Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kama mlisema haki sawa mnatuomba pesa za nini? Si siku hizi mnasema mnaamka kama sisi? Sasa chanzo cha umalaya ni nini kama siyo hizo shida zenu?
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kwani lini nyie mmewahi kuwa na utu. Why ukiwa na mpenzi basi ni lazima akupe hela. Nyie ndo mmeifanya imekuwa biashara mapema kabisa sisi tunasawazisha tu.
 
Sijui hao wanaume mnawapata wapi wa aina hiyo? Mbona mimi nasaidiana sana wanawake wengi bila ya wazo la ngono.

Japo wanawake wengi wanazingua sana na hawana shukurani lakini binafsi akinijia mwanamke yoyote kwa kuniomba msaada wowote huwa nasaidia bila kutarajia chochote ilimradi tu kwa wakati huo hali inaruhusu kufanya hivyo, ila bahati mbaya ndio hawana shukurani aisee ukimwambia kwa leo sina ndio unazaliwa uadui. Pengine ndio maana wanaume wengine hufanya kama mleta mada alivyo sema lakini sio wote tupo hivyo
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Ahahahahaaa.... What can you ofer zaidi ya sex kwenye mapenzi?
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kwa heshima kabisa namshukuru Azizi Mussa kwa post yake hii kwenye uzi Mapenzi ya siku hizi ni ya Nipe Nikupe! post namba 2... nimeikopi na kupesti hapa chini...

Kwa hiyo mapenzi ya kweli ni wanawake kupewa hela huku wao hawatoi thamani yoyote? Kwa maoni yangu, ili uhusiano uwe na maana, ni lazima kila upande uwe unatoa thamani fulani kwa upande mwingine, kwa hiyo kama wewe una uhusiano na mtu na hutoi thamani yoyote bali unadai tu, wewe ni famba na haki yako ni kupigwa matukio.
 
Mnavyokuwa wakali, kwa nini mwanaume anakubali kumpa hela mwanzo, akifika mpaka msex...kama hamjaelewa topic ya mtoa mada...
Wanasema "no free lunch".

Mwanaume anakubali kutoa helaa mwanzo coz ana expect kitu kutoka kwa mwanamke. Hakuna me wa kutoa pesa bila return yoyote unless awe blood related.

Siku hizi Ke wakimalizana na Me wanategemea kupewa pesa, yaani wakitoka Lodge Ke anasubiri kupewa "kifuta jasho", kwa nini iwe hivyo?
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kitakwimu wanawake ni wengi kuliko wanaume, kwanini hiyo 30K usiwaombe wanawake wenzako ?! Kama sio umalaya ni nini ?!

Hiyo 30K unataka upewe kana kwamba ni yako, uliiweka kwa huyo mwanaume ?! Ukweli pia ni kwamba wanawake hawana akili ?!
 
Back
Top Bottom