Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Zamani talaka hazikuwepo sababu wanawake hawakuwa na wivu kwa mme kuoa wake wengi,wao waliangalia tu watoto wao.Wakijua Kama mme hayupo kwake atakuwa kwa mwingine mwingine nae anajua yupo kwa mwingine.
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Nimependa ulivyomaliza "tusikurupuke kuoa"
 
Umesema mzaramo ee? Pole brother jipange kwa ndoa ya pili wao husema hawawezi kutembea na ndoo peke yake kichwani lazima wabebe na vidumu viwili mikononi ili ndoo ikianguka walau aambulie kubaki na vidumu na kikianguka kidumu kimoja abaki na kidumu kimoja. Pole sana mkuu huko kwa baba anakoenda kuna kidumu ambacho kinaichakaza vilivyo na anakikubali mbayaaa hivyo kupelekea kutokuwa na hisia na wewe blaza kwa umri wako haustahili hayo.
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Bado hamjakomaa, Ndoa yenu ni changa
 
Kama uchumba alikuwa hivyo ungeacha. Uchumba ni kusomana tabia. Mtu abadiliki kwenye ndoa. Ungemwambia akibadilika ndio ndoa iwe reward.

Pole , ila huna mke



Kubadili sio rahisi labda Kwa kuruhusu Neno la Mungu limfanyie transifomation.

Tabia ni kama ngozi sio rahisi kuibadili.

Wengi huwa wana pretend kwa muda mfupi wa uchumba ukishaoa anarejea tabia yake halisi.

You can’t pretend for long.

Coping is short term real is for long.
 
Back
Top Bottom