GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,562
tyuuuuuh????!!!!!??wee dea acha tyuuh, unatazama hela unabaki kucheka tyuuuuh. Maan comedy sio ya nchii hii kulinganisha na uhalisia.
tyuuuuuh????!!!!!??wee dea acha tyuuh, unatazama hela unabaki kucheka tyuuuuh. Maan comedy sio ya nchii hii kulinganisha na uhalisia.
Ulivyoanza mwaka wa 1 wengi mnakuwa mnaishi wawili ila mkishakijua chuo mkapata mademu mnaanza kujitenga ndo upambane umeyataka mwenyeweWe unadhan ningekuwa mkoa Kama bukoba au mbeya ningelilia Kodi?
Heeeeh weee kaka jamaniii hebu tupe faraja mmmmh, hujui tunaumia kias gan, by the way almost wanachuo hawapigagi kura, kutokana na muda na eneo husika analokuwepo.
Unaongea pumba ,unakichaa nnWewe ka mlevi wa mataputapu sio wote wanywaji kunguru wewe
Hahaaaa nakuona jogoo kishenzi unayebalehe umefata pumba zanguUnaongea pumba ,unakichaa nn



Nimerudi dear, mambou?kweli,ulipotelea wapi ?
Ila life huku Tizedi ni gumu sana daahNdo hapo sasa cha ajabu khaaah

nimefurahi sana kukuona,karibu mnooo☺️Nimerudi dear, mambou?
Hebu niache mie, khaaaaah nipo bizze na commedy ya HELSB, msieeeeeewtyuuuuuh????!!!!!??
Jamaniiiih yaaan hali n mbaya kwakweli, tunaumia had baas, lol Jah atusaidie tyuuhPoleni sana jmn najua maisha bila pesa chuoni ni mateso sana, wengi huishia kudanga kwa wadada



Hebu niache mie, khaaaaah nipo bizze na commedy ya HELSB, msieeeeeew






Weee dea yaan acha tyuuuh, hali n mbaya san kwakweli, Jah awe nasi.Ila life huku Tizedi ni gumu sana daah![]()
Jamaniiiih yaaan hali n mbaya kwakweli, tunaumia had baas, lol Jah atusaidie tyuuh![]()
Duuuuuh dhambi hizi kaka, mie hata aina ya soda yeyote sinywi. But HELSB wanatuumiza sana kiukweli aaaaahPunguzeni matumizi sasa acheni kunywa Hannesy, Saint anne saivi kunywani kitoko, shingwaa
Duuuuuh dhambi hizi kaka, mie hata aina ya soda yeyote sinywi. But HELSB wanatuumiza sana kiukweli aaaaah
Hii post nataka ibaki hapa hapa jukwaa la siasa maana inahusu mustakabali wa vijana wetu ambao wapo vyuoni
Nimeliona hili bandiko
Kesho nitakunywa sumu
Nimeshangazwa na kitendo cha bodi ya mikopo kuwapunja wanafunzi pesa yao ya kujikimu kwa madai ya muda wa masomo vyuoni ni mdogo kinyume na mkataba huu ni upumbavu wa hali ya juu.
Nitashangaa sana kusikia kwamba bodi ya mikopo wametumwa na Rais au hata waziri kufanya hilo kwa wanafunzi.
Pesa ya kujikimu vyuoni huwa ni laki 530000 wanapewa, lakini wamepewa laki mbili tu huku marejesho wakija kutakiwa kurejesha laki 530000 hiyo hiyo.
Loan board wamegeuka wabinafsi, watu wenye mihemko na wasiojali wanafunzi ambao wengi ni maskini.
Inashangaza sana na kusikitisha sana kwamba mpaka dakika hii wahusika wapo ofisini na wameachwa tu na hapo ndo naanza kuamini kwamba hii ni amri kutoka ngazi za juu.
Inasikitisha sana kuona hili limetokea na nikumbushe kwamba wanafunzi wa toka mwaka 2019 November hawajapewa laki mbili ya books and stationery ambayo hutolewa.
Swali hizi pesa kwani ni za bure?Jibu ni kuwa wanazilipia,na kinachoshangaza ni kuwa ijapo wamepewa laki 2 na mkataba umesema ni laki 5 watakuja kulipia hiyo laki 5 yote japo walipewa laki 2.
Nitashangaa sana kama loan board wanaweza kufanya maamuzi ya ajabu namna hii bila kuzingatia utashi na kanuni na wahusika wapo tu ofisini.
Mie sio mlokole wala msabato, ni RC pureeeeh ila tyuuuh nna allergy na vinywaji vya viwandani. Hata km n matumizi tyuuuh haitoshi kaka lol.Bora tu uendelee kuwa mlokole ila usije badilika maana chuo ni zaidi ya mjini, ila HELSB vumilieni hii imewaumiza sana hasa wale wanao tegemea hiyo pesa kulipa ada




Wakupige ban kabisa ng'ombe wewe!Hebu niache mie, khaaaaah nipo bizze na commedy ya HELSB, msieeeeeew