Wakali wa umombo JF...

Wakali wa umombo JF...

Wacha kujikweza wewe!
Hayo ni matatizo ya akili!
Je! Uliufahamisha ummah maana halisi ya "KIRANGA"!?

Hebu waandikie hapa watu wakusome!

Kitambo sana mheshimiwa, usalama upo?

Tunapitiapitia mambo hapa japo mleta uzi ametumia neno "umombo" bila kuelezea anamaanisha kutumia misamiati, kujenga hoja kwa kiingereza au eneo gani hasa. Lugha ni pana sana.


Ombi.

Ningependa kama hutajali tukaachana na tafsiri ya neno Kiranga, sidhani kama italeta maana sana ukizingatia hizi ID tunaamua tu wenyewe na tuna uhuru wa kuchagua yeyote ilimradi hatuvunji taratibu na masharti JF.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mfuga majini ni mfuasi wa shetani tu labda anajuwa ile lugha ya Lucifer tu.

Kuna ulazima kweli wa haya yote juu ya kahtaan? nafikiri na naamini kwamba una kiwango bora kuliko hichi unachokionyesha hapa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi na wenzangu wengi tu humu JF hatusomi the Guardian, Dailynews na The citizen bila Oxford Dictionary kwa pembeni. hahahahaaa Chezea ung'eng'e wewe!!!.
 
Kuna ulazima kweli wa haya yote juu ya kahtaan? nafikiri na naamini kwamba una kiwango bora kuliko hichi unachokionyesha hapa mkuu.

Mkuu wala usipate tabu na huyu Matola.
Huyu ni mwanangu mwenyewe wa kufikia.
Na mimi na mama Matola tuko pamoja sana ktk kujaribu kumregebisha .
Na hii ndio sababu ananichukia. Lkn nilipokuja kuoa hapo kwao hakuwa hivi!
Naskitika sana.
 
Last edited by a moderator:
Mimi na wenzangu wengi tu humu JF hatusomi the Guardian, Dailynews na The citizen bila Oxford Dictionary kwa pembeni. hahahahaaa Chezea ung'eng'e wewe!!!.

Speak for your self sir!
 
Speak for your self sir!

Nimekusoma mkuu ila hiyo heshima ulionipa yakuniita 'Sir' ni kubwa sana nahisi sisitahili. kwa uelewa Wang sir ni ukuu sana ambao Mimi sijafikia hadhi yakuitwa sir. Lakini ahsante kwa heshima ulionipa.
 
Nimekusoma mkuu ila hiyo heshima ulionipa yakuniita 'Sir' ni kubwa sana nahisi sisitahili. kwa uelewa Wang sir ni ukuu sana ambao Mimi sijafikia hadhi yakuitwa sir. Lakini ahsante kwa heshima ulionipa.

It so seems that your command of this language is very limited.
However, you have room for improvement.
 
It so seems that your command of this language is very limited.
However, you have room for improvement.

Sijabisha mkuu upo sahihi, ndo maana Kuna lugha nyingi sio sheria kwamba wote tujue English, wewe unajua English, Fulani anajua kichina, mwingine anajua kijapani, Mimi najua kimakonde ndo maana Kuna wakarimani.
 
Sijabisha mkuu upo sahihi, ndo maana Kuna lugha nyingi sio sheria kwamba wote tujue English, wewe unajua English, Fulani anajua kichina, mwingine anajua kijapani, Mimi najua kimakonde ndo maana Kuna wakarimani.

Point of correction sir, it's WAKALIMANI.
 
Mimi na wenzangu wengi tu humu JF hatusomi the Guardian, Dailynews na The citizen bila Oxford Dictionary kwa pembeni. hahahahaaa Chezea ung'eng'e wewe!!!.

ya tanzania au ya UK/USA??
 
Vigezo vya kumjua kuwa ni mkali wa lugha hii au ile ni nini? Kama ka umombo watanzania wengi ni ka lugha ka 3 au 4. Mwalimu wangu wa Umombo, toka London aliwahi kunieleza kuwa ni vigumu sana kujua ukali wa mtu katika lugha fulani kwa kuwa indicator kubwa ya mtu kuwa mkali katika lugha kama umombo ni idadi ya msamiati aliyonayo (na ikumbukwe msamiati nao umegawanyika sehemu mbili active na passive). Indicator ya pili ni kufikiria katika lugha husika (target language) Kila mtu ajipime anajua kiasi gani, au ni ile ya kuanza kufikiria katika lugha moja na kuongea katika nyingine? Mimi nakipenda Kiswahili kweli ila ukinipeleka London au Australia huwezi kupata aibu pia. Tujisifu kwa yetu. Unadhani kuna mchina anapenda kuisifu lugha ya kiingereza?
 
Eeh! hii lugha tukubali kuna watu wana kipaji cha kuiongea na kuandika pia. Waqt tunafutafuta ujinga alikuwapo raisi wa shule duh penye school baraza jamaa alikuwa anamwaga ng'eng'e si mchezo ila penye mtihani duh marks zake utacheka 20 au 30. Muhimu ni benki yako ya maneno na pia kukiongea sana unaweza kuwa upo UD au UDOM ukakutana na hivi vitoto vya English medium ukatoka nduki vinateleza kama samaki majini na mbwembwe nyingi
..Wengine tukienda penye interview duh jasho linakutoka na kungfuu nyingiii.
 
Siwapendi watu wanaojisifu kwa kujua kiingereza wakati kwenye kiswahili tunaboronga kwa kuandika kiswahili kichafu,
'NAJISIKIA FAHARI KWA VILE NAJITAHIDI KUONGEA NA KUANDIKA KISWAHILI FASAHA'


Wivu huo...kiswahili kinakusaidia nini??
 
Kiranga, Nyani Ngabu, Kimweri, John Mashaka, EMT
Kimweri si tu kingereza,anaweza kubishana na mtu hata kwa kiswahili cha kimtaani na akashinda mnakasha.halafu jamaa ni bingwa wa kuandika post ndefu hapa JF kwa mda mfupi na bado ikawa na nondo tupu.huwa inamsaidia sana kuwachanganya wapinzani wake anaojadiliana nao since wengi wetu huwa hatupendi kusoma post zenye maneno mengi(kasumba ya baadhi ya waafrika ya kutopenda kusoma).wakenya kule kwenye jukwaa lao hawana hamu naye.huyo ndio kimweri,hao wengine hao mbwembwe tu labda kidogo EMT:becky:

ni mtizamo wangu tu.
 
Last edited by a moderator:
Kimweri si tu kingereza,anaweza kubishana na mtu hata kwa kiswahili cha kimtaani na akashinda mnakasha.halafu jamaa ni bingwa wa kuandika post ndefu hapa JF kwa mda mfupi na bado ikawa na nondo tupu.huwa inamsaidia sana kuwachanganya wapinzani wake anaojadiliana nao since wengi wetu huwa hatupendi kusoma post zenye maneno mengi(kasumba ya baadhi ya waafrika ya kutopenda kusoma).wakenya kule kwenye jukwaa lao hawana hamu naye.huyo ndio kimweri,hao wengine hao mbwembwe tu labda kidogo EMT:becky:

ni mtizamo wangu tu.

Kimweri mkali wa Finance and monetary stuff
 
Last edited by a moderator:
Kimweri si tu kingereza,anaweza kubishana na mtu hata kwa kiswahili cha kimtaani na akashinda mnakasha.halafu jamaa ni bingwa wa kuandika post ndefu hapa JF kwa mda mfupi na bado ikawa na nondo tupu.huwa inamsaidia sana kuwachanganya wapinzani wake anaojadiliana nao since wengi wetu huwa hatupendi kusoma post zenye maneno mengi(kasumba ya baadhi ya waafrika ya kutopenda kusoma).wakenya kule kwenye jukwaa lao hawana hamu naye.huyo ndio kimweri,hao wengine hao mbwembwe tu labda kidogo EMT:becky:

ni mtizamo wangu tu.

Kimweri anajua kujenga hoja fast na kwa mtiririko wa kimantiki au hata kimtaa. Wengi hilo linawashinda inabaki lugha kingereza lakini hoja za kutafuta.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom