Humbled bro, Thanks.
Jf kwa ujumla wa thread zake zote, hususan jukwaa la MMU tangia 2007 na wachangiaji wake wote.....nikiwataja wote patakuwa hapatoshi, ila wanaonigusa directly ni pamoja na...
Soulmate aka MwanajamiiOne, mama wa "nalivua pendo", BelindaJacob mama wa "ameuteka moyo wangu", Nyamayao, King'asti, AshaDii, Lizzy, WomanOfSubstance, na wengineo wengi wengi kina LD Maty, etc etc...
Kina baba na kina kaka kama vile mkongwe Asprin ...huyu mzee wa "ulikuwa wapi siku zote"... 😉 klorokwini The Finest, The Boss, swahiba Dark City, EMT, Tuko, kamanda wangu MTM, Eiyer mwenyewe na wengi wengineo.
Big up & Much Respect!
Humbled bro, Thanks.
Jf kwa ujumla wa thread zake zote, hususan jukwaa la MMU tangia 2007 na wachangiaji wake wote.....nikiwataja wote patakuwa hapatoshi, ila wanaonigusa directly ni pamoja na...
Soulmate aka MwanajamiiOne, mama wa "nalivua pendo", BelindaJacob mama wa "ameuteka moyo wangu", Nyamayao, King'asti, AshaDii, Lizzy, WomanOfSubstance, na wengineo wengi wengi kina LD Maty, etc etc...
Kina baba na kina kaka kama vile mkongwe Asprin ...huyu mzee wa "ulikuwa wapi siku zote"... 😉 klorokwini The Finest, The Boss, swahiba Dark City, EMT, Tuko, kamanda wangu MTM, Eiyer mwenyewe na wengi wengineo.
Big up & Much Respect!
OMG! Am humbled!
Kupata heshima ya namna hii toka kwa gwiji kama wewe MOSQUITO Mbu si kitu cha kupuuza.
Will be right back!!
Thanx Mbu much respect,wakati mwingine unapokua hujaingia kuna watu ambao unakuwa unawafikiria sana.
Unakua unapenda kusoma michango yao.Ukiona wamechangia kwenye thread inabidi uangalie hiyo thread
Kiukweli kuna watu wanaifanya JF iwepo,wana changamoto,thread za akili sana,nakupa pongezi sana SnowBall kwa thread hii!
Kuna mtu mmoja nimemsahau,napenda nimkumbuke na kumpa heshima yake bila kumung'unya maneno
RR ,nakuheshimu sana,pia nakukubali.Nimejifunza mengi since nimekua hapa JF,"supa modereta" much respect to sister.Nakupenda na ninakukubali sana.
Wee mbaaaaaaaayaa!!