Mr Spider
JF-Expert Member
- Feb 28, 2020
- 2,003
- 3,610
Pole sana jamaa!mkuu nikiri tu kusema nimeKurupuka..Na kaSura kake kaUpole Mno..kumbe Mtihani tu
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Pole sana jamaa!mkuu nikiri tu kusema nimeKurupuka..Na kaSura kake kaUpole Mno..kumbe Mtihani tu
Mume “date” kwa muda gani kabla hamjafunga ndoa?Mkuu aliniaga anaenda kwa baba ake kusalimia..kila siku kusalimia tu..mie namkubalia tu..na ndo maana tunachat sbb yupo kwa baba ake..tushakaa chini mkuu zaidi ya mara 30..ndo kwnz tabia inazidi kuwa mbaya tu..
Kwani ulioa peke yako?mkuu kwani kuacha mpk ukoo ujue?
Teh 😂😂😂 umenivunja mbavu teh teh teh 😂😂😂..Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Una uhakika yuko kwa babake??Hapana yy ypo kwa baba ake..mie niko ghetto
Atampasua wakishinda wote kwa majibu haya, niamini mimi 😎 😎Kwanini mnajibizana kwenye simu? Wanandoa mnashindwa kukaa chini mkaongea? Mnaogopana?
Huo ni upwiru,
Tafuta siku ushinde nyumbani we na mkeo tu mpike mle kisha zagamuaneni kisawasawa baada ya ulete mrejesho
sounds great.they all have childish minds
Mantiki yake nini?Umeoa au mmeoana?
Utakuja kuliwa tope hivihivi kwa kiherehereNdani ya wiki moja tu, tunakurudishia hamu kwa mwanamke uliyemchoka, huduma zetu ni nafuu sana.
Mlete tumtengeneza, ndani ya wiki moja tunakurudishia akiwaa tofauti.
Tuletee mke wako tumhudumie, hautajutia.
Ubakaji huoNililetewa hizi pigo na mke wangu nilichokifanya kila siku kuomba na akikataa natumai nguvu.
Nikituma meseji asipojibu nakoroma
Pole sana mkuu,Yaani hata mwaka mmoja haujaisha toka muoane umeshamchoka mwenzako Kiasi hicho?,Aisee ndoa za siku hizi ni mtihani mkubwa.Inawezekana ulioa mwanamke unampenda sana kuliko ambavyo yeye anakupenda.Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Hao wazaramo wa kibaha haoUliona wapi mzaramo mwenye tako[emoji1787]? Wazaramo ni wachina walipchangamka
🪓HAKUPENDI..KUSEX NA MTU USOMPENDA KWA MWANAMKE TUNAONA KINYAAA...
Sio kweli ila anahitaji kuchangamka, ukiwa fala anakuburuza kweli kweliShukuru hamkuwa mmezaa, mkishakuwa na watoto inahitaji roho ngumu sana kuachana, tena mkishazaa hakuna kuachana...mnatengana tu na kuanzia drama za single Mothers na baby daddies.....
Kuhusu mleta mada kavamia mtumbwi wa vibwengo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukaoe mzaramo kweli? Wenyewe hawawezani, na kitamaduni zao katika ndoa mwanamke ndio mwenye sauti, mume anatakiwa kuwa yupo yupo Tu aongozwe na mkewe.....Kama hapo anasema mke kila siku anaenda kwao, na yeye mume yupo tu....Wanaume wengine angevizia hivyo kaenda kwao na yeye angeenda kumkabidhi huko huko, kuwa binti yenu huyu hapo, kwangu asirudi, Kama alikuwa bado anapapenda Kwa Baba yake aliolewa Ili agundue nini?