Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Kwanini mnajibizana kwenye simu? Wanandoa mnashindwa kukaa chini mkaongea? Mnaogopana?

Huo ni upwiru,
Tafuta siku ushinde nyumbani we na mkeo tu mpike mle kisha zagamuaneni kisawasawa baada ya ulete mrejesho
Sometimes iko romantic kuchitchat na mke wako, upo job nae kwake, you just chat n' chat yani.

Binafsi pia nasolve some issues kupitia chats tu na tunayajenga vizuri.
 
Habari wakuu.. mke wngu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume..


Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though No Mutual Connection..

Mke meseji ninamtumia saa1 asubuhi kujibiwa saa10 jioni. Since Day 1 ya ndoa yangu..sijapata Raha yoyote ile zaidi ya karaha tu.. Leo nimeamua kumtolea uvivu.. WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Yaani heading tu imenifanya nicheke
Pole sana
 
Kuna njemba inakusaidia mkuu, huo ndo ukweli.
Mwanamke kama hakupendi atakujibu na kukufanyia aanavyojua yeye, ila kwa huyo ampendae anamtreat kama mfalme.
Je alikua hivyo tangu zamani, kama sivyo basi kuna shida mahala..

Halafu mkuu sometimes usitake kuforce yeye ndo abadilike labda wewe pia unataka tu akunyenyekee bila wewe kufanya jitihada zozote za kumkomboa kihisia, unatumia njia ngumu mno za kushirikisha wazazi n.k bila kukaa nae, kujaribu kurudisha upendo wenu kama zamani.

Zamani mlikua mnaishije? Hapo ujue umetoa gape na kuna mwana kalitumia kumuendesha bibie.
Pole sana
 
Kaka umeoa mmachame hahahaa joking

Kama hujawahi mkosea, usaliti, au conflict iliyopo kati yenu resolve. Myajenge.

Kama ulishawahi ongea nae bado habadiliki, then hizo chat iwe warning ya mwisho.
Asipo badilika kutoka hapo, mtolee vitu nje au mrudishe kwao

Ila hata siku moja dont let a woman disrespect you, uki allow atakuwa anakufanyia hivyo for the rest of your life
🤣🤣🤣
Ex wangu kaoa mmachame
Anaendea haki..
 
Mkuu hta uchumba alikua ypo hvihvi..ila akanipromise nkimuoa atabdlka..ndo maana nasema nilikurupuka kuoa...na ktk ndoa nashangaa ndo zimezidi tabia mbovu..Na kuhsu Red Card mkuu ningeshaitoa toka siku 7 za mwanzo wanm ndoa yetu mwaka jana..maana aliyoyfny siyasahau kbs..
Em elezea kitu kieleweke kama unataka msaada usifiche fiche alikufanyia nini kwenye 7 za fungate?

All in all hakikisha unampa💰💰💰bila ya yeye kukuomba atakua na hamu naww mpaka ushangae kua ndio uyu mke wako au mwingine
 
Habari wakuu.. mke wngu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume..


Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though No Mutual Connection..

Mke meseji ninamtumia saa1 asubuhi kujibiwa saa10 jioni. Since Day 1 ya ndoa yangu..sijapata Raha yoyote ile zaidi ya karaha tu.. Leo nimeamua kumtolea uvivu.. WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Mkuu nishakua na mzee wa namna hiyo ila wangu alikuja badirika banadae zaidi ya mika kumi tulikua fresh,nilijaribu kupata suruhu ikashindikana nyapu sipewi kinywa chase kibuvu wazee wakatuchoka Nikaamua kiume nikatafuta chumba nikaweka ndani rafiki yake nikawa nijilia tu,nikawa naambiwa mambo mengi na rafiki yake tukaendelea weee siku alipo kuja jua.kua natoka na rafiki yake na chumba nimempangia.alinzisha varangati la kufa mtu.ila kwenye kikao nikasema ukweli kua sipati huduma kwa mke wangu ndio maana nimeamua kutafuta mtu mwingine anipe huduma.toka hapo alibadirika
 
Back
Top Bottom