Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Kwnz kusalimia mtihani..pia hata nkiumwa..hana cha kunijulia hali wala nini..na mambo mengi mkuu..na mbaya zaid mpk mama yang hcho kiburi anamuonyeshea..pia akiwa anaenda sehem..mama ake anakuja tu kwangu anamchukua..badae ndo ananiaga anatoka..hali ya kua ashatoka kitambo..
Sasa kumbe hadi mzazi ana makosa embu kaeni kikao cha familia au navyo mshakaa sana?
 
Ila kwenye kununanuna hapo ukute ni upwiru unamsumbua maana wanawake na sisi mliambiwa muishi nasi KWA akili[emoji849]SASA kama huwezi kuisoma akili ya mkeo mnaweza kuta mnaachana huku mnapendana

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Kwnz kusalimia mtihani..pia hata nkiumwa..hana cha kunijulia hali wala nini..na mambo mengi mkuu..na mbaya zaid mpk mama yang hcho kiburi anamuonyeshea..pia akiwa anaenda sehem..mama ake anakuja tu kwangu anamchukua..badae ndo ananiaga anatoka..hali ya kua ashatoka kitambo..
Ndo wazaramo hao, sasa ona hadi mama mkwe anakudharau, anampitia mwanae Kama Yuko single....na huyo mama ndiye kashikilia familia, hapo hata umshirikishe Baba mkwe hakuna msaada utapata.....kifuatacho huyo atakupanda kichwani, hana adabu yeye, na mamake pia Hana adabu na ndo kamshikia akili.

Kama yupo kwao mwambie aendelee kubaki huko, akitaka kurudi kwako mpe Sheria za kuzifata...Kama hawezi mmalizane. Be a man, Acha kulialia....Mwanaume mikwara bwana.

Ukifanya mchezo ndoa itaendeshwa Kwa remote na mama mkwe, mwisho urogwe uwe zezeta
 
Majibu yake kwa upande mwingine anaonekana ni mtu mpole siyo mwenye kiburi.
inawezekana personality yake haiendani na yako ndo maana umemchoka.
kwa Sasa jaribu kumwambia Ni kitu gan hupendi ilii aache usikimbilie kumfukuza unaweza kuja kukutana na kituko zaidi yake.

yote ya yote
binafsi mapenzi yamenishinda
umemaliza vzr mkuu.
 
Unampa sana attention.

Punguza attention mzee.

Wanawake ukiwapa sana attention huwa wanaanza kuringa.

We malizia mishe zako huko nje kula, mzigo, na mengineyo ukija home pitiliza chumbani kalale.

Wala usijihangaishe nae.

Kausha kimya acha Hela ya kula nenda kapige mitikasi Yako mbona atarudi mwenyewe na mahaba tele.

Inatakiwa ujue kuwa Wanawake hawana akili Wala shukrani.
sawa mkuu ila ngoma hii kiboko.
 
Back
Top Bottom