exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Kama hukupata chanzo cha uzi huu fatilia
Msaada wa haraka: Mkewangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utalatibu wa talaka tugawane mali
Wakuu kwanza mimi sio mwana kiswahili mzuri kwaio atakaeona nmechanganya herufi ajiongeze mwenyewe nsamehewe kwa hili,
Wakuu uzi wangu huu niliwaomba ushauri ndoa yangu ilikua imeenda kufa kabisa, Mke wangu alitoka ilikua asubuhi akarudi kesho yake alikua kwa dadaake akamshauri migongano kwenye ndoa ni swala la kawaida rudi kwa mmeo ukaombane msamaha rakini hakusikia
Kwahiyo alirudi kwa swala lile lile la talaka alifika jioni akamtuma dogo tunaishi nae aje kazini kwangu kuchukua hela ya mboga nikampatia, jioni nafka nyumbani nakuta kapika afu yupo chumbani kalala naskia dogo anamwambia pakueni chakula mstegemee nawatengea chakula,
Hata mimi nliona utalatibu hauko sawa maana sku nyingne nikifika nyumbani hua ananipelekea maji kuonga rakn nilikaa sebuleni kama dakka 15 naona kimya nikamwambia apeleke maji bafuni nioge akakataa hapeleki maji
Nikafikilia kwamba mkewangu huyu ameenda huko ameshauliwa hajaelewa mimi sitoweza kumshawishi kwa vyovyote nikajua amezamilia kuachana, nkaamua kuchukua ndoo nikaenda kuoga,
Simu yangu niliiacha chumbani makusudi kulikua na meseji tulichati mchana na jamaa mmoja ananishauri nisafiri nikamuone mschana mmoja nikipendezwa nae nimuoe jamaa kashauri siwezi kakaa bila mke na ameshauri atanisaidia kwa hilo
Kumbe nlipoenda kuoga alisoma meseji zote, nilivyotoka kuoga nikapakua chakula nikala
Kwakua nilikua nmesha kula nondo nyingi za ushauri zilinisaidia hasa uzi wa DeePond nilikua nmeupitia skuteteleka nikavaa sura ya uanaume ndani ya nyumba nkamwambia kama Umeamua kuachana basi nipishe ukalale kwenye chumba kingine akaaza kusema ooh nmesoma meseji unataka uoe mwanamke
Nikamwambia sasa ukiondoka naishije bila mke yaani lazma nioe tutakuja kuanza moja na mwanamke nitakae muoa kwakua unashida ya kugawana unahangaika bure mimi sigawani mali yoyote nmeumbwa wanaume nitatafuta nyingine sikuzaliwa na kitu
Nahakikisha kesho ubebe duka lote na vifaa vyote mpaka ufagio hakuna cha kugawana hata kimoja staki ulale chumbani humu haina maana ya kulala pamoja tena nikamwambia apishe nataka kufunga kweli alifanya hivyo akatoka nikafunga mlango
Baada ya dakka kumi napigiwa na kakayake simu ananiambia et nmemfukuza usku mtoto wa kike et atapata matatzo usku mbaya nkamwambia chanzo alivyokata simu badae kama dakika 10 sjui alishauliwa nini na kakayae akaja mlangoni kuniita tena kwa sauti nzuri nmfungulie
Nkamfungulia akaanza kulia ananiomba msamaha anasema kwanini nilitaka kuchukua maamzi ya kutaka kuoa mapema hivyo, mara ooh mmewangu sitorudia nisamehe
Nmeshamsamehe maisha yanaendelea,,,,,
Exalioth_yuda
Jf_geita
Msaada wa haraka: Mkewangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utalatibu wa talaka tugawane mali
Wakuu kwanza mimi sio mwana kiswahili mzuri kwaio atakaeona nmechanganya herufi ajiongeze mwenyewe nsamehewe kwa hili,
Wakuu uzi wangu huu niliwaomba ushauri ndoa yangu ilikua imeenda kufa kabisa, Mke wangu alitoka ilikua asubuhi akarudi kesho yake alikua kwa dadaake akamshauri migongano kwenye ndoa ni swala la kawaida rudi kwa mmeo ukaombane msamaha rakini hakusikia
Kwahiyo alirudi kwa swala lile lile la talaka alifika jioni akamtuma dogo tunaishi nae aje kazini kwangu kuchukua hela ya mboga nikampatia, jioni nafka nyumbani nakuta kapika afu yupo chumbani kalala naskia dogo anamwambia pakueni chakula mstegemee nawatengea chakula,
Hata mimi nliona utalatibu hauko sawa maana sku nyingne nikifika nyumbani hua ananipelekea maji kuonga rakn nilikaa sebuleni kama dakka 15 naona kimya nikamwambia apeleke maji bafuni nioge akakataa hapeleki maji
Nikafikilia kwamba mkewangu huyu ameenda huko ameshauliwa hajaelewa mimi sitoweza kumshawishi kwa vyovyote nikajua amezamilia kuachana, nkaamua kuchukua ndoo nikaenda kuoga,
Simu yangu niliiacha chumbani makusudi kulikua na meseji tulichati mchana na jamaa mmoja ananishauri nisafiri nikamuone mschana mmoja nikipendezwa nae nimuoe jamaa kashauri siwezi kakaa bila mke na ameshauri atanisaidia kwa hilo
Kumbe nlipoenda kuoga alisoma meseji zote, nilivyotoka kuoga nikapakua chakula nikala
Kwakua nilikua nmesha kula nondo nyingi za ushauri zilinisaidia hasa uzi wa DeePond nilikua nmeupitia skuteteleka nikavaa sura ya uanaume ndani ya nyumba nkamwambia kama Umeamua kuachana basi nipishe ukalale kwenye chumba kingine akaaza kusema ooh nmesoma meseji unataka uoe mwanamke
Nikamwambia sasa ukiondoka naishije bila mke yaani lazma nioe tutakuja kuanza moja na mwanamke nitakae muoa kwakua unashida ya kugawana unahangaika bure mimi sigawani mali yoyote nmeumbwa wanaume nitatafuta nyingine sikuzaliwa na kitu
Nahakikisha kesho ubebe duka lote na vifaa vyote mpaka ufagio hakuna cha kugawana hata kimoja staki ulale chumbani humu haina maana ya kulala pamoja tena nikamwambia apishe nataka kufunga kweli alifanya hivyo akatoka nikafunga mlango
Baada ya dakka kumi napigiwa na kakayake simu ananiambia et nmemfukuza usku mtoto wa kike et atapata matatzo usku mbaya nkamwambia chanzo alivyokata simu badae kama dakika 10 sjui alishauliwa nini na kakayae akaja mlangoni kuniita tena kwa sauti nzuri nmfungulie
Nkamfungulia akaanza kulia ananiomba msamaha anasema kwanini nilitaka kuchukua maamzi ya kutaka kuoa mapema hivyo, mara ooh mmewangu sitorudia nisamehe
Nmeshamsamehe maisha yanaendelea,,,,,
Exalioth_yuda
Jf_geita