Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,338
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kiukweli hata utamu tunao wenyewe, ni basi tu.
Basi tu nini sasa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kiukweli hata utamu tunao wenyewe, ni basi tu.
Tukituma hatupati tunachokitaka..dawa we njoo tu uje kuchukua cash bila makatoMtume na ya kutolea tafadhali.
Tunawapendelea sana....hela tuwape, utamu tuwape.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tu nini sasa?
Utamu wangu naweza kuupata hata bila kuwa na ww...japo sio mdau[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tu nini sasa?
Watu wamempiga na kitu kizitoMaskini mdada wa watu ameufyata kabisa, na vile alivyomgeni humu sijui Kama atarudi Tena!!
Hamna shida hapo😅😅😅 ukiomba vocha ni kosa pia kwani??
asking for a friend. 😁😁
🤣🤣🤣🤣 Jamaa katumia maneno makali sanaAsee 😅😅😅 mimi ungenitukana hivi ningelia kwakweli 😅😅😅😅😅
JF hapana kwakweli
Ha ha ha...Kwanini usiombe hiyo pesa Kwa wazazi wako au kaka Zako, wajomba zako n.k
Hapana mamie sikutafuti nakumbushia tuNimekwambia acha kunitafuta...mxieww
Eeeh si ndio[emoji1787]Tunawapendelea sana....hela tuwape, utamu tuwape.
Comment makini Sana[emoji106]Kumsaidia mwanamke bila yeye kukupa penzi ni hasara sana coz wao huwa hawasaidii ukipata shida, hata ndogo tu isiyohitaji pesa huwa ni wagumu kujitoa.
Na wengi wao unapomsaidia pesa basi anadhani unamkubali hivyo huwezi kumchomolea.
Ndio maana tunajiweka seh salama ya kudai mbususu kwanza.
Muwaambie waache uchoyo.Tukituma hatupati tunachokitaka..dawa we njoo tu uje kuchukua cash bila makato
Sahii kabisa [emoji4]Mimi mwanamke ambae ninaweza kumpa ela bila kumgonga ni yule ambae nikishikwa na genye zangu hua ananipa bila masharti na bila kinyongo.. Yani simu moja tu kashafika getto (tena kwa nauli yake) tunafurahi kisha anasepa (kwa nauli yake pia). Huyu hata usiku wa manane akinipigia ana shida ya laki namtumia. Kwa bahati mbaya wanawake wa dizaini hii tangu nibalehe nimewapata watatu tu (nimewamiss sana Sarah, Anna na Amina [emoji10]).
Siku hizi nawapata hawa ambao ukimchana njoo getto analeta longo longo za nitumie nauli, nywele zangu zimefumuka siwezi kutoka (hapo kama nimebanwa sana na genye natuma tu nauli na pesa ya kusukia) akija getto anachezea mpini-nyama tena nahakikisha namwaga mpaka ubongo [emoji39] akisepa tumemalizana. Sasa mwanamke wa dizaini hiyo hata siku akitaitiwa na shida zake anataka nimpe ela, siwezi mtumia, ni lazima nasisitiza LAZIMA aifate getto...
Du kazi kweli. Nililijua mapema hili, siombi hela ya mtu. Kama nina shida namkopa ndugu au rafiki yangu na kurudisha kama nilivyoahidi. Tusipende vya bure, kama una shida kopa kwa mtu na umrejeshee bila usumbufu.
Wanawake wanavyogeuzaga macho makengeza nataka kuamini wanaenjoy kutushinda sisi.Wanawake ndio mmeifanya hiyo biashara kuwa juu. Utamu tunapata wote kuna uwezekano mwanamke ndio anapata zaidi,lakini bado anataka na hela juu.