cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Kwan mayala B alishajinyonga?kuna mtu humu jf alikuwa anaitwa mayala B alikuwa anamjibu kama wewe unavyojibu marehem miguu ya kuku mwisho wa siku nayeye hatunae humu
Tobaaaaaaah weee dea hebu kuwa mpoleeeh baas. Hadi nmeogopaMfyuuu usinipangie maisha Tena unikome na Uhuru wa kufanya nijisikiacho siwezi kuwa mnafiki wa nafsi yangu ili nikufuraishe wewe na wengine. Hafu msela mavi ni yeye mnafiki tu, by the way jamaa Uzi ulikuwa wa uongo na hajafa na hata angekufa kweli Mimi inanihusu Nini?
Kufa ni lazima tu msijifanye kuwa wema.
Narudia Tena unikome kutaka kunipangia pangia, pangia hyo papuchi yako Mana ndo una mamlaka nayo. In short ur hypocrite and toxic thou you pretend to be nice,sijui nilikuwa wapi kuona hii quote siku zote. Mfyuuuu
Hahaaaa kanitukana tu bila sababu huu Uzi una comments zangu nyingi nzuri tu nilizo mshauri Ila yeye akaanza personal attack, Sasa maoni yangu na usela mavi wapi na wapi, humu watu kwa kujiona wema banaTobaaaaaaah weee dea hebu kuwa mpoleeeh baas. Hadi nmeogopa
Oooh kumbe bas muelekeze taratibu tyuuuh.Hahaaaa kanitukana tu bila sababu huu Uzi una comments zangu nyingi nzuri tu nilizo mshauri Ila yeye akaanza personal attack, Sasa maoni yangu na usela mavi wapi na wapi, humu watu kwa kujiona wema bana
Hahaaa dear unashambuliwa humu na watu wanaojifanya malaika jamani comments zangu usela ma.. hapo ndo katinginya angepita tu kimya kimya, sio kuniona Mimi timamu.Oooh kumbe bas muelekeze taratibu tyuuuh.
Ujumbe umekuingia.Mfyuuu usinipangie maisha Tena unikome na Uhuru wa kufanya nijisikiacho siwezi kuwa mnafiki wa nafsi yangu ili nikufuraishe wewe na wengine. Hafu msela mavi ni yeye mnafiki tu, by the way jamaa Uzi ulikuwa wa uongo na hajafa na hata angekufa kweli Mimi inanihusu Nini?
Kufa ni lazima tu msijifanye kuwa wema.
Narudia Tena unikome kutaka kunipangia pangia, pangia hyo papuchi yako Mana ndo una mamlaka nayo. In short ur hypocrite and toxic thou you pretend to be nice,sijui nilikuwa wapi kuona hii quote siku zote. Mfyuuuu
Hahaaa hata hujafika ndo kwanza nazidi siachi kuandika nitakacho, so utachukia bure humu.Ujumbe umekuingia.
Huo usela mavi wako peleka kwa hao ulozoea kubishana nao.
Duuuuh aseeeeh hatareeeeh sanaHahaaa dear unashambuliwa humu na watu wanaojifanya malaika jamani comments zangu usela ma.. hapo ndo katinginya angepita tu kimya kimya, sio kuniona Mimi timamu.