Mkuu inafikia hatua tuko chumbani yeye kununa tu.. nisipoanza mimi kuongea yeye atakaa zake kimya tu..aisee arrgh hapana kwa kweli
Siyo wa Kaskazini kweli?Kheri nitafte mwengine.. Maana huyu ananifanya nazini.. which is not right.
Una wazo usipuuzwe!GG kwanini unachat na mke wako saa 4 usiku? We upo Bar au?
Duh pole snSAWA MKUU NITAFANYA HIVYO..AISEE..SIJUI WENZANGU WAKE WANAOWATENGEA MPK MAJI YA KUOGA WANAWATOA WAPI!!
Kusini ipo mkuu?Duh makabila ya Pwani na ya Kusini sio ya kuoa kama wewe ni mtu wa bara, hapo umekosea maana ni tabia zao na Utamaduni wao.
Mrudishe nyumbani mkuu.
Aje alete mrejesho kama aliichapa. Usiku ushapita.Uvivu gan ss umemtolea apo? Mkuu ww iombe tu uichape uck huu ..kesho nayo cku![]()
Hata ukiishi nae miaka 20 ukifunga tu ndoa wanabadilika.Hasa Hawa wa Kikristo ndio hovyo kabisa inatakiwa uishi nae Kama mpangaji ndo mtaenda sawa.Sina experience ya ndoa, zaidi ya kuishi na mtu ndani zile pika pakua vaa na vua japo ni zama za giza kidogo, hivyo ushauri wangu unaweza usiwe relevant
Ila yote kwa yote, naona kuna umuhimu wa kuishi na mtu japo kidogo wakati bado unajitafuta kumuoa ili kumsoma na kukata shauri kama unajilipua au la
Khaaaa jmn😅😅Sometimes pia ondoka nyumbani lala nje mwezi mzima akipiga simu unawapa mademu wapokee wamtukane matusi makubwa
Kuna jamii Huwa hazidumu na ndoa hadi anazeeka wanaoana na kuachana dini inaruhusuZaramo..Na nishajaribu kuresolve kwa kureport kwa mshenga na wazazi pia ila bado yupo vle vle tu..Mwishowe nikaambiwa nimewatukana wazazi wake..Sasa nataka nifanye maamuzi bila kuripoti.
kabla ya yote,hebu jichunguze wewe mwenyewe wapi unakosea,baada ya hapo mtafute mkae mahali pazuri pasipo na bughudha au kele le na muongee utapata suluhuHabari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Ndoa za wazee miaka 40+Vijana hamstahili kuoa hamuziwezi ndoa.