Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Hivi ndivyo nilivyomuelewa mimi, kama tunavyojua unyonge ni kukosa nguvu, na nguvu anayoiongelea ni nguvu ya hoja sio ya msuli, kushindwa kujieleza mbele ya wananchi bila kukiponda chama kingine au mtu fulani, ni unyonge (udhaifu), kushindwa kujenga hoja ni unyonge, kutegemea dola ni unyonge, kutumia wingi wenu kupitisha jambo badala ya hoja au manufaa ya taifa ni unyonge.
Huo ni wito katoa kwa wanaccm, mwenye sikio na asikie. Jifunzeni uzalendo, na kujiamini pia
 
Heri hivyo kuliko vurugu ambazo zinaweza kusababisha mauti yangu.....Wewe inaelekea upo tayari kufa kuliko ulazimishwe kulala saa kumi na moja jioni ! After all utakachotakiwa ni kuwa nyumbani kwako (sio kulala)...unaweza kulala hata saa saba usiku as long as haurandi randi mitaani.

Uko tayari kulala saa kumi na moja jioni?
 
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.

Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.

Source: News, TBC1

Sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.

Hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? Kwa kuua au?

Duh nimemsikia mpaka nikaogopa kama kweli rais wa nchi anaweza tamka maneno ya nanmna ile ni htar kwa kweli kwa aman.
 
Hii ni hali ya kutojielea kua yuko position gani katika nchi hii. Kwa hakika kiongozi wetu huyu kachoka akapumzike kwa sasa maana hii ni kama kuidhinisha watu wauane.

Kwa nini unalama, mbona Katiba yetu iko wazi tu:

President of the United Republic Act No.15 of 1984 Art.9:
33.-(1) There shall be a President of the United Republic. (2) The President shall be the Head of State, the Head of Government and the Commander-in-Chief of the Armed Forces.

Discharge of duties and function of President Act No. 15 of 1984, Art.9; Act No.4 of 1992 Art.12; Act No.34 of 1994 Art.6; Act. No.1 of 2005 Art.9; G.N.No.133 of 2001; G.N.No.150 of 2005

37.-(1) Apart from complying with the provisions contained in this Constitution, and the laws of the United Republic in the performance of his duties and functions, the President shall be free and shall not be obliged to take advice given to him by any person, save where he is required by this Constitution or any other law to act in accordance with the advice given to him by any person or authority.

(2) Where the Cabinet finds that the President is unable to discharge the functions of his office by reason of physical or mental infirmity, it may submit to the Chief Justice a resolution requesting him to certify that the President by reason of physical or mental infirmity, is unable to discharge the functions of his office. Upon receiving such a resolution, the Chief Justice shall appoint a medical board of not less than three persons from amongst experts recognized as such by the law governing medical practitioners in Tanzania and such board shall inquire into that issue and advise the Chief Justice accordingly, and he may, after considering the medical evidence, present to the Speaker a certificate certifying that the President, due to physical or mental infirmity, is unable to discharge the functions of his office; and if the Chief Justice does not rescind that certificate within seven days for the reason that the President's condition has improved and he has resumed work, then it shall be deemed that the office of the President is vacant, and the provisions contained in subarticle (3) shall apply.
(3) Where the President is absent from the United Republic, or is unable to discharge the functions of his office for any other reason, the duties and functions of the President shall be discharged by one of the following, in the order specified, that is to say (a) the Vice President or, if his office is vacant or if he is also absent or is ill; then (b) the Prime Minister. (4) Where the Prime Minister is discharging the duties and functions of the office of President by reason that the Vice President is absent, then the Prime Minister shall cease to discharge such duties and functions if any of the following events occurs first (a) the President returns in the United Republic or, his condition improves and reassumes the discharge of the duties and functions of the President; or (b) the Vice President returns in the United Republic.
 
Mkuu Tuko nadhani wewe ndio uko out of your mind ... hizi propaganda za kumchafua Rais wa Tanzania tumeshazibaini, na hatutaziacha ziendelee!

Hachafuliwi na mtu anajichafua mwenyewe!
Juzi amepiga kelele eti Sundaymirror wanamuonea waliporipoti kuwa tembo wanauawa Presdaa anaturn blind eye. Lakini sijui kuchanganyikiwa, akathibitisha hilo menyewe alipokuwa akihojiwa akasema anawafahamu wanaoua tembo takriban 40. Kumbuka yeye ndiye mwenye mamlaka na hao 40 sijui hawaoni wakiendelea kumaliza tembo! Sasa alikuwa anachechetuka kwanini gazeti lile liliposema anawafumbia macho?

Tukumbuke ile documentary/ Stori ya mapanki kule lake Victoria. Alipiga kelele kumlaumu Author na Watanzania tukaimbishwa wimbo huo wa kulaani yule Author ilihali deep down ulikuwa ni ukweli mtupu kuwa watu walikuwa wanakula mapanki.
Si ajabu tukaja kusikia hata tuhuma kuwa ni kweli waasi wa kinyarwanda walikutana naye Dodoma kama walivyodai.

Kuhusu siasa chafu nani asiyejua kuwa jamaa ndiye bigwa hapa bongo? Nani aliyeanzisha siasa za makundi hata ndani ya CCM yenyewe? Nani asiyejua Dr. Salim A. Salim alivyohujumiwa kwa propaganda za kibaguzi kabisa na huyuhuyu jamaa yetu?
So hachafuliwi na mtu amejichafukia mwenyewe na kwa bahati mbaya sana anachafua hata nchi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi ndivyo nilivyomuelewa mimi, kama tunavyojua unyonge ni kukosa nguvu, na nguvu anayoiongelea ni nguvu ya hoja sio ya msuli, kushindwa kujieleza mbele ya wananchi bila kukiponda chama kingine au mtu fulani, ni unyonge (udhaifu), kushindwa kujenga hoja ni unyonge, kutegemea dola ni unyonge, kutumia wingi wenu kupitisha jambo badala ya hoja au manufaa ya taifa ni unyonge.
Huo ni wito katoa kwa wanaccm, mwenye sikio na asikie. Jifunzeni uzalendo, na kujiamini pia

Hebu msome kauli zake hapo chini kabla hujajitoa ufahamu.!

“Tunashindana na wenzetu wagomvi, maana wao ugomvi ndiyo sehemu ya mwongozo wa kufanya kazi ya siasa,”alisema Kikwete bila kutaja chama chochote cha siasa kwa jina.

“Tulizungumza nalo hilo kwenye Kamati Kuu, tulikubaliana kuacha unyonge. Ndiyo, kwenye Kamati Kuu tumekubaliana, tumesema jamani watu wote waende wakaseme tumekubaliana kuacha unyonge,” alisema huku akicheka na kupigiwa makofi na wajumbe wa Nec.

Rais Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, alitolea mfano wa tukio lilitokea Kahama mkoani Shinyanga, ambapo kijana mmoja alitolewa macho kwa bisibisi, na tukio la Igunga ambapo kijana mmoja alimwagiwa tindikali katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo.

“Acheni unyonge na hata katika taarifa ya habari leo (jana) mtoe hivyo hivyo. Na mwache habari zote mseme hii tu (waandishi wa habari). Uvumilivu una ukomo wake,” alisema huku wajumbe wakiendelea kumpigia makofi.

“Nalisema kwa sababu yanayotokea yanasikitisha sana. Pale Igunga kijana yule wamemwagia tindikali, pale Kahama kijana ametolewa macho kwa bisibisi.
 
muwe mnawauliza mapdre wenu wawatafsirie wamesoma sana biblia ambayo kwa kiwango kikubwa imeandikwa kwa mafumbo la sivyo hamutaweza kujua viongozi wasomi wa ccm wanakuwa wanamaanisha nini kwenye kauli zao. Usitegemee vichwa matope kama cha mbowe, lema, msigwa , lissu, vicent nyerere na ninyi wote mjue wanakuwa wana maanisha nini?

1. Chadema ikiingia madarakani , mfuko wa cement 5000/= . Gharama ya kuzalisha mfuko mmmoja shilingi ngapi?
2. Chadema ikiingia madarakani elimu, afya bure. Tupe mfano wa nchi mojawapo afrika na hata ulaya inayotoa elimu bure?
3.itaichukua chadema mwaka mmoja kuibadilisha tanzania kuwa nchi ya viwanda. Unajua mapinduzi ya viwanda ulaya yalichukua muda gani?
4. Bomba la gesi kutoka mtwara linjaengwa kwenda ulaya na siyo dar es salaam, slaa huyo.
5. Itaichukua chadema siku 100 kuipatia tanzania katiba mpya. Tangu mchakato wa katiba mpya uanze siku 100 bado? Au hiyo ya chadema wangelkaa mtaa wa ufipa na kuiandika ili ndani siku 100 iwe imekamilika?

Kama ni matamshi ya kijinga chadema wanaongoza.
kweli kua ccm ni janga na umbumbumbu wa mwisho,hiyo namba moja mpaka tano ukienda tu hapo libya inchi yenye janwga,ina huduma zote hizo bure sembuse inchi kama hii yenye mabonde maziwa na asali.peleka ujinga wako ccm wa ahedi.
 
ameongea kama mwenyekiti wa CCM...

ametuambia wana CCM

sasa sioni unababaika na nini

Wapi nimebabaika? Nyie ndio mnababaika mnaogopa nguvu ya mabadiliko mnachagua intimidation. Bado unababaika unaposema kuwa alikuwa anaongea kama Mwenyekiti wa CCM.....poor you
 
Wapi nimebabaika? Nyie ndio mnababaika mnaogopa nguvu ya mabadiliko mnachagua intimidation. Bado unababaika unaposema kuwa alikuwa anaongea kama Mwenyekiti wa CCM.....poor you

sisi kukataa unyonge ndo imekuwa nongwa?

unapenda muendelee kututoboa macho kwa bisibisi?
 
President of the United Republic Act No.15 of 1984 Art.9: 33.-(1) There shall be a President of the United Republic.
(2) The President shall be the Head of State, the Head of Government and the Commander-in-Chief of the Armed Forces. 37.-(1) Apart from complying with the provisions contained in this Constitution, and the laws of the United Republic in the performance of his duties and functions, the President shall be free and shall not be obliged to take advice
given to him by any person, save where he is required by this Constitution or any other law to act in accordance with the advice given to him by any person or authority.

Kwa nguvu zote hizi za kikatiba ameshindwa nini kulihamuru jeshi la polisi kuwakamata waliovunja sheria huko Kahama?

Ndugu zangu, ni kwa nehema tunavuka salama hawamu ya nne ya J. K. Haya yatukumbushe na kuunganisha matukio ya nyuma kwa jk ni mhusika.

Haiwezekani Mwangosi auawe jk akae kimya na badala yake muaji apandishwe cheo. Mwigulu atuhumiwe mauaji Arusha leo naibu wazir. Mwigulu huyo huyo atembee na mmwagiwa tindikari kuamsha hasira za adhira serikali kimya, naleo tusikie kutoka kwake 'live' akiahamasisha wafuasi wake washike bisi bisi kuua kama 'wapinzani' walivyofanya Kahama.

Inanisikitisha sana! Naomba wenye hekima, jeshi, mahakama haraka walikemee ili. Hali iko wazi CDM haitakuwa tayari kuibiwa kura...razma vyombo vinavyohusika viweke uwazi wa pande zote ktk mchakato wa campaign na kupiga kura.

Huu ni 'unterahamwe'!
 
Kwa nguvu zote hizi za kikatiba ameshindwa nini kulihamuru jeshi la polisi kuwakamata waliovunja sheria huko Kahama?

Ndugu zangu, ni kwa nehema tunavuka salama hawamu ya nne ya J. K. Haya yatukumbushe na kuunganisha matukio ya nyuma kwa jk ni mhusika.

Haiwezekani Mwangosi auawe jk akae kimya na badala yake muaji apandishwe cheo. Mwigulu atuhumiwe mauaji Arusha leo naibu wazir. Mwigulu huyo huyo atembee na mmwagiwa tindikari kuamsha hasira za adhira serikali kimya, naleo tusikie kutoka kwake 'live' akiahamasisha wafuasi wake washike bisi bisi kuua kama 'wapinzani' walivyofanya Kahama.

Inanisikitisha sana! Naomba wenye hekima, jeshi, mahakama haraka walikemee ili. Hali iko wazi CDM haitakuwa tayari kuibiwa kura...razma vyombo vinavyohusika viweke uwazi wa pande zote ktk mchakato wa campaign na kupiga kura.

Huu ni 'unterahamwe'!

....well said !!!
 

....ha ha ha ha nasikia mitambo ya TBC imechakachuwa !!!!!!

wala haijachakachua....

Ni kitu halisi alichoongea mwenyekiti na aliwaambia waandishi wakaandike... nyie ndo mnahangaika kutaka kusema eti TBC wamekanusha ili muoneshe kwamba tunajutia kauli hiyo..

soma hiyo usipate tabu...

"Tulizungumza nalo hilo kwenye Kamati Kuu, tulikubaliana kuacha unyonge. Ndiyo, kwenye Kamati Kuu tumekubaliana, tumesema jamani watu wote waende wakaseme tumekubaliana kuacha unyonge," alisema huku akicheka na kupigiwa makofi na wajumbe wa Nec.

Rais Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, alitolea mfano wa tukio lilitokea Kahama mkoani Shinyanga, ambapo kijana mmoja alitolewa macho kwa bisibisi, na tukio la Igunga ambapo kijana mmoja alimwagiwa tindikali katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo.

"Acheni unyonge na hata katika taarifa ya habari leo (jana) mtoe hivyo hivyo. Na mwache habari zote mseme hii tu (waandishi wa habari). Uvumilivu una ukomo wake," alisema huku wajumbe wakiendelea kumpigia makofi.

"Nalisema kwa sababu yanayotokea yanasikitisha sana. Pale Igunga kijana yule wamemwagia tindikali, pale Kahama kijana ametolewa macho kwa bisibisi,"alisema.


haturudi nyuma kuwa na unyonge... unyonge basi
 
Back
Top Bottom