Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Mkuu aliniaga anaenda kwa baba ake kusalimia..kila siku kusalimia tu..mie namkubalia tu..na ndo maana tunachat sbb yupo kwa baba ake..tushakaa chini mkuu zaidi ya mara 30..ndo kwnz tabia inazidi kuwa mbaya tu..
Sasa mkuu huyo mkeo si anat*mbwer na mtu mwingine huko,nawewe tafuta mnyonge umtolee uvivu kua na wanawake kama 7 hivi ndio utafurahi
 
Mwaka.mzima mmesex mara 5? Hamna ndoa hapo.

Cute Wife
Sisi mwezi mmoja tu si tunasex mara 20

Mbona chache baby?!!!!!

Hebu rekebisha calculation zako vzr
Hizo 20 ni ndani ya uwanja bhana

Kuna zile mechi za kustukiza za kitchen za kumla mpishi na chakula chake, bathroom, za kucheck game la Yanga, Mayelle akitetema na sisi [emoji2222][emoji2222]

Halafu mimi sisubiri uniombe, nakubaka MWENYEWEEEEEEE!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari wakuu.. mke wngu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume..


Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though No Mutual Connection..

Mke meseji ninamtumia saa1 asubuhi kujibiwa saa10 jioni. Since Day 1 ya ndoa yangu..sijapata Raha yoyote ile zaidi ya karaha tu.. Leo nimeamua kumtolea uvivu.. WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Kwenye uchumba ulianya kazi gani?

Nyumba ni msingi.. miezi 8 ni michache sana kwenye ndoa. Hizo shida zilikuwepo since you meet her day 1
 
Kapata Mtoto wa uswazi manzese, hajazoea wanaume wapole kupitiliza maana ashazoea kuishi na wahuni, wamechangamka, dakika mbili mbele ashachezea vibao. Huku kakutana na mstaarabu hapati ile vibe, ile thrill anaona ndoa imepoa [emoji16][emoji16]

Aisee hii kitu ni kweli. She his for the streets. Madem wa aina hii ni wa kukaa nao mbalii haswa kama unanijua ww ni sharukh khan halaf huna msimamo, atakusumbua sana.
Watu hawaoni mapema wanaoa sura in hopes kwenye ndoa atatulia
 
Kwenye uchumba ulianya kazi gani?

Nyumba ni msingi.. miezi 8 ni michache sana kwenye ndoa. Hizo shida zilikuwepo since you meet her day 1
Since day 1 mkuu..hlf kuna ile wakwe zake wanatutembelea baada ya siku kadhaa ya za ndoa...kuna bibi yng alivokuja tu the way wife alivowapikia wageni na kuwaandalia bibi akanitonya kua mke wng ni mchoyo..sikumuelewa kbsa..Now ndo naRealize.
 
Mkuu hta uchumba alikua ypo hvihvi..ila akanipromise nkimuoa atabdlka..ndo maana nasema nilikurupuka kuoa...na ktk ndoa nashangaa ndo zimezidi tabia mbovu..Na kuhsu Red Card mkuu ningeshaitoa toka siku 7 za mwanzo wanm ndoa yetu mwaka jana..maana aliyoyfny siyasahau kbs..

Kama uchumba alikuwa hivyo ungeacha. Uchumba ni kusomana tabia. Mtu abadiliki kwenye ndoa. Ungemwambia akibadilika ndio ndoa iwe reward.

Pole , ila huna mke
 
Back
Top Bottom