Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Very very touching & inspiring thread,
Kwa kweli JF imenikuza sana IQ yangu na pia ni kijiwe cha kupata current and educative news. Wako watu wengi sana wenye michango yenye kuleta mabadiliko kwenye maisha ya kila siku, Nachoweza kuona hapa JF kila jukwaa(forum) kuna role modals wake kwa hapa MMU naona wemeshatajwa karibu wote pia kuna forums ambazo zina watu wakupewa pongezi:

Scince & tech forum: e2themiza, Chief-mkwawa etc.
Education: Narubongo, Nguchiro etc
Politics: nngu007, Matola, Mungi etc
vacancies & business forum: Mwana Mtoka Pabaya etc
Joke posts: Kigogo, Bujibuji, Boflo, Kongosho
Celebrities news + habari za mujini: King Kong III, lara 1,
Hoja na mada mchanganyiko: All JF team

Pia shukrani za dhati nizilete kwako SnowBall na JF-Arusha (@PakaJimmy , Preta etc) kwa u-creative wa idea kama hii pamoja na iyo safari ya tanga.
wapo watu wengi sana wakupewa pongezi hapa JF just tried to mention a few..
 
Asante Nicas Mtei haswa hatukukutana barabarani.........aluta continua..........I guess kwangu kila mtu kwangu amebadilisha maisha yangu kwa nafasi zao haijalishi mbaya au nzuri. Well said Nicas
 
Nicas Mtei kaka,
Wewe kwangu ni zaidi ya rafiki na si kwangu tu,mpaka kwa Ndugu zangu,nadhani unao ushahidi mzuri sana.
Naweza kusema neno jingine kuwa wewe ni Sehemu ya familia yetu.
 
Hahahahaha!

Wewe tena? Hivi hata asali zinatajwa humu?
Kongosho, asali ya ODM. Source: Asprin.

NB: Hapa tunazungumzia waliobadilisha "maisha" yetu si ndio? Mi tangu nijiunge na JF maisha yangu hayajawahi kubadilika.
1. Bado naamini katika bia na bia na bia tena.
2. Bado ni mweka hazina wa Infidelity Social Club (ISC) chini ya uongozi wa Mtukufu Kaizer
3. Bado nawaabudu mabinti zangu wawili ambao nshapiga marufuku wazembe wasiwasogelee (ikibidi ntawaoa mwenyewe)
4. Bado namtukuza mkoloni wangu anayenilipa vijisenti navyotesa navyo kina Eliza and co. kwenye bar za uswazi.

Nyingine malizia wewe bana....

Muha ha ha ha! Unatutesaje watoto wa kitaa, walah haya maisha ya kubabaishwa na vijisenti vya ODM noumer
 
Shukrani sana mkuu. Mie babu jipenda misifa leo ntakunywa maginesi mengi kwa afya yako na ya gelofrendi wako.

Hapo red bold Hakika ninamkosa sana dada yangu huyu nliyekuwa namkubali saaaaana! Akiwa anatumia ID ya Gender Sensitive tulishapangaga miadi ya kukutana naye nikijua naenda kukutana na njemba mwenzangu! Alinishangaza kuliko alivyonishangaza charminglady siku ile Brajec pale nilipokutana na bonge la mrembo wakati nilijiaminisha ni dume lenzangu,


RIP my dear Dada, ntakukumbuka daima.

Yaani hata mie nakupenda sana kasiko, ila bila kuficha ukweli sikupendi kama nimpendavyo cacico wangu. Ananikoshaje sasa??



Hahahahaha.......... huna haja ya kusema bana. Babu ni mtaalam wa kusoma katikati ya mistari. LOL

hyo inaitwa bonge la Suprise.. Ulishtukaje? Ki ukweli hata mimi nam miss sana my dada Regia[R.I.P.]
 
Last edited by a moderator:
Nicas Mtei kaka,
Wewe kwangu ni zaidi ya rafiki na si kwangu tu,mpaka kwa Ndugu zangu,nadhani unao ushahidi mzuri sana.
Naweza kusema neno jingine kuwa wewe ni Sehemu ya familia yetu.

Madame B tuko pamoja. Ni matumaini yangu kuwa umefika salama nyumbani. Wote inatupasa kumshukuru Mungu kwa kila jambo..
 
Last edited by a moderator:
Hehehe, ama kweli mtalaka hatongozwi.
Dedikesheni: ya kariakoo wayataka weye, ya mikindani wayatafuta wewe, utazua baa kizee wewe. . . .
Sijui kauimba nani. BAK best wa mabestee, tafadhali fanya mambo.
Na asante kwa kuyabadiliaha maisha yangu pia (namaanisha tafadhali)
he he, Paw simtaki anatisha sana, kuna siku alinipiga mkwara wa busu.

Hayo madevu ujue ni chachu ama mahanjumati shughulini??
Hujui hilo? Mie zinanishawishi sana.

Ila mateka nshamzoea mbona. Nakaribia kuwa na wawili na Paw wa tatu.
 
Last edited by a moderator:
wiki mbili zijazo natimiza mwaka humu ndani,thread hii imekuja wakati muafaka,nafarijika na ndugu zangu Kongosho,Nyumba kubwa,The Boss,Dark City,gfsonwin,na Fixed Point. Viva JF!
 
Back
Top Bottom