cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Miee nipo kweny hilo sakata acha tyuuuuh, nacheka ila naumia ndan kwa ndan.Nacheka kama mazuri
Wallah heslb wamewafanya vibaya madogo wenye boom




Miee nipo kweny hilo sakata acha tyuuuuh, nacheka ila naumia ndan kwa ndan.Nacheka kama mazuri
Wallah heslb wamewafanya vibaya madogo wenye boom




Watu wamepiga bajeti za mihogowee acha tyuuh yaan inachekesha na kuhuzunisha at the same time,







We umepata sh ngapi best?Miee nipo kweny hilo sakata acha tyuuuuh, nacheka ila naumia ndan kwa ndan.![]()
Nakuambiaje HELSB km commedy wanaiweza, king majuto akasome, yaaan unabaki kucheka nje unalia ndaniHeee
Sua wamepitwa Hadi na Mzumbe ya Mbeya!??!?
Bora Mzumbe wana laki 1 na 87![]()





punguza elfu 16We umepata sh ngapi best?
Ni nyie wa laki 3 na elfu 6?




Poleeeeh best acha tupambane hivi hivi tyuuuh, hakuna namna sasa.Kazi ipo kwa wale tuonao soma vyuo vya private ambazo inatakiwa tuongezee ada na Ni kubwa mnoo. Yani tukifanya UE msimu huu basi Mungu atakuwa kasaidia
Dahpunguza elfu 16![]()










Nakuambiaje HELSB km commedy wanaiweza, king majuto akasome, yaaan unabaki kucheka nje unalia ndani![]()






Yaaan unadhan bila bajeti tutatoboa semester?Watu wamepiga bajeti za mihogo![]()



acha tyuuuh yaanYaaan unadhan bila bajeti tutatoboa semester?acha tyuuuh yaan






halafu mtapewa nyingine mwezi November kama si December 
Kuna mdau m1 leo chuo akauliza "hivi hakuna muhusika wa HELSB aliyetia nia ubunge kura za maoni, isijekua stress hizi" yaan watu tulikufa mbavu hadi baasDah
Maisha haya.
Sasa Bora nyie kuliko wenzenu wa laki moja![]()











Daaaah huko mbali dea, saivi kwan tunawaza tutatoboa kweli?halafu mtapewa nyingine mwezi November kama si December
![]()





hii commedy ya HELSB nahisi papa mobimba wa futuhi anajifunza kwa pembeni.JamaniKuna mdau m1 leo chuo akauliza "hivi hakuna muhusika wa HELSB aliyetia nia ubunge kura za maoni, isijekua stress hizi" yaan watu tulikufa mbavu hadi baas![]()




















Daaaah huko mbali dea, saivi kwan tunawaza tutatoboa kweli?hii commedy ya HELSB nahisi papa mobimba wa futuhi anajifunza kwa pembeni.







Heeeeh weee kaka jamaniii hebu tupe faraja mmmmh, hujui tunaumia kias gan, by the way almost wanachuo hawapigagi kura, kutokana na muda na eneo husika analokuwepo.Hakikisheni mna kadi ya kupiga kura mwezi 10 pigieni CCM, saivi ishini na nyie kama mashetani mlijua ni matajiri tu ee.
Wajumbe sio watu kabisaaaah,Jamani
Yawezekana kuna mtu wa heslb ametendwa na wajumbe.
Haiewezekani heslb wawafokee wanafunzi namna hii![]()





Kwamba hicho kiasi hakijahesabu idadi ya siku?Mkataba Ni kupewa 2,080,000 kwa mwaka na mwaka wa masomo ulivyoanza walionyesha huo mkataba.
Kwanini wafokee wanafunzi na hela hizo??![]()
Haijalishi kimehesabiwa au hakijahesabiwa ila kuvunja mkataba namna hii sio fair hata kidogo.Kwamba hicho kiasi hakijahesabu idadi ya siku?