenzako!
Nyie mbona tukiwatongoza hapo hapo nywele zimefuka, njaa inauma, kikundi, kodi inaisha, mama anaumwa, khaaaa! Jamani yote hayo tuyafanye bila kupata pa kujipoza!!