Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Mm wanaonikosha ni
bubu atakakusema
mtambuzi kwa majibu ktk topic unanifurahisha sana
dack city
father of all
the boss
asprin akikujibu hata kama unaumwa kichwa kinapoa maana unaweza ukasikia kizungu zungu
lara 1, i love the way unavyotupa moyo wanawake
mwanajamii one
gfsonwin
Nikuambie kitu Lisa? Hiyo komenti yako imefanya kikojoleo changu kistuke baada ya kulala doro tokea msiba wa Gadaffi. Leo wifi yako angalaua ana uhakika wa kupata haki yake ya kibaiolojia. Ushukuriwe sana.
Baada ya kusema hayo, naomba kukuuliza hivi hujui kuwa Aspirin ni dawa ya kutuliza maumivu? Maumivu ya kizidi, mwone ODM Asprin. Tiba ya naniliyu naitoa bure lakini mimba sina mamlaka nayo.
Last edited by a moderator: