Walichofanya HELSB sio haki!

Walichofanya HELSB sio haki!

Kazi ipo kwa wale tuonao soma vyuo vya private ambazo inatakiwa tuongezee ada na Ni kubwa mnoo. Yani tukifanya UE msimu huu basi Mungu atakuwa kasaidia
 
Kazi ipo kwa wale tuonao soma vyuo vya private ambazo inatakiwa tuongezee ada na Ni kubwa mnoo. Yani tukifanya UE msimu huu basi Mungu atakuwa kasaidia
Poleeeeh best acha tupambane hivi hivi tyuuuh, hakuna namna sasa.
 
Dah
Maisha haya.
Sasa Bora nyie kuliko wenzenu wa laki moja
Kuna mdau m1 leo chuo akauliza "hivi hakuna muhusika wa HELSB aliyetia nia ubunge kura za maoni, isijekua stress hizi" yaan watu tulikufa mbavu hadi baas
 
Hakikisheni mna kadi ya kupiga kura mwezi 10 pigieni CCM, saivi ishini na nyie kama mashetani mlijua ni matajiri tu ee.
 
Kuna mdau m1 leo chuo akauliza "hivi hakuna muhusika wa HELSB aliyetia nia ubunge kura za maoni, isijekua stress hizi" yaan watu tulikufa mbavu hadi baas
Jamani
Yawezekana kuna mtu wa heslb ametendwa na wajumbe.
Haiewezekani heslb wawafokee wanafunzi namna hii
 
Hakikisheni mna kadi ya kupiga kura mwezi 10 pigieni CCM, saivi ishini na nyie kama mashetani mlijua ni matajiri tu ee.
Heeeeh weee kaka jamaniii hebu tupe faraja mmmmh, hujui tunaumia kias gan, by the way almost wanachuo hawapigagi kura, kutokana na muda na eneo husika analokuwepo.
 
Kwamba hicho kiasi hakijahesabu idadi ya siku?
Haijalishi kimehesabiwa au hakijahesabiwa ila kuvunja mkataba namna hii sio fair hata kidogo.

Direct cost imehesabiwa kwa idadi ya siku lakini ililipwa yote.
 
Back
Top Bottom