Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,327
- 16,583
Ngoja nikabandike tangazo langu kwenye "love connection" mzigo unahitajika sifa Ni hiyo tu🤣Hahahah wazaramo ni kama wachina weusi tu 🤣!
Ukitaka mizigo usicheze mbali na Songea, Mbeya na Mwanza.
Ngoja nikabandike tangazo langu kwenye "love connection" mzigo unahitajika sifa Ni hiyo tu🤣Hahahah wazaramo ni kama wachina weusi tu 🤣!
Ukitaka mizigo usicheze mbali na Songea, Mbeya na Mwanza.
Huyo atakuwa mjinga, Yani apekue simu afu are nalo Rohoni? Raha ya kupekua simu unaliamsha dakika hiyo hiyo na simu mkononi, Kama ngumi mpigane, yani mkose raha wote🤣🤣🤣Huyo kapekua Simu yako bila wewe kujua.
Sasa aloyakuta anaona kwanza amefanya kosa kupekua Simu yako bila ridhaa yako Na aloyakuta huko Ndiyo ya Fanya kukununia.
Wanawake wengine bana!
Wako na ujinga mwingi wa kimapokeo.
Kumbe uko nae sababu maisha kwao magumu 🤔🤔🤔Mkuu Mungu ananiona nimejaribu kila njia na nkimsema anatia huruma nsimuache maisha kwao magumu..ndo huwa huruma inanijia..but now hapana kwa kweli..
Wazaramo hawapo hivyo bro....wanapenda hiyo kitu unaoyoomba kuliko unavyodhania.Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Hahahahahah we utakuwa na huruma sana kwa jitu ambalo hulo feel?! 🤣Polesana
Walisema marry your best friend waliona mbali sana,mke ambae siorafiki hawz kuhudumia Wala kukuonea huruma
SiweeziHah sio rahis hivo
Ukute unamuota kilasiku
Anabwana anamtomb.a we achana nae atakupa magonjwaYah Mkuu..toka september mpk leo sijaona pochi nyoya..na yupo sawa kbsa wala hajali lolote kuhsu mimi..na inachosha mkuu kuwa mimi tu ndo nammisi yeye
Huwez aisee Yani unamuona kituko tuHahahahahah we utakuwa na huruma sana kwa jitu ambalo hulo feel?! 🤣
Unajifanya mkomavu😀Siweezi
Wewe unawajua vizuri🤣🤣🤣Uliona wapi mzaramo mwenye tako🤣? Wazaramo ni wachina walipchangamka
Hisia ni muhimu sana 🤣 na nyie ili muwe na huruma nasisi lazma muwe mnatu feel.Huwez aisee Yani unamuona kituko tu
Awaachie wahuni wafanye jamboHuyu jamaa mleta uzi ana shinda kwenye mashine za kubetia na muda wote yupo kwenye vibanda umiza kuangalia mpira, je atapata muda wa kukaa na mke wake na kumzagamu....
Jomba langu hapo huna mtu, no affection, no love. Sijui hali ilikuwaje before hadi mkaona inafaa kuona?ktk ndoa yng toka nimuoe mwezi wa 8..last time nmemuomba mbususu mwezi wa 9 mwanzoni..tena hyo ni mara ya 5..hakuonyesha kukubali..na aliponipa sikuona ushrkiano wwte..kama hakupenda vile..na mby zaid Jeuri mno..
ktk ndoa yng toka nimuoe mwezi wa 8..last time nmemuomba mbususu mwezi wa 9 mwanzoni..tena hyo ni mara ya 5..hakuonyesha kukubali..na aliponipa sikuona ushrkiano wwte..kama hakupenda vile..na mby zaid Jeuri mno..
😀😀😀😀me mwenyewe nikishaona nna vihasira visivyo na msingi simu mmoja tu 😀😀😀Upwiru unakaba koo hasira debe
Hahahahah hamna namna ingine 🤣😀😀😀😀me mwenyewe nikishaona nna vihasira visivyo na msingi simu mmoja tu 😀😀😀
Kuna mambo mengine wala hayahitaji ukaze ubongoEasier said th
ni rahisi kuongea kama hayajakufika.
Kwani hapa mada inahusu wanaume au wanawake?kazi ya mwanaume ni kutafuta hela na kuileta mezani kisha mwanamke ndio ana kazi ya kumliwaza mwanamme kwa mateso aliyoyapata akiwa kibaruani kutafuta msosi wa familia,mwanamme ukiwa romantic halafu hela za kuhudumia familia huna utaonekana kituko.Sawa lakini fahamu kuwa Wanaume wa kisukuma ni habari nyingine kiromantic,
Kuelewa zaidi hili pata mrejesho toka Kwa wanawake walo- date na SukumaMen.
Kwa bara hao wanaongoza wengine wakifuatia.
Kwanza wana ule urefu mzuri wa kunyooka kiume , halafu wako na zile huba natural ambazo wanawake wengi wanatarajia kufanyiwa na Mwanaume wake.
Be informed.
HakunaHahahahah hamna namna ingine 🤣