Hivi ndivyo nilivyomuelewa mimi, kama tunavyojua unyonge ni kukosa nguvu, na nguvu anayoiongelea ni nguvu ya hoja sio ya msuli, kushindwa kujieleza mbele ya wananchi bila kukiponda chama kingine au mtu fulani, ni unyonge (udhaifu), kushindwa kujenga hoja ni unyonge, kutegemea dola ni unyonge, kutumia wingi wenu kupitisha jambo badala ya hoja au manufaa ya taifa ni unyonge.
Huo ni wito katoa kwa wanaccm, mwenye sikio na asikie. Jifunzeni uzalendo, na kujiamini pia
Huo ni wito katoa kwa wanaccm, mwenye sikio na asikie. Jifunzeni uzalendo, na kujiamini pia