Uongozi wa TBC ulishatoa taarifa serikalini kuwa mitambo yao ina tabia ya kubadirisha kauli za watu hasa viongozi wa juu, na kuwafanya wasikike tofauti na walivyoongea.
Hivyo basi tunapenda kuwahakikishia watanzania kuwa, rais hakupata kuongea kauli hiyo mahala popote, ni bahati maya kuwa tatizo hilo la kiufundi, safari hii limeathiri kauli ya rais.
Wizara imeshaongea na makandarasi kutoka China na Madagascar ambao wataingia muda wowote kuanzia mwezi October kwa ajili ya kushughulikia tatuzo hilo.
Tunawaomba radhi wananchi kwa usumbufu uliojitokeza baada ya kauli na maelezo ya rais kuharibiwa na mitambo.
Imetolewa na Kurugenzi ya mawasiliano hapa kwenye Magogo.
Mkurugenzi wa hayo mawasiliano.
Saa ya silva Rey na Mamuu.
CC:
Yericko Nyerere,
Mohamedi Mtoi,
Crashwise,
MSALANI,
Ritz,
Pasco,
Simiyu Yetu,
Chabruma