Walokole ni kundi maalum

Walokole ni kundi maalum

Hujui tu
Maombi ya walokole ndio yameshikilia na kuzuia mengi ambayo kama yangeruhusiwa yatokee dunia isingekua kama unavyoiona leo
Ila vumilia maana walokole hawana muda mrefu watawaachia dunia yenu halafu muone kama mtaishi kwa raha
 
Hujui tu
Maombi ya walokole ndio yameshikilia na kuzuia mengi ambayo kama yangeruhusiwa yatokee dunia isingekua kama unavyoiona leo
Ila vumilia maana walokole hawana muda mrefu watawaachia dunia yenu halafu muone kama mtaishi kwa raha
Mlokole kwenye one and two
 
Astakafirilah shekhe 🙆

Anyway, em nifundishe namna ya kufanya hvy, tag n tofauti na I'd ila notifications anapata mhusika, mfano hvy ume-tag mfalme zumaridi Ila n mm nimepata notifications 😎
Ndiomaana mnatuonea wivu new ids mtu una miaka 10 humu ila hujifunzi mbinu mpya unakalia kufuatilia mwenendo wa id fake tu😂

Anyways unatag then una edit pale kwenye jina then una save tena, kama huelewi hutokaa ukaelewa nyoko wewe😏
 
Ndiomaana mnatuonea wivu new ids mtu una miaka 10 humu ila hujifunzi mbinu mpya unakalia kufuatilia mwenendo wa id fake tu😂

Anyways unatag then una edit pale kwenye jina then una save tena, kama huelewi hutokaa ukaelewa nyoko wewe😏
Sio kwamba sijui mbinu n bc tuu kuna mambo sijayapa umuhimu kwangu 😎
 
Back
Top Bottom