WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Nawashukuru sana members woote, asante sana mkongwe na Mama mkwe wangu AshaDii kwa kunikumbuka.'

Pamoja saana Mkwe. Asante sana kwa salamu.

Ahsanteni sana AshaDii shem langu la ukweli na mamaa la kisoviet Roulette..... Sitawasahau asilani!! Nikipata muda, na ntakapofanikiwa kuwa sober kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu uanze, ntawataja kwa majina.

Pamoja Saana shem. Enjoy
 
AshaDii nitarudi kujibu salamu hizi, kwa sasa naweza kusema tu asante mpenzi na ubarikiwe kwa kutukumbuka sie wanyonge.

Dear hivi wewe ndie wa kuonewa wewe?! Lol haupo kwenye kundi la wanyonge bana!

Usiniambie umesahau ulichoniahidi
Kama unasahau hata ulichomuahidi mdogo wako basi una hatari

Au ulikuwa unanitania?

Yaani kwa jibu lako hili nimeanza kuugua....lol!!

Huu mtihani... Maana nilivyo ahidi vilivyo viingi! :A S 39:

KakaKiiza embu nipe ratiba yako niweke kwenye kalenda ........!
 
Ahsante sana Da Asha,

Naomba sasa uendelee na kisha unipe mwongozo.

Ila niseme kutoka moyoni, wewe ni mtu wa aina yake ambaye sipati maneno rahisi ya kukuelezea in 1-2 sentences.

I am am always humbled by your comments.

Babu DC!!


Llikewise kaka DC. I am so humbled too... Saana tu! Hiyo zawadi wacha nije chumbani tuongee kabisa ili tupange mipango nyoofu. 😎
 
Dah! Kabla ya kuzunguka sana, ningependa kurudisha fadhila kwa SnowBall!
Thank you so much Mkuu! Hata sikudhani mtu unaekubalika kama wewe ungeweza kumkumbuka Zombie Mashaxizo na kumtakia Xmass njema + heri za mwaka mpya!
Ahsante sana Mkuu, nami nakutakia heri na baraka za Xmass + mwaka mupya!
Ubarikiwe sana!
...
Vile vile ningependa kumpongeza babu D.C kwa kutuwekea huu uzi wenye lengo la kujenga na sio kubomoa!
Thanks so much Mkuu! Na ubarikiwe sana!
...
Nikiishia hapo itakua naendeleza Uzombie! Wacha nichukue nafasi hii kumuomba radhi Bibie lara 1! Hey Lara, what's up?
Sorry sana Bibie! For sure, i was the SOURCE of that missery! Nisamee sana! Nilipanga nikuje piemo but nilisita due to the fact that sikukukera piemo!
Im not perfect, just forgive me!
Na nakutakia heri ya Xmass + new year {2014}
tena uarange thiku nikuje niku-hugg bibie! Lol!
...
watu8!
Nakukubaligi sana mkuu! For sure umetoa matongo ya kiFB! heri na Baraka za Xmass + new year ziwe nawe Mkuu!
...
Also ningependa kuwatakia heri na baraka za mwaka mpya akina:
mwekundu! hahahahaaa! Niajjeh?
.
Mentor! Mkuu lini tutameet?
...
Washawasha! Hahahahaa! Usilog off mkuu!
Ennie!
...
Dah! Jaman, thiwedhi kuwataja nyote!
So, na Member wote watakaoona hii post heri na baraka za Xmass + mwaka mupya ziwe nanyi.
mbarikiwe sana!
Heh! Mashaxizo jamani,mbona mi sina ujumbe? Nitanuna ujue!!!
Merry X-Mass Best na 2014 ubebe yote unayohitaji na zaidi.
Stay blessed best.
 
Last edited by a moderator:
Llikewise kaka DC. I am so humbled too... Saana tu! Hiyo zawadi wacha nije chumbani tuongee kabisa ili tupange mipango nyoofu. 😎

Kwako wewe huwa sifanyi utani hata kidogo and I should say that I am very very serious. Mwaka huu lazima nimpe zawadi Maxence Melo hata kama ni bakuri la uwono (dagaa watamu hao) kutoka kwa bibi.

Please take it seriously Da Asha.

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Heh! Mashaxizo jamani,mbona mi sina ujumbe? Nitanuna ujue!!!
Merry X-Mass Best na 2014 ubebe yote unayohitaji na zaidi.
Stay blessed best.

Hahahahahaaaa!
Uthinune best wewe ni wangu mwenyewe, roho tu ya Mungu!
Nilijua upo karibu na tutaongea mawili matatu coz naamini hata wewe unaujumbe wa kunipa! Just be free na pasuka uwezavyo!!!
Mimi thio Mchoyo kama Babu DC aliegonga like na kuibandua! Kaona ntapaata!
...
Tho, naomba ujumbe wako kwangu fasi, then nitakuambia kitu!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana my dear......
Special greetings to you as well....
Me love you miiiingiiiiiiii

I am humbled Dearest. Love you miiiiiiingiii zaidi.

Kwako wewe huwa sifanyi utani hata kidogo and I should say that I am very very serious. Mwaka huu lazima nimpe zawadi Maxence Melo hata kama ni bakuri la uwono (dagaa watamu hao) kutoka kwa bibi.

Please take it seriously Da Asha.

Babu DC!!

Tutapanga kaka. Hutajutia kunichangua assistant wako am telling you. Like always, so humbled.
 
Hahahahahaaaa!
Uthinune best wewe ni wangu mwenyewe, roho tu ya Mungu!
Nilijua upo karibu na tutaongea mawili matatu coz naamini hata wewe unaujumbe wa kunipa! Just be free na pasuka uwezavyo!!!
Mimi thio Mchoyo kama Babu DC aliegonga like na kuibandua! Kaona ntapaata!
...
Tho, naomba ujumbe wako kwangu fasi, then nitakuambia kitu!
Unataka kudesa best? Basi usijali Mashaxizo mwakani ubadilishe avatar huyo wa kushoto anafoka sana.
 
Last edited by a moderator:
Unataka kudesa best? Basi usijali Mashaxizo mwakani ubadilishe avatar huyo wa kushoto anafoka sana.

Hahahahahahaaaaaa!
Best mjanja weye! lol!
Lakini usjali ujumbe umefika!
Haki ya Mungu nimechekaje! Hongera zako!
...
Lakini ukumbuke, sometimes huyo wa kushoto anachokozwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom