Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Thanks sweetheart


Kumbe nina misimamo?

kwanza kabisa nianze na dada mkubwa AshaDii... sijawahi kusoma post yako hata moja nisikute cha kujifunza ndani yake... PAMOJA SANA


Pili dada yangu wa moyoni gfsonwin.... nilipokuja dar nilitamani sana kukuona walau unifunde kwa masaa mawili lakini kwa bahati mbaya sikukuta..... I salute u dadaangu wa kumoyo!!!!!


snowhite najifunza mengi sana kupitia post zako... hasa kuhusu masuala ya ndoa.... Kungwiiiiiii nakukubali sana.......


Kongosho my dearest... napenda ulivyo na msimamo katika suala laahusiano.... napenda ulivyo bandidu kwa hawa viumbe.... pokea likes zangu nyiiiingi... nafuata nyayo zako mamito!!!!!!


Mzee Mtambuzi post zako huwa zinanikonga moyo saaaaaana... big up sana

Nicas Mtei naomba nisiseme saaaana.....
 
kwanza kabisa nianze na dada mkubwa AshaDii... sijawahi kusoma post yako hata moja nisikute cha kujifunza ndani yake... PAMOJA SANA


Pili dada yangu wa moyoni gfsonwin.... nilipokuja dar nilitamani sana kukuona walau unifunde kwa masaa mawili lakini kwa bahati mbaya sikukuta..... I salute u dadaangu wa kumoyo!!!!!


snowhite najifunza mengi sana kupitia post zako... hasa kuhusu masuala ya ndoa.... Kungwiiiiiii nakukubali sana.......


Kongosho my dearest... napenda ulivyo na msimamo katika suala laahusiano.... napenda ulivyo bandidu kwa hawa viumbe.... pokea likes zangu nyiiiingi... nafuata nyayo zako mamito!!!!!!


Mzee Mtambuzi post zako huwa zinanikonga moyo saaaaaana... big up sana

Nicas Mtei naomba nisiseme saaaana.....

ahsante sana mamii ahsante sana!nafurahi kama mwandiko wangu unafanya mabadiliko maishani mwako!
mimi penda wewe mamii!
 
Thanks sweetheart


Kumbe nina misimamo?
ah!wapi Kongosho alikuwa zamani bana sa hizi kuna zombie linamshika masikio ana hali!
af by the way SnowBall naruhusiwa kumtaja mtu aliyebadilisha maisha ya mtu mwingine humu!?
najua ameshanikubalia
NAPENDA KUTAMBUA UWEPO WA ZOMBIE LA Kongosho KWA KWELI AMESAIDIA SANA KUBADILISHA MAISHA YAKE!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, ngoja nimtafute Zinduna akusute kama alivyomfanyia gfsonwin last week

Lol hayaishi? :behindsofa:

ah!wapi Kongosho alikuwa zamani bana sa hizi kuna zombie linamshika masikio ana hali!
af by the way SnowBall naruhusiwa kumtaja mtu aliyebadilisha maisha ya mtu mwingine humu!?
najua ameshanikubalia
NAPENDA KUTAMBUA UWEPO WA ZOMBIE LA Kongosho KWA KWELI AMESAIDIA SANA KUBADILISHA MAISHA YAKE!
 
Last edited by a moderator:
ah!wapi Kongosho alikuwa zamani bana sa hizi kuna zombie linamshika masikio ana hali!
af by the way SnowBall naruhusiwa kumtaja mtu aliyebadilisha maisha ya mtu mwingine humu!?
najua ameshanikubalia
NAPENDA KUTAMBUA UWEPO WA ZOMBIE LA Kongosho KWA KWELI AMESAIDIA SANA KUBADILISHA MAISHA YAKE!

bado jamani... hata zombie halijamuwin ati!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nne, nilipenda sana kumsoma Kiranga anawataja nani kuwa wamembadilisha, japokuwa najua labda anaweza kucriticize sana kuwa yeye hawezi kubadilishwa kwa hoja za wengine...na akijazia na matheory na vocabulary hapo unajikuta uko derailed.
Tafadhali Kiranga, weka orodha yako hapa.

Tano na mwisho namwongeza kwenye list ya hapo juu, mwanajamvi anayeitwa TIMING, huyu ni kichwa mkongwe ambaye threadz zake nyakati hizo zilihit the bull!
Congrats again SnowBall.

Ningependa kusema fulani na fulani lakini mara nyingi sana navutiwa na hoja za watu mbalimbali bila ya kuangalia sana majina.Nikiwaruka wengine kumradhini nduguzanguni.

Hata hivyo namshukuru sana Le Mutuz kwa kunikumbusha kwamba ujinga wa binadamu hauna mwisho.

Kaka yangu Bluray (not to be confused with that impostor blueray) kanifungua macho mambo mengi sana, ingawa siku hizi kazamia Tanga hata internet ya simu hana, anasema anarudi kwenye nature kama Ras Rosseau.
PlanckScale was on another level, we could at least jib about the wave particle duality of the probabilistic quantum spectra of photons and how the god particle was swallowed by the Large Hadron Collider without concerns about being too nerdy.

Bu'yaka is an often quipping contrarian who would play contra to the Contra, Bolshevista, Sandinista, Zapatista as well as Fabians and anarchists in the same thread.

Augustine Moshi can present a case for the theists with a knowledge of the classics that is as impressive as it is informative.

Gaijin can introduce a totally overlooked question to a thread and make you think, "why was this overlooked this deep in the thread?"

Roulette 's savoir faire and suave, from the practical humanities to French lessons, is encouraging and inspiring.

Companero being the resident scholar who can juggle bell curves and spin them any way he wants, but chooses not to, is mucho grande.

Ab-Titchaz stays on point and always fills me in on the developments relevant to some EAC dynamics, especially on the ever evolving Kenyan front.

Mtambuzi is the king of fluff, complete with lifted photos of African Americans from some JET like Magazine. We still thank him profusely, what would JF be without fluff?

EMT can reason on a solid unshaken base and inject a valuable input to almost any meaningful thread.

Nguruvi3
restores faith that the old JF type of individuals are still around.

Mchambuzi is humbly cerebral when not mildly jockeying.

And last but not least, Mzee Mwanakijiji put us on the Kindle / Amazon map, sometimes we rhyme slow, sometime we rhyme fast, but we always rhyme. We come a long way like. In the grand scheme of things, we perfect proper prophecies and purge puppeteering patrician politricksian.

Nduguzanguni ahsanteni wote mlio JF kwani kila mtu ana mchango wake, na najua nimesahau wengi kwa sababu naangalia sana hoja kuliko mtoa hoja. Na ndo maana unaweza kushangaa leo Kiranga anakwenda fresh na wewe, kesho anakuandama. Si wewe, ni kile ulichoandika.
 
Mzee Mwanakijiji,ile mobile no ulonipa kwaajili ya riwaya ya Majeruhi wa mapenzi, jamaa nimemcall sana ,cmu inaita tu haipokelewi...
Maisha yangu yamebadilishwa na wote ambao wamekuwa ni wasomaji wangu na mashabiki wangu as well as those wakosoaji wangu. Bila ya nyinyi ningekuwa ni kama 'debe livumalo na upetu upitao"..
 
Last edited by a moderator:
It is evident that the iconoclasm of our views make some of us unpopular :becky:
 
7: Natambua uwepo wa Asprin {ODM}. Mara nyingi nimekuwa nikifurahia post na comments zake humu.. Nimejifunza mengi.
Tukosoane, Turekebishane. Tuwajibishane ndipo tusameheane.-Regia Mtema{R.I.P.}
Shukrani sana mkuu. Mie babu jipenda misifa leo ntakunywa maginesi mengi kwa afya yako na ya gelofrendi wako.

Hapo red bold Hakika ninamkosa sana dada yangu huyu nliyekuwa namkubali saaaaana! Akiwa anatumia ID ya Gender Sensitive tulishapangaga miadi ya kukutana naye nikijua naenda kukutana na njemba mwenzangu! Alinishangaza kuliko alivyonishangaza charminglady siku ile Brajec pale nilipokutana na bonge la mrembo wakati nilijiaminisha ni dume lenzangu,


RIP my dear Dada, ntakukumbuka daima.

napenda kutuma salamu zangu kwa ma-mods wote!! mmekontributi kunifundisha maisha, lolest! Fang, PainKiller, Invisible, Meezy, Roulette, @McMakee na wengine wote ambao sijawajua! but gfsonwin, Asprin u r the bestest kwangu mi luv u mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Yaani hata mie nakupenda sana kasiko, ila bila kuficha ukweli sikupendi kama nimpendavyo cacico wangu. Ananikoshaje sasa??

Nicas Mtei naomba nisiseme saaaana.....

Hahahahaha.......... huna haja ya kusema bana. Babu ni mtaalam wa kusoma katikati ya mistari. LOL
 
Last edited by a moderator:
Kiranga, yaani navyomwaga mapoint unanisahauje?
 
Last edited by a moderator:
me love you sana tu ma dearest, but hebu rudisha jina lako la asili lol! hapa ahahahah! jamani mie naomba nisimtaje kabisa Asprin manake .............

but ukweli Asprin luv you sanaaaaaaaaaaaaa.
Khaaaaa!!! Am humbled!!

ssostito wangu wa moyoni, njoo PM nikupe mkasa ulionikuta! mi mwenyewe Asprin nam-luv sanaaaaaaaaaaa! kwi kwi kwi kwi! mtu na dadake, cheko langu mie!
OMG..... I feel like am flying!!

Nyie wadad wawili hapo juu hebu punguzeni kiduchu basi, manake babu mpenda misifa mie naweza fia kwenye kreti la ginesi LOL
 
afu wewe?

Mbona hunitaji??

Khaaaaa!!! Am humbled!!

OMG..... I feel like am flying!!

Nyie wadad wawili hapo juu hebu punguzeni kiduchu basi, manake babu mpenda misifa mie naweza fia kwenye kreti la ginesi LOL
 
Back
Top Bottom