Wakali wa umombo JF...

Wakali wa umombo JF...

Eer! Pulizi yuu noo.... Aah! Yesi ofukoz yuwa kidhungu is snake weli.... Acheni uchoyo jaman na mi niongezwe hapo kwenye listi ya watema UNG'ENG'E basi
 
Ni mzuri kwenye lugha ile ambayo siyo fasaha, ya mabomba ambayo inabidi usome ukiwa na dictionary, mwalimu wangu wa literature O-level alikwa anawekea alama ya kosa wanafunzi wa namna hii, hata kama wamepata. Unakuta mtu katumia msamiati ambao hata haujawahi kutumika na mtu mwingine yeyote hata mwalimu mwenyewe japo mahiri sana katika lugha, anakuwa hajawahi kuusikia maisha yake yote.

Lakini on the other side of the coin, Kiranga is selfish na huwa hapendi kutoa credit kwa wengine except kuwaponda. Unaweza pia kuona hapo kwenye bold, baada ya yeye kusifiwa, badala ya kushukuru, akaamua kuliponda jukwaa zima la JF, liko too low ila yeye ndiyo yuko juu. Nikijaribu kujiuliza ni kitu gani kingine cha zaidi ambacho anajua zaidi ya hayo mambomba, kinachompa kiburi hadi kufikia hatua ya kuponda jukwaa zima la JF kwamba liko too low, nashindwa kukiona. Anashindwa kuelewa kuwa humu kuna watu wengi tu wanaomzidi vitu vingi tu, japo siyo maprofesa lakini walichonacho na alichonacho ni sawa na kulinganisha mwanafunzi undergraduate na Full Profesa wa Chuo Kikuu. Yeye hadi awe anafikia hatua ya kusifiwa halafu badala ya kushukuru anaponda wenzake, huyu mtu atakuwa ana kasoro gani zinazomfanya awe hivyo? Lazima kuna kitu hapa!

Tatizo Kiingereza kidogo nilichoandika hujakielewa.

Labda niandike Kiswahili.

Kwanza kabisa, sentensi yangu ime kuwa qualified na "if". Nikasema kama Kiranga anaonekana mahiri sana, ni kwa sababu tunatumia standards ndogo hapa JF.

Sasa mtu anayesema kwamba kama yeye anaonekana mahiri ni kwa sababu mtihani aliopewa ni rahisi atakuwaje anajikuza?

Pia, sikutukana JF, kwa sababu nimesema "kama naonekana mahiri". Amekuja mshashi kuniponda kwamba sina umahiri wowote, na mimi nikawa wa kwanza kukubaliana naye.

Hapo nimejikuza vipi?

Unajua kusoma wewe?
 
mh mgema akisifiwa sasa,tembo hulitia maji! Kiranga

Kiranga sio mtu wa kupenda sifa wala kuogopa lawama.

Kupenda kusifiwa au kuogopa lawama hakujawahi kunizuia kujieleza ninavyofikiri.

Na sina mpango wa kuanza kubadilika sasa.
 
Last edited by a moderator:
Siwapendi watu wanaojisifu kwa kujua kiingereza wakati kwenye kiswahili tunaboronga kwa kuandika kiswahili kichafu,
'NAJISIKIA FAHARI KWA VILE NAJITAHIDI KUONGEA NA KUANDIKA KISWAHILI FASAHA'
 
Ni mzuri kwenye lugha ile ambayo siyo fasaha, ya mabomba ambayo inabidi usome ukiwa na dictionary, mwalimu wangu wa literature O-level alikwa anawekea alama ya kosa wanafunzi wa namna hii, hata kama wamepata. Unakuta mtu katumia msamiati ambao hata haujawahi kutumika na mtu mwingine yeyote hata mwalimu mwenyewe japo mahiri sana katika lugha, anakuwa hajawahi kuusikia maisha yake yote.

Lakini on the other side of the coin, Kiranga is selfish na huwa hapendi kutoa credit kwa wengine except kuwaponda. Unaweza pia kuona hapo kwenye bold, baada ya yeye kusifiwa, badala ya kushukuru, akaamua kuliponda jukwaa zima la JF, liko too low ila yeye ndiyo yuko juu. Nikijaribu kujiuliza ni kitu gani kingine cha zaidi ambacho anajua zaidi ya hayo mambomba, kinachompa kiburi hadi kufikia hatua ya kuponda jukwaa zima la JF kwamba liko too low, nashindwa kukiona. Anashindwa kuelewa kuwa humu kuna watu wengi tu wanaomzidi vitu vingi tu, japo siyo maprofesa lakini walichonacho na alichonacho ni sawa na kulinganisha mwanafunzi undergraduate na Full Profesa wa Chuo Kikuu. Yeye hadi awe anafikia hatua ya kusifiwa halafu badala ya kushukuru anaponda wenzake, huyu mtu atakuwa ana kasoro gani zinazomfanya awe hivyo? Lazima kuna kitu hapa!

Makanyanga,umekurupuka rafiki yangu,
ametukana vipi?
Muungwana siku zote hujishusha anapo pewa sifa,na siyo kujikweza!
Au una ka bifu?
 
Last edited by a moderator:
mimi siwapendi wanaopenda kukosoa wenzao
yaani ukimiss hata herufi moja badala ya kuangalia point uliyoandika anajigeuza yeye mwalimu kingereza sijui kutafuta masifa et hapa ungeandika hivi na vile
khaaaaaaaaaa hatukatai kurekebisha kama mtu kakosea mrekebishe kisiitaarabu au waweza kumfata pm ili afanye editing huo ndio uungwana
 
mimi siwapendi wanaopenda kukosoa wenzao
yaani ukimiss hata herufi moja badala ya kuangalia point uliyoandika anajigeuza yeye mwalimu kingereza sijui kutafuta masifa et hapa ungeandika hivi na vile
khaaaaaaaaaa hatukatai kurekebisha kama mtu kakosea mrekebishe kisiitaarabu au waweza kumfata pm ili afanye editing huo ndio uungwana

Criticism may not be agreeable, but it is necessary. It fulfils the same function as pain in the human body. It calls attention to an unhealthy state of things.


- Winston Churchill.
 
mimi siwapendi wanaopenda kukosoa wenzao
yaani ukimiss hata herufi moja badala ya kuangalia point uliyoandika anajigeuza yeye mwalimu kingereza sijui kutafuta masifa et hapa ungeandika hivi na vile
khaaaaaaaaaa hatukatai kurekebisha kama mtu kakosea mrekebishe kisiitaarabu au waweza kumfata pm ili afanye editing huo ndio uungwana

Ngoja nije pm naona hata hapa umeshakosea.
 
Tumebaki kutukuza ya wenzetu na ndio maana yetu yanatushinda
 
If Kiranga's English is anything impressive at JF, it could only be because JF standards are too low, not because Kiranga is that impressive in the high command of this strange tongue.

Thank you twende kazi , you are far too kind.

As the say, the lesser of two evils

In any case, congrats, you are indeed second to none, that is, if none is synonymous to Nyani Ngabu
 
as the say, the lesser of two evils

in any case, congrats, you are indeed second to none, that is, if none is synonymous to Nyani Ngabu

I wouldn't call a distinguished president "none". That - clever wordplay or not - would be rather demeaning to his character if not belittling his august office.
 
Last edited by a moderator:
Siwapendi watu wanaojisifu kwa kujua kiingereza wakati kwenye kiswahili tunaboronga kwa kuandika kiswahili kichafu,
'NAJISIKIA FAHARI KWA VILE NAJITAHIDI KUONGEA NA KUANDIKA KISWAHILI FASAHA'

Bahati mbaya au nzuri, aliyesifiwa, Kiswahili fasaha anakijua vilivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom