Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

i did it more than once..yaani kila mara nakaa nae chini mkuu..yaani mungu ananiona..ni zaidi ya mara 30 ninamsihi nijue nini shida..na anajibu hamna shida yyte anaomba msamaha napotezea...muda kidgo tu anarudia hayo hayo..Ana mengi mno mkuu..Kusalimia mtihani..mumewe nikiumwa sioni hata hamu ya kunitkia uzima mumewe..ndo kwnz anafnya mambo yake....yaani dah ana mengi sn..nmeanzisha uzi nianglie mawazo yenu
Pole sana kijana
 
Em elezea kitu kieleweke kama unataka msaada usifiche fiche alikufanyia nini kwenye 7 za fungate?

All in all hakikisha unampa[emoji383][emoji383][emoji383]bila ya yeye kukuomba atakua na hamu naww mpaka ushangae kua ndio uyu mke wako au mwingine
Inaelekea we unapenda pesa sana
 
Shukuru hamkuwa mmezaa, mkishakuwa na watoto inahitaji roho ngumu sana kuachana, tena mkishazaa hakuna kuachana...mnatengana tu na kuanzia drama za single Mothers na baby daddies.....

Kuhusu mleta mada kavamia mtumbwi wa vibwengo🤣🤣🤣 ukaoe mzaramo kweli? Wenyewe hawawezani, na kitamaduni zao katika ndoa mwanamke ndio mwenye sauti, mume anatakiwa kuwa yupo yupo Tu aongozwe na mkewe.....Kama hapo anasema mke kila siku anaenda kwao, na yeye mume yupo tu....Wanaume wengine angevizia hivyo kaenda kwao na yeye angeenda kumkabidhi huko huko, kuwa binti yenu huyu hapo, kwangu asirudi, Kama alikuwa bado anapapenda Kwa Baba yake aliolewa Ili agundue nini?
Mume wa 1 tumezaa 2 handsome baby boy Alihamdulillah wa yuko la 7 wa 2 la 6,Baada ya kupata pesa akabadilika na kuwa na mwanamke nje nae niliondoka sikutazama nyuma alipoanza fulia akaomba eti aniowe tena tulee watoto nikagoma mwanangu akiwa mdogo alonifanyia visa vingi haswa mgao wa mali akanipachika kesi nataka kumchoma kisu akafanya juu chini watoto wakawa chini yake mwisho nikaona amani ya moyo ni bora nikazisamehe na watoto nikaacha sikuona haja ya kugombania mali na watoto Baada ya hapo mikosi tu kumuandama wakasema nimeroga pesa kufulia mke kasepa ndo akaja tulee watoto nikakataa wanangu wamekuwa Alihamdulillah wanipenda wanakuja kwangu baba Yao wa kambo anawapenda kama wake,huyo nilomuongelea ni kivuruge wa 2 hata tungezaa na roho ngumu sana ya mama yangu sigeuki nyuma.
 
Mume wa 1 tumezaa 2 handsome baby boy Alihamdulillah wa yuko la 7 wa 2 la 6,Baada ya kupata pesa akabadilika na kuwa na mwanamke nje nae niliondoka sikutazama nyuma alipoanza fulia akaomba eti aniowe tena tulee watoto nikagoma mwanangu akiwa mdogo alonifanyia visa vingi haswa mgao wa mali akanipachika kesi nataka kumchoma kisu akafanya juu chini watoto wakawa chini yake mwisho nikaona amani ya moyo ni bora nikazisamehe na watoto nikaacha sikuona haja ya kugombania mali na watoto Baada ya hapo mikosi tu kumuandama wakasema nimeroga pesa kufulia mke kasepa ndo akaja tulee watoto nikakataa wanangu wamekuwa Alihamdulillah wanipenda wanakuja kwangu baba Yao wa kambo anawapenda kama wake,huyo nilomuongelea ni kivuruge wa 2 hata tungezaa na roho ngumu sana ya mama yangu sigeuki nyuma.
Nimekupenda bure, huna mba mba.
 
Kuchokana kawaida mkuu,,hata huko mbinguni Mungu alichokana na malaika mkuu na mwenye mamlaka ambae kwa sasa ndio shetani vita vikazuka,,,malaika mtiifu akalaaniwa na kutupwa duniani!!achaneni tuu kiroho safii,,kuna mambo si ya kulazimisha yanapofika mwisho.
 
Mi

Mie nilitamani kumshauri, Ila nilivyokumbuka yangu yamenishinda ndo niingilie ya watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anyway, ale vizuri, apumzishe mwili wake, atafute hela....siku moja moja auze mechi[emoji1787] Kwanza duniani tunapita, asikubali kuendeshwa na toto la mtu hivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Hata wewe ulokuwa mama ushauri? [emoji3][emoji28]

Haya mambo ni kwa zamu,

Kuteswa kwa zamu ,

Kupitia majaribu kwa zamu ,

Hakuna fundi wa ndoa,

Hakuna hodari wa kuishi na mume ,

Ni kwa Neema na rehema tu za Bwana,

Wala mwanamke yeyote aloolewa asijisifu maana ni vile hayuko informed yet na kujua kinachoendelea
 
Nme ona uki jaribu kutia huruma tu hapo ila amna ugumu wowote wa kiume ulio uweka au ume uzeshwa
 
Huyo atakuwa mjinga, Yani apekue simu afu are nalo Rohoni? Raha ya kupekua simu unaliamsha dakika hiyo hiyo na simu mkononi, Kama ngumi mpigane, yani mkose raha wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivyo si atakuja amtilie sumu Kaka etu?



Ni kweli Nimekuelewa lakini wapo wanawake ambao anapekua simu halafu analianzisha anampeleka mume polisi,
Halafu anamnunia mazima hata Simu wala sms na unakuta wako long distance,
Mume anasema hataenda home kwa mke ambae amenuna.

Wanaume wanapenda kuchekewa !
 
Hata wewe ulokuwa mama ushauri? [emoji3][emoji28]

Haya mambo ni kwa zamu,

Kuteswa kwa zamu ,

Kupitia majaribu kwa zamu ,

Hakuna fundi wa ndoa,

Hakuna hodari wa kuishi na mume ,

Ni kwa Neema na rehema tu za Bwana,

Wala asijisifu maana ni vile hayuko informed yet na kujua kinachoendelea
Mie bado ni mama ushauri, Ila mapenzi yalinishinda zamaaaani.....naishi Kwa Ihsan tu, duniani mkamilifu hakuna.

Baba K wangu ananijua, anaweza kuniacha nimenuna, akirudi anakuta nacheka Kama sio Mie🤣🤣🤣
 
ktk ndoa yng toka nimuoe mwezi wa 8..last time nmemuomba mbususu mwezi wa 9 mwanzoni..tena hyo ni mara ya 5..hakuonyesha kukubali..na aliponipa sikuona ushrkiano wwte..kama hakupenda vile..na mby zaid Jeuri mno..
Kaka hakika nakwambia..utateseka sana...huyo Hana dhamira ya kuwa na wewe...watu wanafungwa kwa kuwadhuru vibaya wapenzi wao...siku atakufanyia tukio utapanda hasira na kuharibu mzee....tafuta amani ya moto mzee...huyo sioni kama pana mke hapo zaidi ya kujitafutia matatizo tu...je, maisha yako yote utaishi kwa stress hivyo? Haiwezekani, weka pembeni...tafuta hela kwa bidii, pumzisha mwili wako, jipende kwanza wewe mengine yatafuata...hao watu wanatesa balaa, mwisho wa siku hakuna kiti utaambulia zaidi ya stress, magonjwa na magomvi basiiii...tafuta amani ya moyo..mtu tumekutana ukubwani aje aniletee ujinga, no siwezi.
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

mtoe out funga kama hakuna kinachotokea kula nyama kula nae bia rudi nae nyumbani piga pipe nzuri lakini ya kuonya kesho asubuhi huwezi amini kama ni yeye..wanawake ni saa zingine kama watoto ukishamjua unacheza naye kidogo tuu anarudi..waga wanjisahau
 
Back
Top Bottom