Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 197
Hii avatar yako Mkuu! We kweli mchokozi... Hilo tukio la Baghdad ni somo muhimu kwa walinzi wa Viongozi..na ni wazi ulinzi wa Obama utaongezwa na kuwasisitizia uharaka na umakini walinzi...nilichoona hapo ni kwamba hakukuwa na walinzi wa kutosha kwenye Floor..walinzi wengi walitokea nyuma ya platform baada ya tukio.
Walikuwa nyuma wanabadirishana lapel pins lol