WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Last edited by a moderator:
Niko vizuri babu DC, namshukuru Mungu.

Asante kwa kunipa hiyo recognition ambayo kiuhalisia siistahili.


Eti nini?

Halafu, hebu nikumbushe, dogo si kamaliza unjuka Nov?

mwambie babu anatamani kumwandalia party ili kumweka sawa na changamoto zinazomsubiri.

Unasemaje?

Babu DC!!
 
Nikutumie ticket ya boat, ndege, bus au unataka private drive?

Sema unachiotaka my cute grand daughter!

Babu DC!!

awwwwwwwwwhhh!!! babu umenismailishajee! ticket ya bus tu inanitosha. sina makuu mjukuu wako.
 
Asanteni babu DARKCITY na dada AshaDii kwa salamu nzuri za kufungia mwaka nami nakiri kuwa kwa kweli jf ni sehemu nzuri ya kujifunzia,kufahamiana kujenga mahusiano mazuri,kuelemishana,kukosoana pale inapofaa,kufahamishana mambo yanayoendelea katika jamii zetu, kupata ushauri ambao ukitumiwa vizuri ni wenye manufaa JF na idumu.

Ahsante sana mkuu,

inatia moyo kupata ushuhuda kutoka kwa wadau mbali mbali wa Jf.

Karibu sana kwenye grand tour ya mwaka 2013..

Cc. Preta

Babu DC!!
 
awwwwwwwwwhhh!!! babu umenismailishajee! ticket ya bus tu inanitosha. sina makuu mjukuu wako.

Basi nimekubali kwamba wewe siyo dot com...with all those options and yet you opted kuchukua bus? (Kuna jamaa fulani na mafweza yao walikuwa anaikashifu bus kwamba ni "looser cruiser"!

Kama kuna kitu huwa kinanifanya nisikie furaha na amani, ni taarifa kama hii kwamba kuna mtu ame-smile kwa sababu yangu. You made my day Hus,

ubarikiwe sana,

Babu DC!!
 
Mkuu Dark City asante sana kwa uzi huu ambao kwa kweli unakumbusha mengi sana
Jf imekuwa kituo cha mafunzo, sehem ya kubadilishana mawazo, sehem ya kujifunza na nimejifunza mengi sana kupitia JF na kukutana na changamoto mbalimbali za maisha
Nimekutana na wafundishaji na waelimishaji wengi sana AshaDii, Himidini, SnowBall, HorsePower, mwalimu wangu gfsonwin, King'asti, babu Dark City, Mbu) ambao kwa namna nyingine walichangia kunielimisha na kunifundisha mengi sana ya maisha na namna ya kuishi na watu mbalimbali na mafunzo kuhusu maisha ya ndoa kiujumla
Nimekutana na marafiki ambao kwa kweli wamechangia mengi sana katika maisha yangu ya kuwa humu JF kwa mwaka huu 2013 na hao sitawasahau Erickb52 (kaka asante sana), Vin Diesel (mpango wako wa penda penda ufe mwaka ujao utulie) grafani11 (ujue tunashare Heaven on Earth mpaka mwakani) kiwatengu, sosoliso, stevoh, Arushaone, BAK (mkuu pamoja sana ) EMT, The Finest (sijui kapotelea wapi), Mentor (kumbuka ahadi yako mkuu) The Boss, Rutashubanyuma (mkuu asante sana kwa michango yako yenye kila aina ya hekinma na busara, Nicas Mtei (mkuu umepotea sana) Bishanga, binamu zangu wa ukweli ambao mchango wao sitausahau Madame B, Heaven on Earth (mwambie grafani11 mpango wetu wa kuwa wetu sote uko pale pale hata 2014, Mamndenyi, Lily Flower, sweetlady, ladyfurahia, Chocs, amu, snowhite, Preta, Blaki Womani, Kaunga, Paloma, Passion Lady, Evelyn Salt, KOKUTONA (jua mpango wetu wa kwenda rocky sity uko pale pale), na The secretary, charminglady, Lady doctor
Siwezi kuwataja hao bila kumtaja wangu wa pekee na mpendwa wangu Dena Amsi na nampenda sana
Kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyingine kuyafanya maisha ndani ya JF yawe mazuri ila pokeeni salam zangu za Xmass na mwaka mpya na tuombeane wote tuuone mwaka kesho kwa amani na furaha
Cc TANMO, DEMBA, Kaizer, KakaJambazi, Filipo, Mungi, Mzee wa Rula, LIVEPOOLfc, PakaJimmy, Ruttashobolwa, IGWE, Tutor B, marejesho, Simplicity

Niwatakie kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuanza mwaka 2014 kwa afya na ulizi wa Mungu na naamini mwakani tukakutana hapa tena katika kuendeleza kila jema miliolitenda kwa mwaka huu.
Asanteni sana
 
Last edited by a moderator:
JF, mimi inanipa raha sana, najifunza pia mengi tu.
jf imenifanya niwe na urafiki na watu, pia ah...
kiwatengu pamoja kaka.... Dark City, nitakutafuta Babu nikija tanga, juzi nilikuwapo huko lakini ilikuwa siku moja nzito yenye mambo mengi sana...
 
Last edited by a moderator:
Naomba niwe assistant wako katika hili kaka DC. Mie napenda kweli kuchagulia watu zawadi. 😎

Naomba nikubalie tafadhali. lol


Ahsante sana Da Asha,

Naomba sasa uendelee na kisha unipe mwongozo.

Ila niseme kutoka moyoni, wewe ni mtu wa aina yake ambaye sipati maneno rahisi ya kukuelezea in 1-2 sentences.

I am am always humbled by your comments.

Babu DC!!
 
kiukwei ndugu zangu wote wa jf, nawakubali sana na kuwapenda sana...huwa Napata raha sana kusoma threads mbalimbali nyingine nabaki nacheka mbavu sina, zingine za huzuni nahuzunika, nyingine za kujifunza mambo basi najifunza mambo mapya...yaani nimekuwa adikted hadi nikifika ofisini baada ya kuwasha kompyuta cha kwanza kufungua ni JF! MBARIKIWE SANA NA MOLA AWAFANYIE WEPESI KATIKA MAJUKUMU YENU NA MIHANGAIKO YENU KWA MWAKA WOTE WA 2014 NA MILELE...amina Inshaallah!
 
Basi nimekubali kwamba wewe siyo dot com...with all those options and yet you opted kuchukua bus? (Kuna jamaa fulani na mafweza yao walikuwa anaikashifu bus kwamba ni "looser cruiser"!

Kama kuna kitu huwa kinanifanya nisikie furaha na amani, ni taarifa kama hii kwamba kuna mtu ame-smile kwa sababu yangu. You made my day Hus,

ubarikiwe sana,

Babu DC!!

emen babu. nakuombea maisha marefu ya furaha na busara zizidi kuongezeka kadri unavyozeeka. mungu akuepusha na tabia mbaya walizonazo wazee wa mujini. lol..... babu Asprin atatoa ufafanuzi hapa
 
Last edited by a moderator:
Very special for mkuu EMT... Much respect kwako kaka


Yuko wapi lakini?
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabla ya yote napenda sote kwa pamoja hapa MMU tuutunuku uzi huu kuwa uzi bora wa kufungia mwaka kwa pamoja. Ni imani yangu kuwa kili mmoja wetu humu ataelezea namna ambavyo MMU imekuwa nzuri kwa upande wake.

Kwa upande wangu mie. Kiukweli sijawahi kujuta kuwepo humu na kufahamiana na yeyote humu. Nimepata marafiki wengi. Na wengine wamekuwa zaidi ya ndugu kwangu.

Kwa upande wa MMU kwa kweli nimepata mengi sana ya kujifunza. Zamani kidogo ilikuwa ngumu sana kuamini kama itawezekana kuishi na kuelewana na mtu ambaye hamjawahi kuonana hata kwa sura. Naweza kusema kuwa nimefahamiana na wengi humu na tumekuwa tukisaidiana, tukishauriana kwenye mambo mengi. Sasa kupitia MMU nimeamini kuwa jamii hii ya humu mtandaoni haina tofauti na hizi ambazo tuko nazo mitaani tuishipo.

Shukrani ziwafikie Mtambuzi, gfsonwin, snowhite, Dark City, Mentor, Heaven on Earth, KOKUTONA amu, Mwanyasi, YNNAH, Smile, Jiwe Linaloishi, AshaDii, Maxence Melo, watu8, Cantalisia, sweetlady, Preta, Mamndenyi, Madame B, Kijino, cacico, Asprin, @FP, Fixed Point, charminglady, Elizabeth Dominic, Kaunga, Zion Daughter, Arushaone, marejesho, Baba V, MMAHE, Asnam, christine ibrahim, Filipo, Remmy, Nivea, Ruhazwe JR, @c6, Kichwa mbovu, Kaizer, Husninyo ladyfurahia, BAK, nameless girl, @lara1 Arabela, Judgement, BAGAH, Erickb52, Crashwise, Mungi nitonye Kipaji Halisi, Lady doctor, Passion Lady, Ruttashobolwa, Sanctus Mtsimbe Bishanga, The secretary Rejao, Kaka Kiiza Ablessed King'asti, Paw, Mr Rocky, Kwa kweli kutoka moyoni mwangu wanaotakiwa kushukuriwa ni wengi sana. Hao niliowataja ni wachache sana. Ambao sijawataja msidhani nimewasahu. Nikisemaniwataje wote humu basi hii post itakuwa ndefu sana.nawashukuru wote kwa pamoja.

Mungu ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki JF, Mungu awabariki viongozi wa JF na members wote.
dalaliii i miss u kweli kipekee nawashukuru kwakutambua tu uwepo wangu na kuthamini asante sana @-nicas mtei
 
ahsante babu loo mpaka mda huu hujalala?
Kwi kwi bibi ana kazi gani?
Binafsi napenda kuwashukuru wafuatao Mtambuzi kwenye hardest time alikuwa karibu sana na mie sana jamani yaani kiukweli he is one of the kind kanifungua upeo sana,mambo mengi kanisaidia ni mtu pekee anayenijua in and out.Yaani Mtambuzi ana moyo wa ajabu sana yes yaani ana impact kubwa sana kwangu.Ninamuheshimu sana
Pia napenda kuwashukuru snowhite na gfsonwin kile kikao cha siku ile pale ubungo kilinitoa kwenye handaki ujue nawashukuru sana na impacts yake before april mtaiona hapa Nicas Mtei anahusika sana.Jamani humu ndani kuna maangel hapa natamani niandike kila kitu ila nashindwa.
Napenda kuwashukuru tanga wing mlinipa support zaidi ya mara 3 tanga kwenye msiba wa dada yangu,kwenye msiba wa shangazi yangu na nlipoenda kumuuguza dada yangu mwingine kiukweli sina cha kuwalipa nilifurahi sana hapa naandika huku nalia ahsante sana YNNAH ahsante mohamed Mtoi ahsante sana nakushukuru sana hii kumbukumbu haitafutika ahsante sana Mwanyasi ahsante sana arabella ahsante mwenyekiti Dark City ahsante sana mzee CHUAKACHARA ahsanteni sana kwa kweli.
Pia napenda kumshukuru Kaizer alikuwa karibu sana na mimi ana impact kubwa sana kwangu.
Paloma ahsante mamiii ahsante kwa kila kitu umenisaidia kwa kweli na upo karibu sana na mimi.
Madame B nakushukuru kwa kweli una roho ya peke yako ahsante mama.
Nicas Mtei ahsante kwa miushauri yako ya ukweeee watu8 mtaalamu wangu ahsante kwa kutonichoka nikikwamaga mambo yetu ya technolojia mtu wangu wa ukweee.
Special thankx kwa @Maxence Mello kaka mkubwa wa ukweee.
Ahsanteni kiukweli nachoweza kusema nilingia jukwaani mweupe peee ila sahivi i have a confidence,nina msimamo balaaa yaaani mpaka mengine niliyopitia nasema kama bila jf sidhani kama ningeyamudu.
Kipaji Halisi ahsante sana jirani yangu wa ukwee.
ahsantee jirani
 
Back
Top Bottom