Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

GG kwanini unachat na mke wako saa 4 usiku? We upo Bar au?
Hapana yy ypo kwa baba ake..mie niko ghetto
Una uhakika yupo kwa baba yake bro? Yaani mkeo umeoa Na anaenda kwa baba yake? Kufanya nn wakat kaolewa?

Mwanamke akijua we ni Boya anakutumia kwel kweli.. ebu muonyeshe vitendo huyo kuwa unaweza ukawa imara asipokuepo.

Fanya utafiti kama kweli anaenda kwa baba. Halagu test reaction yake Mara moja kataa asiende . Cheki reaction yake tu.

Mara ingine akisema anaondoka muache aende na usimtafuteeee mpaka atakaporudi mwenyewe nyumbani. Yaani usijihangaishe nae kabisa.

Na akija hakikisha ushatomba nje huko na hamu zako umezimaliza. Tulia enjoy upepo. Piga matukio tu na usijielezw kwann unafanya hivyo.
 
Kwa hayo majibu ya conversation tu ndoa inapumulia mashine

Mkuu okoa ndoa yako , hakuna mtu atakuja kukuokoa zaidi ya wewe kujiokoa

Nafikiri hujanielewa ndio hujanielewa namaanisha try you're best , kuwa mtu kwanza usitake yeye awe mtu kwanza wakati wewe hujawa mtu.

Kumuacha ni uhakikishe ameshindwa kuwa mtu hapo hata mimi nitasema sawa achana nae, unaweza ukahisi kuna wafu Wana amani na ndoa zao kumbe wanavumilia tu
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Mkeo hajijui, kama heshima hamna ni kipengele kweli kweli
Pole sana brother
 
Tatizo la vijana wengi wanalazima mapenzi wanajisahau na kuoa kabisa,
mwanamke kama hakukupenda mwanzo wewe muhonge oa ila jua hatakupenda kamwe!
 
Mkuu aliniaga anaenda kwa baba ake kusalimia..kila siku kusalimia tu..mie namkubalia tu..na ndo maana tunachat sbb yupo kwa baba ake..tushakaa chini mkuu zaidi ya mara 30..ndo kwnz tabia inazidi kuwa mbaya tu..
Kama zaramo kawaida yao...tena huko kwao ni kwa bwana zake
 
Back
Top Bottom