FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,223
me kila siku lazima nipite ila huwa sikomenti mara nyingi kwa sababu nina hasira za karibu kwa ufupi jukwaa la siasa linatia hasira sana ukizingatia mule kuna wazee na mvu zao lkn hawana busara hata kidogo wanatukana tu sjaelewa km siasa ni matusi
Duh! kuliko huku? hebu tazama stress hizi:
[h=3]Yeye huwa analeta mwanaume nisipokuwepo!
Braza anamega mama mkwe wangu
Wanaume wafupi tunaongoza kwa kukatalia na wanawake a.k.a kupigwa kibuti
Mara nyingi wanawake mnaumizana wenyewe lakini mnatusingizia wanaume!
jamani mapenzi hujui, pesa huna unang'ang'aniza ndoa loh!!!!!!!!!!!!!
Yusuf Bakari abaka kuku
Fumanizi takatifu![/h]