Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 262
- 357
hata huyo best friend hana garantee ndani ya ndoa. Ndoa ni kitu adhimu chenye kuhitaji hofu na mungu kwa wanandoa kuheshimiana na kutimiziana haki na wajibu ndani ya ndoa.Polesana
Walisema marry your best friend waliona mbali sana,mke ambae siorafiki hawz kuhudumia Wala kukuonea huruma
Mara ngapi tunasomea na kusikia wanandoa walioanza urafiki tangu utotoni wakipelekana mahakamani kudai haki za kutalakiana!?