twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
- Thread starter
- #41
Huyo wa kwenye bold labda bingwa wa swahili-american-englishm.m kijiji.
ben saanane.
kiranga.
lara 1.
kuna mwingine sijui.nme mix majina
mchambuz, mtambuz.....
Huyo wa kwenye bold labda bingwa wa swahili-american-englishm.m kijiji.
ben saanane.
kiranga.
lara 1.
kuna mwingine sijui.nme mix majina
mchambuz, mtambuz.....
AL SHARPTON you are in the same league with these guys.Kiranga, Nyani Ngabu, Kimweri, John Mashaka, EMT
Ni mzuri kwenye lugha ile ambayo siyo fasaha, ya mabomba ambayo inabidi usome ukiwa na dictionary, mwalimu wangu wa literature O-level alikwa anawekea alama ya kosa wanafunzi wa namna hii, hata kama wamepata. Unakuta mtu katumia msamiati ambao hata haujawahi kutumika na mtu mwingine yeyote hata mwalimu mwenyewe japo mahiri sana katika lugha, anakuwa hajawahi kuusikia maisha yake yote.
Lakini on the other side of the coin, Kiranga is selfish na huwa hapendi kutoa credit kwa wengine except kuwaponda. Unaweza pia kuona hapo kwenye bold, baada ya yeye kusifiwa, badala ya kushukuru, akaamua kuliponda jukwaa zima la JF, liko too low ila yeye ndiyo yuko juu. Nikijaribu kujiuliza ni kitu gani kingine cha zaidi ambacho anajua zaidi ya hayo mambomba, kinachompa kiburi hadi kufikia hatua ya kuponda jukwaa zima la JF kwamba liko too low, nashindwa kukiona. Anashindwa kuelewa kuwa humu kuna watu wengi tu wanaomzidi vitu vingi tu, japo siyo maprofesa lakini walichonacho na alichonacho ni sawa na kulinganisha mwanafunzi undergraduate na Full Profesa wa Chuo Kikuu. Yeye hadi awe anafikia hatua ya kusifiwa halafu badala ya kushukuru anaponda wenzake, huyu mtu atakuwa ana kasoro gani zinazomfanya awe hivyo? Lazima kuna kitu hapa!
mh mgema akisifiwa sasa,tembo hulitia maji! Kiranga
Ni mzuri kwenye lugha ile ambayo siyo fasaha, ya mabomba ambayo inabidi usome ukiwa na dictionary, mwalimu wangu wa literature O-level alikwa anawekea alama ya kosa wanafunzi wa namna hii, hata kama wamepata. Unakuta mtu katumia msamiati ambao hata haujawahi kutumika na mtu mwingine yeyote hata mwalimu mwenyewe japo mahiri sana katika lugha, anakuwa hajawahi kuusikia maisha yake yote.
Lakini on the other side of the coin, Kiranga is selfish na huwa hapendi kutoa credit kwa wengine except kuwaponda. Unaweza pia kuona hapo kwenye bold, baada ya yeye kusifiwa, badala ya kushukuru, akaamua kuliponda jukwaa zima la JF, liko too low ila yeye ndiyo yuko juu. Nikijaribu kujiuliza ni kitu gani kingine cha zaidi ambacho anajua zaidi ya hayo mambomba, kinachompa kiburi hadi kufikia hatua ya kuponda jukwaa zima la JF kwamba liko too low, nashindwa kukiona. Anashindwa kuelewa kuwa humu kuna watu wengi tu wanaomzidi vitu vingi tu, japo siyo maprofesa lakini walichonacho na alichonacho ni sawa na kulinganisha mwanafunzi undergraduate na Full Profesa wa Chuo Kikuu. Yeye hadi awe anafikia hatua ya kusifiwa halafu badala ya kushukuru anaponda wenzake, huyu mtu atakuwa ana kasoro gani zinazomfanya awe hivyo? Lazima kuna kitu hapa!
That is what I call modesty!If Kiranga's English is anything impressive at JF, it could only be because JF standards are too low, not because Kiranga is that impressive in the high command of this strange tongue.
Thank you twende kazi , you are far too kind.
mimi siwapendi wanaopenda kukosoa wenzao
yaani ukimiss hata herufi moja badala ya kuangalia point uliyoandika anajigeuza yeye mwalimu kingereza sijui kutafuta masifa et hapa ungeandika hivi na vile
khaaaaaaaaaa hatukatai kurekebisha kama mtu kakosea mrekebishe kisiitaarabu au waweza kumfata pm ili afanye editing huo ndio uungwana
mimi siwapendi wanaopenda kukosoa wenzao
yaani ukimiss hata herufi moja badala ya kuangalia point uliyoandika anajigeuza yeye mwalimu kingereza sijui kutafuta masifa et hapa ungeandika hivi na vile
khaaaaaaaaaa hatukatai kurekebisha kama mtu kakosea mrekebishe kisiitaarabu au waweza kumfata pm ili afanye editing huo ndio uungwana
If Kiranga's English is anything impressive at JF, it could only be because JF standards are too low, not because Kiranga is that impressive in the high command of this strange tongue.
Thank you twende kazi , you are far too kind.
That is what I call modesty!
as the say, the lesser of two evils
in any case, congrats, you are indeed second to none, that is, if none is synonymous to Nyani Ngabu
Siwapendi watu wanaojisifu kwa kujua kiingereza wakati kwenye kiswahili tunaboronga kwa kuandika kiswahili kichafu,
'NAJISIKIA FAHARI KWA VILE NAJITAHIDI KUONGEA NA KUANDIKA KISWAHILI FASAHA'
Beware of glory masquarading as modesty
..then, it is just a matter of perspective!Beware of glory masquarading as modesty