Asamehewe bure kwasababu alighafilika baada ya kupewa na kuisoma report ya mwenendo wa chama hasa katika chaguzi ndogo.
Peter Kibatala anaandaa kukamilisha mashtaka na anakwenda Mahakama kuu kufunguwa kesi ya kikatiba dhidi ya huyo Vasco da Gama.
Hizi pumba zako subili uende ukawajibu majaji kesi ikishaaiva
Mi Kikwete namheshimu sana personally. But kauli aliyotoa amenidisappoint
Nadhani ni maneno ya watu tu mitaani, inawezekana kweli rais wetu Mh. Jakaya Kikwete kuwa ametoa agizo kuwa wana ccm waache unyonge na wajibu mapigo pale wanaposhambuliwa. eti watumie silaha yeyote iliyokaribu kama bunduki, panga, kisu, tindikali, meno au kucha? nasema siamini kwakuwa kauli hii angeitoa Knana, Nape au Mwigulu ningeipuuza kwa kuwa najua hawa ni wendawazimu, lakini kinachonipa shida kauli hii imetolewa na kiongozi mkuu wa nchi, kwa maana nyingine kauli yake ni sheria,hivi ni kweli nchi yetu ndio hatua iliyofikia hii ya kuwa na ombwe la uongozi? hapana hakusema hivyo labda alisema kuwa vyombo vya dola viwashughulikie kwa mujibu wa sheria wote wanaojaribu kufanya uharifu kwa kisingizio cha siasa, labda wamemnukuu vibaya, inakuwaje mtu mwenye kauli juu ya vyombo vya dola kutoa kauli hiyo? sawa hivi kama ccm watatii kauli hii ya rais na mwenyekiti wao na wakaanza kuwaumiza wapinzani ni polisi gani anayeweza kuwazuia wakati amri hii katoa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Sasa nataka kuwambia wafuasi na wanachama wa upinzani kujiandaa kupambana na si kutegemea polisi, polisi tayari washafungwa mikono kwa kauli hii ya rais, pia napenda niwatoe hofu wapinzani kuwa ccm ni wachache na waoga hawawezi mbilinge, na kwa kuwa kiongozi wao ameshawamuru kuwapiga, kuwajeruhi na kuwaua wapinzani nasi hatuna mtetezi tupambane mpaka mataifa ya nje yaje kuamulia, kote tunaposikia machafuko ndivyo walivyoanza kwa kuwa kuwa na viongozi walevi
Hivi huyu mnayemwita rais Kikwete anajua matukio yaliwakuta wafuasi wa Chadema kwenye kila chaguzi? Mimi nadhani sasa ni wakati wa Chadema kutekeleza ule mkakati wetu wa kuimarisha vikosi vya ulinzi wa Red Brigade, maana hali ya hatari imeshatangazwa dhidi yetu na hili halina kificho sasa ni hadharani tu.
The Heagie ile paleee
Tunatakiwa tusiwe wanyonge tutembee vifua mbele CCM ndio tunaotawala hii nchi.
Mpo hapo mlipo?
...True Kamanda jamaa kashatutangazia !!!!
Tumesema sasa unyonge basii! Haya tafsiri unavyotaka wewe.
...True Kamanda jamaa kashatutangazia !!!!
Watu wenye mtindio wa ubongo ndiyo wanaoongza Tanzania,sasa mnategea nini wakati anatoa hili tamko tena kwa kusisitiza,matahira walikuwa wanashangilia kwa nguvu zote,na wengine wameenda bar kujipongeza kwa kauli ya TAAHIRA.
Tumesema sasa unyonge basii! Haya tafsiri unavyotaka wewe.
Watu wote wapenda AMANI,hasa wanaharakati wa Tanzania wasipolisemea hili Tamko la Rais,wajue kabisa wanakalibisha mauaji ya kimbari Tanzania,ninaomba mijadala ifanyike ya wazi kabisa kujadili hii kauli inayotolewa na Rais wa nchi.Wamwambie lazima aombe radhi kwa kauli yake,maana kauli yake ni sheria kamili ambayo itatekelezwa na watu wote.
Hata kauli ya "wapigwe tu" ilipotolewa nao walishangilia sana
Nimefuatilia vyombo vyote vya Habari ni kweli amezungumza ndani ya Kikao halali km Mwneyekiti akatoa mifano ya Tindikali Igunga na kutobolewa Bisibisi huko Kahama, sasa mlitaka WanaCCM wasijibu. km jicho kwa jicho ndio hapo sasa
View attachment 139548(poor you) haya mambo ya kumuita mwanamume mzima PUA YU
Dunia nzima inajua Tanzania hawana rais,ndie huyu Pk anamwinda kwa udi na uvumba...
Cjapata ona rais mbovu kama huyu,hivi yeye ni rais wa ccm au tanzania hata busara hana..