Mchongoma, jamaa gani wanaweza ulinzi?
...TISS of'coz, nani mwingine?
mkuu kwenye hili siwezi kukubali wala kukataa....labda utuambie umetumia vigezo gani kusema hivyo. On the other hand ni bahati mbaya siko kwenye position ya kusema how it would have been done.
...thubutuuu,
enough have been said, mengine ni classified information. Bora nikashabikie mpira mie... BTW, karoho kananidunda, itakuwaje kesho middlesbrough wakitusimamisha.
simo!
...thubutuuu,
enough have been said, mengine ni classified information. Bora nikashabikie mpira mie... BTW, karoho kananidunda, itakuwaje kesho middlesbrough wakitusimamisha.
simo!
Hmm...tukubali tu siku ile taifa kulikuwa na makosa mengi tu....Sasa hao walinzi walioko uku juu darini ata kamba za kushukia faster faster hawana. Ina maana mtu akijibana kwenye ngazi za kushukia kutoka uko juu si atawamaliza wote.
mkuu kwenye hili siwezi kukubali wala kukataa....labda utuambie umetumia vigezo gani kusema hivyo. On the other hand ni bahati mbaya siko kwenye position ya kusema how it would have been done.
Kwa hiyo hakukuwa na ulinzi kwenye hizo ngazi mkuu?
Muulize mchongoma anayesema wanaiweza kazi yao....
MegaPayne niruhusu nitumie picha yako.
Muulize mchongoma anayesema wanaiweza kazi yao....
MegaPayne niruhusu nitumie picha yako.