Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

waliobadilisha maisha yangu!naruhusiwa kutaja zaidi ya sita naamini!
- @gfsnowin sina la kusem jinsi unavoniboost maujuzi
- The Boss need i say more?
- SnowBall napenda jinsi ulivyo mkweli kwa yale yanayopita kichwani kwa wanaume,unatusaidia sana kujua mnawaza nini
- FP napenda jinsi ulivyo na ushauri wa kidada mkubwa hasa
- Kaunga to be frank unanipa raha sana na aina ya thread unazoanzisha humu
- Dark City u really remind me of my father napenda aina yako ya kufikiri
- Mtambuzi i see ,wewe ni zaidi ya mwalimu kwa post zako
- watu8 na Boflo u guys mnafanya nizidi kuiona jf ni nyumbani!
jamani listi ako ndefu sana ila kiukweli nikiangalia mi kila member humu ana nafasi ya kunifanya niyatambue maisha kwa namna yake,mfano mtu kama Mkumbavana na Wiyelele hawa huwa wanifanya nimshukuru sana Mungu kwa aina ya mume aliyenizawadia!see so pacha wangu SnowBall list ya wanaobadilisha maisha yetu humu inabidi iwe kubwa sana since JF NI DARASA LA KILA KITU I SEE!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
waliobadilisha maisha yangu!naruhusiwa kutaja zaidi ya sita naamini!
- @gfsnowin sina la kusem jinsi unavoniboost maujuzi
- The Boss need i say more?
- SnowBall napenda jinsi ulivyo mkweli kwa yale yanayopita kichwani kwa wanaume,unatusaidia sana kujua mnawaza nini
- FP napenda jinsi ulivyo na ushauri wa kidada mkubwa hasa
- Kaunga to be frank unanipa raha sana na aina ya thread unazoanzisha humu
- Dark City u really remind me of my father napenda aina yako ya kufikiri
- Mtambuzi i see ,wewe ni zaidi ya mwalimu kwa post zako
- watu8 na Boflo u guys mnafanya nizidi kuiona jf ni nyumbani!
jamani listi ako ndefu sana ila kiukweli nikiangalia mi kila member humu ana nafasi ya kunifanya niyatambue maisha kwa namna yake,mfano mtu kama Mkumbavana na Wiyelele hawa huwa wanifanya nimshukuru sana Mungu kwa aina ya mume aliyenizawadia!see so pacha wangu SnowBall list ya wanaobadilisha maisha yetu humu inabidi iwe kubwa sana since JF NI DARASA LA KILA KITU I SEE!

Mbona mimi ni mme mzuri sana? I am so understanding and tolerant.
 
Mbona mimi ni mme mzuri sana? I am so understanding and tolerant.

lakini hunipi amani vile unamzungumzia mke wako!
sijui lakini nahisi humpendi tena,humuoni wa thamani,hujali kama anaumia,
in a way najisikia vibaya sana kwa ajili yake!
wote katika maisha tunakosea na tunakosewa,la msingi ni jinsi tunavojifunza na kusimama baada ya makosa yale!
naamini ndoa yako ukiamua bado ina nafasi ya kuwa ndoa bora na imara ni vile tu umeikatia tamaa
sikuhukumu bali nahisi ipo shida kubwa zaidi ya ile unayoitazama nje dhidi ya mkeo!
 
lakini hunipi amani vile unamzungumzia mke wako!
sijui lakini nahisi humpendi tena,humuoni wa thamani,hujali kama anaumia,
in a way najisikia vibaya sana kwa ajili yake!
wote katika maisha tunakosea na tunakosewa,la msingi ni jinsi tunavojifunza na kusimama baada ya makosa yale!
naamini ndoa yako ukiamua bado ina nafasi ya kuwa ndoa bora na imara ni vile tu umeikatia tamaa
sikuhukumu bali nahisi ipo shida kubwa zaidi ya ile unayoitazama nje dhidi ya mkeo!

Natamani siku ambayo wana JF tutakusanyika mahali na kila mmoja akajitambulisha kwa jina lake analolitumia humu. Mimi nafurahia ushauri wa watu wengi wanaoutoa humu ila nimejifunza kwamba kumbe wanawake aina ya mke wangu wako wengi, mmojawapo NIVEA!
 
Just thinking loud my bro Eiyer ...kila kitu kinawezekana nadhani itategemea na namna utakavyocontruct idea yako...BUT mara nyingi nadhani KUMBADILISHA MTU au KUMSHAURI mtu kunataka response/mawasiliano baina ya mshauriwa na mshauri ili iwe rahis kwa mshauriwa kutake advantage ya ushauri..so in public..mmmhh...Still i dont see it working.. kumtaja mtu weaknessess zake in a public!!!...Anyways you still can figure out how to put it...

....Lakini nina ka swali,hii ni thread ya kupongezana na kuwatambua wanaogonga nondo za ukweli na kuburudisha jukwaa hili na mengne.Hivi tunaweza kukubali ikaanzishwa thread ya kuwataja ambao ungependa wabadilike in positive way?..Yaani unataja kabisa kuwa,mimi napdnda kumshauri Eiyer abadilike kadha wa kadha,je tunaweza kulipokea jambo hili positively?Kukubali kukosolewa?Mh!Sijui . . . .!!
 
Last edited by a moderator:
Natamani siku ambayo wana JF tutakusanyika mahali na kila mmoja akajitambulisha kwa jina lake analolitumia humu. Mimi nafurahia ushauri wa watu wengi wanaoutoa humu ila nimejifunza kwamba kumbe wanawake aina ya mke wangu wako wengi, mmojawapo @NIVEA!
asante sana ila ukimuuliza mume wangu atakuambia he is so proud of me in such that akikusikia unasema hivo atakushangaa sana i think you quote me wrong sir.pia nimejifunza kutoka kwako kuwa Wiyelele hajui kuficha siri za chumbani na hana tabia yakukaa na mkewe nakuzungumza mambo yakaisha .asante
 
Last edited by a moderator:
Mkuu SnowBall,
Kwanza kabisa Nairudisha heshma hii kwako binafsi kwa kufikiria wazo ambalo tumekuwa tunalikwepa kwa miaka mingi, zaidi ya kutajataja majina kule CC.
Nilipata kusoma pahala fulani pakawa pameandikwa NI JAMBO JEMA SANA KUSHUKURU.

Pili ukitazama sn thread hii utakuta kuna universal set ya majina kama Kiranga, Mtambuzi, The Boss, AshaDii, gfsonwin, DARKCITY, Mbu, LARA1, MwanajamiiOne, EMT na wengine wengi.
Hawa watu ni wa muhimu sana humu majukwaani, na inaonyesha wengi wamewaselect.
Nadhani JF Founders na Mods wangetumia sana thread hii kupata calibres za watu mbalimbali wanaofaa kuboresha majukwaa [kwa assumption kwamba watu au binadamu huwa HAWABADILIKI]!!.

Tatu, ambao hawajatajwa popote wasikate tamaa, maana watu wanaendelea kujifunza kila siku humu, akili zinapanuka na Evolution inachukua mkondo, japo kwa sluggish speed.
Nne, nilipenda sana kumsoma Kiranga anawataja nani kuwa wamembadilisha, japokuwa najua labda anaweza kucriticize sana kuwa yeye hawezi kubadilishwa kwa hoja za wengine...na akijazia na matheory na vocabulary hapo unajikuta uko derailed.
Tafadhali Kiranga, weka orodha yako hapa.

Tano na mwisho namwongeza kwenye list ya hapo juu, mwanajamvi anayeitwa TIMING, huyu ni kichwa mkongwe ambaye threadz zake nyakati hizo zilihit the bull!
Congrats again SnowBall.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah mbona unakuwa mkali hivyo? Mie nko innocent sana so nahitaji maujanja ya shosti angu lara 1 ili nibalance lol
Ungekuwa Mke wangu leo ningekulima Talaka Rejea maana kama unajifunza kutoka kwa lara 1 utakuwa ushakuwa Nunda
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mkuu Mbu nipo banaa ingawa siku hizi napita juu kwa juu sana, majukumu ya hapa pale pia yanachangia lakini nitarudi in full swing soon. I'll be back for my list
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
fanyeni kazi acheni kutajataja majina ya watu muda huu
 
1. Ashadii, Kaunga,Gfsonwin, utu uzima dawa napendaga sana mawazo yao hasa kwenye serious case

2. Alma matter wa forodhan primary Natalia, he he he huyu mtu swagaga zake sijawai ona, huwa nacheka mpaka basi akianza majigambo, ananipunguzia stress kwa vicheko

3.Mexence melo na mods wote as bila wao jamiiforums isingekuwepo na nisingepata maushauri ya humu
 
Wow safari njema mamito,mie nimepata bepari la kisukuma mnz so najilia vyangu...

Wow mamito.
Lichune mpaka libaki nyama tu.
Me najiandaa kung'oa Buzi kwa hawa watakao toka AraChuga kwenda Tanga.
 
The Boss - tofauti ya wanamme na wavulana

EMT- michango yake kwa ujumla, iko deep sana

Kiranga- anavyochambua maisha kwa namna anayochambua, weird na interesting

WIYELELE - Mada zake zina mvuto

Nyumba Kubwa- fikra zake tofauti na mbinu zake za kimafia za kumwadabisha mwanamme, i see, kabla sijamzoea nilikuwa nashangaa sana

Dark City- busara za wazee wa zamani, uhalisia wa dunia nayoielewa

Mtambuzi - mada zake za kichokozi hasa kwa akinamama

naweza kuendelea?

Hapa imenibidi nimwingize Wiyelele jamani
 
Back
Top Bottom