Makamu ajaye sasa awe Msabato au Mlokole

Makamu ajaye sasa awe Msabato au Mlokole

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
62,510
Reaction score
104,778
Madaraka makubwa zaidi ya juu Tanzania katika vyeo viwili vya juu kabisa vya nchi yamekuwa yakikaliwa na yakipokezanwa kati ya Uislamu na Ukatoliki tu, ni wakati sasa wa kuvunja utaratibu huo makamu wa Rais atoke angalau kutoka kwa Wasabato, Walokole au Anglicana.
 
Madaraka makubwa zaidi ya juu Tanzania katika vyeo viwili yamekuwa yakipokezanwa kati ya Uislamu na Ukatoliki, ni wakati sasa wa kuvunja utaratibu huo makamu wa Rais atoke angalau kutoka kwa Wasabato, Walokole au Anglicana.
Bashungwa, Simbachawene na sasa Nchimbi ni Wakatoliki walioondolewa madarakani katika hali inayotatanisha. Huenda kuna agenda fulani awamu hii
 
Madaraka makubwa zaidi ya juu Tanzania katika vyeo viwili vya juu kabisa vya nchi yamekuwa yakikaliwa na yakipokezanwa kati ya Uislamu na Ukatoliki tu, ni wakati sasa wa kuvunja utaratibu huo makamu wa Rais atoke angalau kutoka kwa Wasabato, Walokole au Anglicana.
Vya Mungu mpe Mungu na vya wanasiasa wape wanasiasa
 
Back
Top Bottom