mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,809
Hapo ukute wana watoto tayariSasa si muachane tu
Hapo ukute wana watoto tayariSasa si muachane tu
Ulivyo mzuri kwa siku itakua mara 3 kama doziMbona chache baby?!!!!!
Hebu rekebisha calculation zako vzr
Hizo 20 ni ndani ya uwanja bhana
Kuna zile mechi za kustukiza za kitchen za kumla mpishi na chakula chake, bathroom, za kucheck game la Yanga, Mayelle akitetema na sisi [emoji2222][emoji2222]
Halafu mimi sisubiri uniombe, nakubaka MWENYEWEEEEEEE!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umempotosha mwenzio,mtu wa hivyo ni kumwagia nje,au kutumia kondom,kupiga mimba hakubadilishi chochote zaidi ys kuleta watoto wa kutesa,bora mtu muachane bila mtotoPole kaka hizo ndio changa moto za ndoa ,piga mimba huyu fasta.
Utakuja nishukuru niko hapa Jf nimekaa
OkayMtwara, Lindi, Songea(wangoni) na Pwani na Dodoma(wagogo).
Hawa Wana tabia za asili ambazo unabidi uzikubaliane nazo ambazo sio nzuri kwa makabila mengine.
It's on their DNA.
ni rahisi kuongea kama hayajakufika.Kwanini mnajibizana kwenye simu? Wanandoa mnashindwa kukaa chini mkaongea? Mnaogopana?
Huo ni upwiru,
Tafuta siku ushinde nyumbani we na mkeo tu mpike mle kisha zagamuaneni kisawasawa baada ya ulete mrejesho
Kazi mnayo wallah,Mtwara, Lindi, Songea(wangoni) na Pwani na Dodoma(wagogo).
Hawa Wana tabia za asili ambazo unabidi uzikubaliane nazo ambazo sio nzuri kwa makabila mengine.
It's on their DNA.
Kila mmoja akiongea matatizo na changamoto za wenza wao kwa hakika tutajaza sever za jf
Mwanamke akikusumbua geuza usumbufu wake kama ni KILEMA chake
Sasa ndo uishi Kwa mateso kisa unawatotoHapo ukute wana watoto tayari
Sasa ni kabila gani la bara hilo ambao wako romantic kuliko wa pwani,au wachaga?Usukumani walio romantic ni wanaume, wanawake hamna kitu kama hicho !
Wana tabia gani hizo mkuu?mbona pwani ndio watu wenye mahaba na ndio watu wanaotumia muda wao vizuri kwenye mapenzi,yaani mapenzi kwao ni kama taaluma na ndio maana inasemekana pwani ndio mapenzi yalikozaliwa ila sijawahi kusikia mtu akisifia kwamba mapenzi yametokea usukumani au uchaganiAtleast wasukuma hawana tabia za watu wa Lindi, mtwara na Pwani.
Wale wa kusini ni kiboko.
I am speaking from my experience sio kuhadithiwa.
KumbeMtwara, Lindi, Songea(wangoni) na Pwani na Dodoma(wagogo).
Hawa Wana tabia za asili ambazo unabidi uzikubaliane nazo ambazo sio nzuri kwa makabila mengine.
It's on their DNA.
Kwamba atakakoenda ndo atakuta marahisi?Kama haujazaa nae muache mapema ni heri ya hayo kuliko yajao utazidi kuchanganyikiwa.
Kwani watt ndo nnHapo ukute wana watoto tayari
Ulivyo mzuri kwa siku itakua mara 3 kama dozi