Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Kaka hakika nakwambia..utateseka sana...huyo Hana dhamira ya kuwa na wewe...watu wanafungwa kwa kuwadhuru vibaya wapenzi wao...siku atakufanyia tukio utapanda hasira na kuharibu mzee....tafuta amani ya moto mzee...huyo sioni kama pana mke hapo zaidi ya kujitafutia matatizo tu...je, maisha yako yote utaishi kwa stress hivyo? Haiwezekani, weka pembeni...tafuta hela kwa bidii, pumzisha mwili wako, jipende kwanza wewe mengine yatafuata...hao watu wanatesa balaa, mwisho wa siku hakuna kiti utaambulia zaidi ya stress, magonjwa na magomvi basiiii...tafuta amani ya moyo..mtu tumekutana ukubwani aje aniletee ujinga, no siwezi.
sawa mkuu umenipa nguvu..
 
sasa binti wa watu mpaka anakuuliza akiondoka utaishijee?? yani wew ndo unataka aondoke ila yeye anatamani kubakii.. Kama ni suala la uchi ya mimi hata nikianza kuomba mimi mwaka mzima sioni shida maana kiukweli wanaume ndo tuna migenyee zaidi..
nimeielewa kauli yake na ndo anapendaga sn kuitumia akiamini kua siwezi ishi bila yeye.
 
ktk ndoa yng toka nimuoe mwezi wa 8..last time nmemuomba mbususu mwezi wa 9 mwanzoni..tena hyo ni mara ya 5..hakuonyesha kukubali..na aliponipa sikuona ushrkiano wwte..kama hakupenda vile..na mby zaid Jeuri mno..
Huyo jeuri, au Kuna kitu hakiko sawa, hakukupenda kwa dhati, alitaka tu ndoa atoe mkosi, huyo au msungo.?
 
Niuzie huyo mtu hutojuta na mausumbufu,naomba umbinafshe nimwendeshe Mimi kwa faida Kama amekushinda ,mkuu ukiniuzia unapata faida kabisa
 
Back
Top Bottom