Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Kwa kuwa chadema mmezowea mapigano na umwagaji damu,basi kauli hii nyinyi mnaitafsiri kwa mujibu wa taratibu zenu.

Hatuzungumzii kuhusu CDM auCCM Hapa tunazungumza kuhusu kauli yenye ukakas kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi ime nisikitisha sana
 
CDM wanahofu, walizoea kuwapiga, kuwatesa hata kuwaua wana CCM. Lkn sasa itakua jino kwa jino. Kauli hiyo imechelewa sana. Swala hapa cdm wajue kua thamani ya mwana ccm mmoja ni sawa na cdm 5. CCM wamejifunza kutoka Arusha kuwa wakipiga mkijibu kwa kipigo cdm wanachanganyikiwa. Sasa ni mbinu za waisrael, ukiua mmoja wanaua watano. Hii itawatia adabu cdm. Wakiua,kujeruhi ccm1, ueni na mjeruhi cdm 5 ukianza na viongozi wao.
 
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.

Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.

Source: News, TBC1

Sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.

Hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? Kwa kuua au?

Kama cdm wataua nao wajue watauawa. Huelewi nini! Mnatoboa watu macho kwanini yenu yasitobolewe?
 
Mnaoshabikia kauli ya JK nina wasiwasi na upeo wenu wa kufikiri. Mkiuana ndio mnapata faida gani. Upuuzi mtupu
 
Peter Kibatala anaandaa kukamilisha mashtaka na anakwenda Mahakama kuu kufunguwa kesi ya kikatiba dhidi ya huyo Vasco da Gama.

Hizi pumba zako subili uende ukawajibu majaji kesi ikishaaiva

Ndio nini hicho?
 
He he he 😀 Dada FaizaFoxy Vifua mbele kwa Tanzania hii yenye matatizo kila kukicha..!!!

kwani hujui unyonge wenu unatokana na nini..?

Ukiwa dhaifu tegemea kuwa mnyonge...

Kila nchi duniani ina matatizo yake, ngoja uende peponi ndio hakuna matatizo.
 
Chadema tunakupongeza sana JK kwa kujitahidi kutekeleza ahadi yako ya kuiua CCM kabla ya 2015, tulidhani unatania kumbe uko serious. .kwa style hii ya kauli ya kuhakikisha CCM unawapoteza njia nimeikubali, makubwa jinga ya CCM yatakuja kwa raia kupiga piga ovyo alafu wananchi wakose nao imani kuyapa uongozi na huo ndio utakua mwisho wao..nimeipenda hii mbinu mkuu...
 
Poor you indeed
Period you indeed
attachment.php
 
Tulitaka aseme CCM mkipigwa mbele mtoe na 0713 we mwehu kwani sheria hakuna,tatizo lako unawaza kupitia 0713
sasa leo magwanda hasira na matusi ni ya nini ?
Mtu kaongea na Wanachama wake, mbona alipotoa ruksa hiyo 2012 pale Kizota kuwa tusisubiri mpaka Mwenyekiti wenu ajibu pambaneni nao hukohuko hamkupiga kelele?
sasa ni Jino kwa jino
Kikwete: Unyonge CCM basi - Kitaifa - mwananchi.co.tz
kikwete+pix.jpg


mfano wa matukio kadhaa ya uvunjifu wa amani katika kampeni katika maeneo ya Igunga mkoani Tabora na Kahama mkoani Shinyanga.
“Maana tunashindana na wenzetu wagomvi maana wao ugomvi ndio sehemu ya mwongozo wa kufanya kazi ya siasa. Maana pale Kahama kijana wamemtoa macho kwa bisibisi. Acheni unyonge (makofi)
.
 
Kwa nguvu zote hizi za kikatiba ameshindwa nini kulihamuru jeshi la polisi kuwakamata waliovunja sheria huko Kahama?

Ndugu zangu, ni kwa nehema tunavuka salama hawamu ya nne ya J. K. Haya yatukumbushe na kuunganisha matukio ya nyuma kwa jk ni mhusika.

Haiwezekani Mwangosi auawe jk akae kimya na badala yake muaji apandishwe cheo. Mwigulu atuhumiwe mauaji Arusha leo naibu wazir. Mwigulu huyo huyo atembee na mmwagiwa tindikari kuamsha hasira za adhira serikali kimya, naleo tusikie kutoka kwake 'live' akiahamasisha wafuasi wake washike bisi bisi kuua kama 'wapinzani' walivyofanya Kahama.

Inanisikitisha sana! Naomba wenye hekima, jeshi, mahakama haraka walikemee ili. Hali iko wazi CDM haitakuwa tayari kuibiwa kura...razma vyombo vinavyohusika viweke uwazi wa pande zote ktk mchakato wa campaign na kupiga kura.

Huu ni 'unterahamwe'!
mbona wameibiwa kata ishirini na tatu wametuli kwa hauli hiyo watanyooka
 
Lazima atengue kauli yake, hawezi kuwa juu ya sheria hata kama ni raisi na pia tupo nchi ya kidemokrasia sio ya kidikteta ya mtu kuamka tu na kuamuru anachotaka. Nchi ina sheria na wasimamizi na watekelezani wa sheria wapo. Kama anafikiri wanaccm wametobolewa macho na wapinzani vyombo vya sheria vipo kwanini asiamuru wahusika wote wafikishwe mbele ya sheri, na badala yake anatangaza kuchukua sheria mkononi, anataka kutuambia nini mifumo ya sheria iliyopo imekufa na hata yeye mwenyewe haiamini kama inaweza kuwasaka wahalifu? Kama jibu ni ndiyo kwanini asichukue juhudi za makusudi kufufua mifumo hiyo. Je endapo wananchi wakachukua sheria mkononi kama alivyoruhusu na kuleta maafa makubwa atakuwa na ubavu wa kukemea au ataacha mambo yaende mpaka wote tukimbie nchi. Binasfsi nadhani anataka nchi iingie kwenye machafuko ili yeye na wenzake wa huko duniani waje kupora gesi yetu na madini yetu. Watanzania tuamke tusiwe wajinga tusikubali mheshimiwa atuvuruge tukatae. Hizo ni njama kutoka huko kwa wenzetu ili pale tunapochapana wenyewe wanapora mali yetu. Si mnaona DRC Congo? Ndo hicho wanataka. Tuungane wote kumpinga na tusipumbazike tuseme alikolalia yeye sisi ndo tumeamkia. Funguka mtanzania usikubali hapa hapigani mtu , tunachunga mali zetu tupo macho.
 
Mungi umemaliza kila kitu hapa
lakini wasijisahau kuwa kuna watu walirekodi hiyo kauli tofauti na TBC
JK hapa hana pa kutokea, kahalalisha kaul ya Pinda na kahalalisha mauaji rasmi
The hague hiyo inamsubiri. akimaliza ngwe yake kwa damu kumwagika hata pona.

Uongozi wa TBC ulishatoa taarifa serikalini kuwa mitambo yao ina tabia ya kubadirisha kauli za watu hasa viongozi wa juu, na kuwafanya wasikike tofauti na walivyoongea.
Hivyo basi tunapenda kuwahakikishia watanzania kuwa, rais hakupata kuongea kauli hiyo mahala popote, ni bahati maya kuwa tatizo hilo la kiufundi, safari hii limeathiri kauli ya rais.
Wizara imeshaongea na makandarasi kutoka China na Madagascar ambao wataingia muda wowote kuanzia mwezi October kwa ajili ya kushughulikia tatuzo hilo.
Tunawaomba radhi wananchi kwa usumbufu uliojitokeza baada ya kauli na maelezo ya rais kuharibiwa na mitambo.

Imetolewa na Kurugenzi ya mawasiliano hapa kwenye Magogo.

Mkurugenzi wa hayo mawasiliano.
Saa ya silva Rey na Mamuu.

CC: Yericko Nyerere, Mohamedi Mtoi, Crashwise, MSALANI, Ritz, Pasco, Simiyu Yetu, Chabruma
 
Back
Top Bottom