1a: Natambua uwepo wa Mr
Maxence Melo. Kwake nimejifunza mengi kutokana na Changamoto kadhaa za kimaisha na jinsi ya kuzishinda.
1b:
Mzee Mwanakijiji amenifunza meng kuptia riwaya na post zake humu zinaohusu siasa na mahusiano.
2: Natambua uwepo wa dada
AshaDii. Kupitia maandishi yake humu JF nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana. Sijawah kuboeka kila nisomapo alichoandika.
3: Natambua uwepo wa Mr
Mtambuzi. Hyo ni kutokana na visa na mikasa anavyopost humu. Vimekuwa fundisho kubwa kwangu..
4: Natambua uwepo wa dada
Madame B. Huyu amekuwa kama ndugu kwangu. Nimejifunza mambo mengi kwake. Nina imani kuwa anatambua ninachomaanisha..
5: Natambua uwepo wa mwanadada
charminglady.. Huyu amekuwa mshauri wangu wa karibu pia rafiki mkubwa kwangu. Mara nyingi tumesaidiana.
6: Natambua uwepo wa
Remmy. Kamanda mwenzangu, dada yangu, rafiki yangu. Kwa kiasi kikubwa tumesaidiana mengi..
7: Natambua uwepo wa
Asprin {ODM}. Mara nyingi nimekuwa nikifurahia post na comments zake humu.. Nimejifunza mengi.
8: Natambua uwepo wa
Mr Rocky. Ni zaidi ya rafiki kwangu. Kupitia ushauri wake wa maandishi na ana kwa ana nimejifunza mengi.
9:Natambua uwepo wa pacha wangu
Erickb52. Huyu ni pacha. Anajua kabisa vile tupo. Ni zaidi ya ndugu.
10:Natambua uwepo wa my dada
gfsonwin. Kwenye masuala ya siasa. Jambo hatuamini itikadi moja but namkubali kwa ujumla kutokana na mijadala michache tuliyofanya. Hakika anaweza.
11:
Elizabeth Dominic natambua uwepo wako my dada. Mimi na wewe hatujakutana barabarani. Nakukubali sana.
Wengine ni
kasiko a.k.a
cacico,{Huwa unanipa raha sana. Sijawah kujuta wala kuboeka kuona mijadala yako. Hata tulipoonana nilifurahi.}..
Bila kumsahau my shem
snowhite.{Hapi besdei shem. Nimejifunza mambo mengi kwako.. Walimu mpo juu..}
Ciello cjakusahau my dada. Nawe upo katika list ya walionifunza jambo. Nakukubali
.
Mungi,
Filipo,
marejesho,
Preta,
PakaJimmy na wote wa Arusha. u guys huwa mnanifurahsha sana. Naupenda umoja na mshikamano wenu.. Nimejifunza mengi. Tutameet Tanga..
JF ni Digital Family. Mungu Ibariki JF, Wabariki members wote, Bariki umoja na mshikamano wetu.
Tukosoane, Turekebishane. Tuwajibishane ndipo tusameheane.-Regia Mtema{R.I.P.}