Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Hapana yy ypo kwa baba ake..mie niko ghetto
Mi nahisi kama ulikosea mzee. Ila haujachelewa. Fanya hivi:

1. Kama umepanga, fanya mchakato siku akienda kwa ndugu zake we HAMA kimya kimya na usimuambie mtu ulipohamia.

2. Akija akute haupo. Akikuuliza kwea simu mwambie umerudi kwa wazazi wako au ndugu yako au rafiki yako.

3. Akija kazini kwako (naamini anapajua), mchenge ila kwako usimpeleke. Hadi ahisi unaishi na mwanamke mwingine.
 
Yah Mkuu..toka september mpk leo sijaona pochi nyoya..na yupo sawa kbsa wala hajali lolote kuhsu mimi..na inachosha mkuu kuwa mimi tu ndo nammisi yeye

Dalili ya penzi pa upande mmoja. Yeye moyo wake uko kwingine. Sasa ili umuwezee. Mpe ruhusa ya kuondoka, mwambie live uhitaji kuishi na mtu anae lazimishwa
 
Unakuta mwanamke yupo kwenye presha za kuolewa huku ana wanaume watatu. Mmoja ndio wa roho yake, wengine ni kutega mingo tu maana wana dalili za uhazbandi material..

Kidume unaingia mkenge unatangaza ndoa, unaona anafurahi kumbe mwenzio anawaza shamrashamra za harusi na isitoshe siku moja kabla ya harusi anaenda kuagana na yule anaempenda kwa mechi matataaa 😁

Kesho mnafunga ndoa, harusi inafana na watu wote wanamuona kaolewa. Alichokitaka kashakipata Ila mwanaume aliyemuheshimisha anaanza kumuona kama ni kosa alifanya kumkubali kuwa wa milele maana moyo wake upo kwingine.


Hiii si kweli Ila ni tafakari tu
 
Kuna jamaa mmoja alinichekesha sana alitoa ushuhuda humu jukwaan simkumbuki jina. Jamaa anasimulia.

Mke wangu alikua na mambo ya ajabu sana. Mara aninunie, mara asipike chakula, mara anachelewa kurudi nyumbani na pia kuna kipindi alikua anatoroka nyumbani... Tabia zake nyingi mbaya zilinichosha sana kwa sababu kila siku ulikua ni ugomvi bila sababu za msingi. Tukigombana kidogo alikua anatishia tuachane.

Siku moja asubuhi sana ile najiandaa kwenda kazini alikua amenuna sana akaniambia nimpe nauli aende nyumbani kwao. Akafungasha vitu vyake vyote, sikumuuliza kitu wala kumsemesha chochote. Nikamsindikiza mpaka Stendi akapanda gari. Toka hapo hajawahi kurudi tena na sitaki kabisa kumsikia.
 
Kaa chini na mke wako myajenge, utajua mengi.
i did it more than once..yaani kila mara nakaa nae chini mkuu..yaani mungu ananiona..ni zaidi ya mara 30 ninamsihi nijue nini shida..na anajibu hamna shida yyte anaomba msamaha napotezea...muda kidgo tu anarudia hayo hayo..Ana mengi mno mkuu..Kusalimia mtihani..mumewe nikiumwa sioni hata hamu ya kunitkia uzima mumewe..ndo kwnz anafnya mambo yake....yaani dah ana mengi sn..nmeanzisha uzi nianglie mawazo yenu
 
Zaramo..Na nishajaribu kuresolve kwa kureport kwa mshenga na wazazi pia ila bado yupo vle vle tu..Mwishowe nikaambiwa nimewatukana wazazi wake..Sasa nataka nifanye maamuzi bila kuripoti.
Duh makabila ya Pwani na ya Kusini sio ya kuoa kama wewe ni mtu wa bara, hapo umekosea maana ni tabia zao na Utamaduni wao.
Mrudishe nyumbani mkuu.
 
ndo naendelea nae hapa..mkuu ndoa yng ina vipengele mno..Mungu ndiye ajuae..mpk nashare nanyi ujue imenishinda.
ulichokosea wew ni kumwandikia kwenye message matatizo yako,kwa nini usisubiri urudi home ukae nae chini uongee nae face to face?,Kila mahusiano yanachangamoto zake sio tu ndoa hata uchumba pia una hekaheka zake..be smart!kaa nae chini mzungumze ukute hata anamatatizo au haja zoea mazingira ya ndoa …usikurupuke tafuta njia ya kusolve tatizo sio kulikimbia.
 
Mi nahisi kama ulikosea mzee. Ila haujachelewa. Fanya hivi:

1. Kama umepanga, fanya mchakato siku akienda kwa ndugu zake we HAMA kimya kimya na usimuambie mtu ulipohamia.

2. Akija akute haupo. Akikuuliza kwea simu mwambie umerudi kwa wazazi wako au ndugu yako au rafiki yako.

3. Akija kazini kwako (naamini anapajua), mchenge ila kwako usimpeleke. Hadi ahisi unaishi na mwanamke mwingine.
Mkuu na mbaya zaid ruhusa zenyew akishatoka tu ndo anakuaga..anyway ngoja niufnyie kaz ushaur wko ila hana nafasi kbs moyoni aisee!!sjui mzarmo w wpo uyu
 
Noma sana huwa wana vitabia vya kunyima ila that's too much. Hebu mpelekee vizawadi kama handbag hivi halafu mzigo usiombe unaanzisha tu ligi...akidindisha kazi ipo.
Hyu Uso wa mbuzi mkuu..nshaleta vizawad sana ..ila asante unaziona ktk meseji..akupe asante ya mdomo jua litashuka.
 
ulichokosea wew ni kumwandikia kwenye message matatizo yako,kwa nini usisubiri urudi home ukae nae chini uongee nae face to face?,Kila mahusiano yanachangamoto zake sio tu ndoa hata uchumba pia una hekaheka zake..be smart!kaa nae chini mzungumze ukute hata anamatatizo au haja zoea mazingira ya ndoa …usikurupuke tafuta njia ya kusolve tatizo sio kulikimbia.
mkuu kuandika kote hujanielewa bdo..yaan nshakaa nae chini mara zaidi ya 30..leo imetokea tu kanitext saa 4 usiku maana nilimtext asubuhi hakunijibu ndo kanitmia sms usiku..ndo nikamuanzishia.
 
Back
Top Bottom