Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Kwanini mnajibizana kwenye simu? Wanandoa mnashindwa kukaa chini mkaongea? Mnaogopana?

Huo ni upwiru,
Tafuta siku ushinde nyumbani we na mkeo tu mpike mle kisha zagamuaneni kisawasawa baada ya ulete mrejesho
Huyu jamaa mleta uzi ana shinda kwenye mashine za kubetia na muda wote yupo kwenye vibanda umiza kuangalia mpira, je atapata muda wa kukaa na mke wake na kumzagamu....
 
Mi

Mie nilitamani kumshauri, Ila nilivyokumbuka yangu yamenishinda ndo niingilie ya watu🤣🤣🤣

Anyway, ale vizuri, apumzishe mwili wake, atafute hela....siku moja moja auze mechi🤣 Kwanza duniani tunapita, asikubali kuendeshwa na toto la mtu hivyo🤣🤣🤣
Mapenz hayashauriki
 
Uliona wapi mzaramo mwenye tako🤣? Wazaramo ni wachina walipchangamka
Aiseeeeh
Sikuwa nafahamu hili🤣

Kwenye ubongo wangu nimejijengea wazaramo ni hatari sana kwenye Big A$s🙌 kumbe ni dar es salaam Chinese 🤣

Kwenye zile ngoma zao wanazungushaje Ile kalio?
 
Kanitia hasira angekuwa kaka yangu angenikoma na talaka angetoa ndoa yemyeee yaonekana ya kiislamu Sasa Kuna ugumu gani kumpa talaka iwapo ndoa yenyeee tendo la ndoa hapati.jamaa Hana maamuzi ya kiume alitakiwa aje hapa kutoa tu simulizi sio kuomba ushauri mie mwanamke ujinga tu kuvumilia kwenye ndoa siwezi siku nilomuacha mume wangu haamini mpaka leo toka 2013 anibembeleza turudiane kabadilika ilikuwa ujana nimekataa na nimetolewa na mtoto yeye kashaowa wake wa 4 anaacha na hawazai basi analalamika mtoto huyu angekuwa wake Yaani mpaka mkewe wa Sasa anionea wivu balaa kashajua jamaa anipenda mpaka ananichukia tulikutana ukweni kwenye misiba mwanaume mara Ani block mara ana unblock anahangaika tu 😁 nilomuacha miezi 6 tu ya ndoa alikuwa full Bata na madem muda na mie hana wazazi wake wakaingilia kati ndo kwanza kama alitiwa ndimu tendo la ndoa atake yeye au ulalamile hio siku atapiga show ya kibabe mpaka unasamehe Kila kitu kukikucha mwendo ule ule nikamwambia usipobadilika ipo siku nitakuacha na hauto amini na huwa sijui kusamehe alijua utani mpaka Leo inamuuma,nimepata mume anipenda mie na kunijali ndugu zangu wanangu Alihamdulillah nimepata utulivu naweza kuwa miongoni mwa wanawake walo jaaliwa mume bora sio Tajiri ila ndoa yenye furaha na amani kwanza kujua ni mume wangu mpaka nikuambie utajua marafiki tu .kwahio kaka aache ujinga wanawake wako kibao ni yeye kuchagua alie sahihi mapungufu kwa mwanadamu kawaida ila sio hayo ya mkewe.
Shukuru hamkuwa mmezaa, mkishakuwa na watoto inahitaji roho ngumu sana kuachana, tena mkishazaa hakuna kuachana...mnatengana tu na kuanzia drama za single Mothers na baby daddies.....

Kuhusu mleta mada kavamia mtumbwi wa vibwengo🤣🤣🤣 ukaoe mzaramo kweli? Wenyewe hawawezani, na kitamaduni zao katika ndoa mwanamke ndio mwenye sauti, mume anatakiwa kuwa yupo yupo Tu aongozwe na mkewe.....Kama hapo anasema mke kila siku anaenda kwao, na yeye mume yupo tu....Wanaume wengine angevizia hivyo kaenda kwao na yeye angeenda kumkabidhi huko huko, kuwa binti yenu huyu hapo, kwangu asirudi, Kama alikuwa bado anapapenda Kwa Baba yake aliolewa Ili agundue nini?
 
Aiseeeeh
Sikuwa nafahamu hili🤣

Kwenye ubongo wangu nimejijengea wazaramo ni hatari sana kwenye Big A$s🙌 kumbe ni dar es salaam Chinese 🤣
Hahahah wazaramo ni kama wachina weusi tu 🤣!
Ukitaka mizigo usicheze mbali na Songea, Mbeya na Mwanza.
 
Wana tabia gani hizo mkuu?mbona pwani ndio watu wenye mahaba na ndio watu wanaotumia muda wao vizuri kwenye mapenzi,yaani mapenzi kwao ni kama taaluma na ndio maana inasemekana pwani ndio mapenzi yalikozaliwa ila sijawahi kusikia mtu akisifia kwamba mapenzi yametokea usukumani au uchagani



Sawa lakini fahamu kuwa Wanaume wa kisukuma ni habari nyingine kiromantic,

Kuelewa zaidi hili pata mrejesho toka Kwa wanawake walo- date na SukumaMen.

Kwa bara hao wanaongoza wengine wakifuatia.

Kwanza wana ule urefu mzuri wa kunyooka kiume , halafu wako na zile huba natural ambazo wanawake wengi wanatarajia kufanyiwa na Mwanaume wake.

Be informed.
 
Mkuu sijafail..hlf ingkua tatizo ni hisia tu tungeyatatua tu..Shida sijaona sifa ya MKE ndani mwake..vyote mtihani..Adabu na vinginevyo F
Najiuliza tu mwanamke huyo ulimuokota bar ama ilikuwaje? Maana kutafta mke wa kuoa ni Process. Unaweza ukawa nae mda mrefu ukimsoma akili yake na tabia zake kabla ya kuja kuhitimisha na ndoa. Wewe mulianzaje hadi kufikia ndoa akawa hivyo? 🤣
 
Back
Top Bottom