Walokole ni kundi maalum

Walokole ni kundi maalum

Sio kwamba sijui mbinu n bc tuu kuna mambo sijayapa umuhimu kwangu 😎
Yani humu jf kila mtu anajifanyaga sijui hafatilii jambo fulani mara hagombani na fake id, mkute sasa vichochoroni hapepesi jicho kutukanana na waja, hapo unajifanya hufuatilii kumbe unafiatilia mpaka umeuliza, kumbe deep down naye walewale watz kwa kujisafisha hatujambo🤣
 
Yani humu jf kila mtu anajifanyaga sijui hafatilii jambo fulani mara hagombani na fake id, mkute sasa vichochoroni hapeppesi jicho kujibizana na waja, hapo unajifanya hufuatilii kumbe unafiatilia mpaka umeuliza, kumbe deep down naye walewale watz kwa kujisafisha hatujambo🤣
Kuna id zangu ya kupigiana kelele na watu, moja wapo n ile niliyokupelekea moto kipindi kile tukapigwa ban 😎
 
Back
Top Bottom