Huyo mwingine una uhakoka atakuwa bora?Kheri nitafte mwengine.. Maana huyu ananifanya nazini.. which is not right.
Nilikuwa nataka nikupe ushauri wa nini utakiwa ufanye ili uendelee kuwa nae lakini kutokana na namna ulivyosema kwanza ndoa yenu ni changa Nilitegemea ndio kuwe na mahaba lakini haijatokea hivyo, nilitaka niseme shida labda ni umri wake lakini ana umri mkubwa 28, nilitaka niseme ni stress lakini kwa maelezo yako inaonesha ni tabia yake.Yah yaan nkimuulz yeye ni kuomba msamaha tu kua atanipa..tukishamalza kuomb msamaha..kama hakijatokea kitu anardia yale yale..usiku akinigeuzia mgongo ngoma mpk mornie
Mwaga tu hapa hapa huo mtama...Yaani mtu ambaye hajapewa maana, hayo ni Mambo ya ndani, kwakuwa umeoa mtu mzima naweza kukuambia, Ila pm sio live, ki Mila tunaambiwa ni Siri.
Njoo inbox mkuuKweli ndoa bado ya moto hadi mnapata muda wa kuchati
Kwa maelezo hayo unaona ni hela hapo pekee? Kwanini kila kitu mnasingizia pesa
Unataka ukamuoe wewe?.Acheni kushauri kuwa amwache ,Ingekuwa hivyo asingeleta Shida yake hapa Jukwaani.
Paragraph namba tatu hapo inachoma kama chumvi kwenye kidonda kibichiKwanza nikupe pole sijui umeoa kabila gani (samahani lakini ) na umeoa Mji wa namna gani, kuanzia kushika dini, hali ya kiuchumi wazazi wake, yeye mwenyewe Elimu yake, km Kuna ndugu zake waliolewa, na je kalelewa na wazazi wote 2 au na single-mother (rejea mabandiko yangu humu). Hivyo vitu ni muhimu kuvijua.
Pili, kuanza kuomba tendo la ndoa nadhani siyo shida sn nadhani ni tabia ya baadhi ya akina dada either sababu ya aibu au kuona kuwa akikuanza utamuona kicheche. Wapo wanawake wengi tu wenye tabia hiyo, hivyo kwangu mimi hilo hakuna shida sn ingawa wakati mwingine ni wajibu wake pia kukumbushia pindi anapohitaj. Ila km hata unapomkubusha anakupa kwa manati, hiyo siyo sahihi, ni ujeuri.
Tatu, inaonekana huyo mwanamke wewe ndiye una shida naye yeye hakuhitaji kiviiile. Na inaonekana wewe ndiye ulitumia nguvu nyingi kumshawishi umuoe na alikubali kwa sababu anazojua yeye. Km una pesa au umesoma hizo ndiyo sababu.
Nne, hujatuambia km mkeo ulimtoa kijijini au mjini. Wengi wa kijijini wakija mjini mwanzoni huwa na haibu ila akizoea Mji balaa lake ni kubwa sn.
Tano, hujatuambia km mna mtoto au la ili tujue tukushauri vipi. Km hamna mtoto Kuna shida hapo. Yani ulale na mwanamke mara tano akiwa bado mbichi akose mimba?
Mwisho, MKEO siyo riziki, ana anayempenda kwa dhati. Kwa ufupi, kibri chake kinachangiwa na huyo bwana wa nje. Na wewe una miaka 31 unashindwaj kusimama km mwanaume alafu unasema "Kila mara amekuwa anakuaga anaenda kusalimia baba yake" acha ujinga kijana wangu huyo ni mkeo mwenye mamlaka ya kumpa ruhusa ni wewe. Achana na wehu wa mitandaoni wanaosema wao wanatoa tu taarifa kwa wame zao siyo kuomba ruhusa. Umeshamgundua ni jeuri mnyime sasa hizo route zake, huko anaendaga kukutana na bwana yake siyo baba yake.
Alafu mwanaume unawezaj ku-argue na mwanamke kwenye sm namna hiyo. Vijana wa siku hizi hovyo kabisa, kwanini mnataka kuendesha ndoa kizungu. Mnaendesha ndoa km hamjuhi Mila na tamaduni zenu za Kiafrika. Simama imara kijana wangu, ndoa siyo lelemama. Yakikushinda achana naye, huyo ni kichomi kitakutoboa hadi mbavu.
Kuna mtu anapewa huko nje mkuu, piga chini hapo hamna mke.Yah yaan nkimuulz yeye ni kuomba msamaha tu kua atanipa..tukishamalza kuomb msamaha..kama hakijatokea kitu anardia yale yale..usiku akinigeuzia mgongo ngoma mpk mornie
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Mhhh huyo ana mizimu angalia asije kukunyonya damuMkuu inafikia hatua tuko chumbani yeye kununa tu.. nisipoanza mimi kuongea yeye atakaa zake kimya tu..aisee arrgh hapana kwa kweli
mmm pole jaribu kumtafuta mshenga lakini kutokana na hizo sms nadhani utakuwa na mchepukoHabari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
SureAtakuwa labda ana changamoto ya afya ya akili
🤣 🤣 🤣 😀uzi unaumiza na kufurahisha mumo mumoSometimes pia ondoka nyumbani lala nje mwezi mzima akipiga simu unawapa mademu wapokee wamtukane matusi makubwa
Aahwazazi wakiachana watoto watakosa malezi bora
Ni kuomba Mungu tu, hata waliojuana kiundani kwanza Bado wana achana Kila sikuHayo ndio madhara ya kuoana bila kujuana kiundani, we ulibeba mzega mzega bila kumjua vizuri kiundani?
Sina na sikuwahi kuchepuka hata siku moja.mmm pole jaribu kumtafuta mshenga lakini kutokana na hizo sms nadhani utakuwa na mchepuko