Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Sasa Kama umeshaona hivyo so uache tu chuo!? Haya yote ya Nini! Shida unatafut hela ya kubet! Kupanga ni kuchagua!Jamani kwa kilichotokea Leo kutoka kwa Loan board siyo kitu cha kiungwana kwa watoto wa masikini Kama Mimi. Em fikiria nimepewa 306000 hapo crdb hawajakata chao.
Madeni ni Kama ifuatavyo
Ada -250000
Kodi ya nyumba - 120000
Boom advance - 124000 hivi kweli hapa nitamaliza chuo Mimi.
Huu naona ni wakati mwafaka wa kuacha chuo japo bado wiki 5 tu nimalize