min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,835
- 165,689
Kundi la Nyani mbona ni la wafrika wote? Acha kutudhalilisha Sisi nyaniWalokole ni kundi la mwisho kabisa la wanadamu wakitoka nyani
Hahaha aah ana wivu wa kimataifa aise kamzidi nyegere😀Ana makasiriko mzoee tu huyo babes😁
Kwamba kitengo cha marketing cha walokole kinafanya kazi overtime? 😅😅Walokole labda kwa sababu wanajitangaza tu, mbona wengine wana visomo na mapete ya kuepusha watu na kesi, husda na chuki.
do it mamyNgoja nifanye jambo sasa hivi uniote kabisa leo😆
Mpuuze huyo Kipenzi changuHahaha aah ana wivu wa kimataifa aise kamzidi nyegere😀
The Icebreaker unabahati sanaMpuuze huyo Kipenzi changu
Tungemvunja maeneo😎The Icebreaker unabahati sana
aache wivuTungemvunja maeneo😎
Huyo Papai kila akiona uzi ambao unajadili dini zingine hua anawashwa makalio ili aingize na uislamu kwenye huo mjadala,Anzisha mada ya bata nitachangia bwashee
Kukutafutia nini mchumba au? 😅Nilimwambia ShesRise_1 anitafutie mwingine ila naona sijui kanisahau.
Na mkiachana msiniletee kesi yenu eti niwapatanishe kama mwanzo.Mpuuze huyo Kipenzi changu
Tutaendenda kwa viongozi wa dini tukishindwa tunahamia kwa viongozi wa mtaa😐Na mkiachana msiniletee kesi yenu eti niwapatanishe kama mwanzo.
Huyu hapa Mfalme zumaridiHivi mfalme zumaridi yu wapi.
Na hatutofikia uko mambo yetu/conflict tutayamaliza wenyeweTutaendenda kwa viongozi wa dini tukishindwa tunahamia kwa viongozi wa mtaa😐